Kwan walishafika tayar huko?Kuna ushirikiano mzuri sana! Tulijua ni JWTZ pekee yao ndiyo wamefanya kazi hiyo.
Vita ni biashara na uchumi kwa mataifa mengine. Lakini hao M23 kwanini hawadhibitiki, au huo ndio uwanja wa majaribio ya silaha zao?Vita ni biashara na uchumi wa wengine
Madini na vito . unaletewa container la silaha unalipa kwa chimbo la madini😭Vita ni biashara na uchumi kwa mataifa mengine. Lakini hao M23 kwanini hawadhibitiki, au huo ndio uwanja wa majaribio ya silaha zao?
DRC itakuwa kama Israel na palestina, Sioni ni namna gani watapata suluhu ya kudumu.
M 23 ni jeshi kabisa linajitosheleza(japo kinaripotiwa kama kikundi cha kigaidi).Watoto nadhani ni sehemu pia katika jeshi lao(Sehemu kubwa ni watu wazima).M23 nadhani michezo yao mingi wanafanyia Goma,Kivu,Bukavu,na kinshasa kama sijakoseaM 23 wanamiliki mikoa mingapi huko DRC? Mbona kila siku wanaibuka na kutulizwa. Kuna mtu mmoja aliwahi kuandika humu kwamba ni vitoto vidogo na vina dhibitika hata na FFU wetu, sijui kwanini nchi hiyo yenye msaada wa kijeshi kutoka nchi kadhaa bado wanashindwa kuwamaliza M23.
Kama lengo ni kuwatuliza tu it's better not to engage in the whole issue.Afadhali,hapo na Tz &Malawi wakiongeza nguvu watawatuliza jamaa kusonga mbele.
Vitani, maisha hupotea.Wasisahau kutoa taarifa pia wanajeshi tisa wa SA hatunao tena duniani kwenye hili tukio
HahahahaMadini na vito . unaletewa container la silaha unalipa kwa chimbo la madini😭
Hahahaha,hiyo tunaita Swahili ya EastKiswahili kibovu kabisa
Kakudanganya vibaya sana ngoja nikufumbue macho m23 ni jeshi kamili lenye wataalamu wote wa kivita , wana intelijensia kali sana, wana vifaa vya kisasa mno, wana askari wenye mafunzo bora kabisa, wana mifumo ya kisasa ya uongozaji vita( drones) ,vitoto vidogo na vina dhibitika hata na FFU
Kweli kabisaKakudanganya vibaya sana ngoja nikufumbue macho m23 ni jeshi kamili lenye wataalamu wote wa kivita , wana intelijensia kali sana, wana vifaa vya kisasa mno, wana askari wenye mafunzo bora kabisa, wana mifumo ya kisasa ya uongozaji vita( drones) ,
Wana wataalam mbali mbali wa medani mpaka snipers, commando, na elites wengine usiwachukulie poa hata kidogo na
Sio kwamba ni vitoto ni mashabab haswa tu na wana nidhamu ya kijeshi sio waasi koko wale