Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Halafu alikuwa na sponsor, sema hongera kwake maana alijiongeza.Katumia pesa za sponsor kuinvest. Baadae kampiga chini sponsor na kaibuka na kiben ten.
Ukiwa sponsor hakikisha unamtumia sly queen as much as possible kabla hajaenda kwa Rika lake na sponsor kurudi kwa mama watoto.
Usije ukamnunulia mchepuko gari, mpe hela ya bolt hata Kama Ni kila siku.
Usije ukamjengea mwanamke wa nje nyumba utakuja kulia. Mkodishie nyumba hata Kama Kodi Ni laki moja.
Mwisho epuka mchepuko mwenye tabia za kiswahili.
 
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.

Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.

Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.

Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.

View attachment 2708851
Hebu nawe na Likud lako hilo kafungue grosare uone kama bia hazitachacha, yeye hata bila kufungua grosare angeweza kutajirika.
 
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.

Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.

Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.

Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.

View attachment 2708851
Umeanza vizuri ila mwishoni umemaliza na ujinga.Haukuwa na sababu ya kuwazungumzia walimu au ajira ya mtu ilitosha kuzungua gatway ya huyo dada
 
Kumbe sponsor huwa haachwi?Ikute sponsor hana nguvu za kiume na bibi kaona anaweza kusimama kwa miguu yake akaamua sasa atafute mtu wa kumsugua vizuri,baada ya mihangaiko ya kila siku katika kusaka noti.
Hilo suala la nguvu si kwa sponsor tu, hata mume wake anaweza kuwa nalo. Halafu suala hili la nguvu za kiume sidhani kama ni real kivile linakuzwa tu mitandaoni.
 
Kama unakuja hivi mkuu! Kwamba ana place maalumu ya kuwakongoa hela malofa au siyo? Na mathematically malofa wanazaliwa kila siku sema wanapungua tu hawaishi, sivyo?

Hapo wanaume wanaojikuta wanashika sana mikono ndiyo malofa au? Yaani unaleweshwa kwa bia unasomesha watoto?
Wewe thubutu kukutwa na mwanamke wa kichaga MREMBO, MWEREVU...utauza figo.
Siku mteja hajafika kwenye biashara anapigiwa simu.

Utasikia, boss wangu sijakuona kwanza uko salama?

Mwusho anamalizia...unajua bila wewe mimi mjini siwezi ishi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom