Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

Unaonekana huelewi, uko biased sana na analysis yako..go educate yourself
Maneno uliyoyaandika ni kichaka cha wajuaji wanaojivika koti la wanajua!

Kwa kifupi kwa maandishi yako kwa mwenye ufahamu unaonekana mzugaji.

Kama unaona sipo sahihi onyesha. Kama hauna kaa kimya!
 
Una picha ya jenerali mwakibolwa?
20250130_150108.jpg
 
Kama lengo ni kuwatuliza tu it's better not to engage in the whole issue.
Lengo liwe ni total elimination na kudhibiti eneo zima pawe na amani
Wawafanye kama jwtz kule Kibiti kwa wale magaidi. Husikii tena ujinga.
 
Kuna natafuta yamepeleka askari wao kupigana upande wa congo Kama:- Burundi,south Africa, Tanzania,Kenya,kwahiyo jipe siku 3 mbele, utasikia M23 ana Hali gani, sababu majeshi ya washirika ndo yanaingia site Sasa, yaani kumzuia M23 ni kazi inayo fanywa na washirika,niliowataja hapo juu,halafu jeshi la Kongo na raia vijana wa Kongo wameingia mzuka vibaya mno wameingia Gisenyi ( Rwanda) wametembeza kichapo kitakatifu Hadi Rwanda wamezima internet, yaani ni mchapano hasa huko ndani ya Rwanda pia kati ya wakongo na wanyarwanda
 
Kuna natafuta yamepeleka askari wao kupigana upande wa congo Kama:- Burundi,south Africa, Tanzania,Kenya,kwahiyo jipe siku 3 mbele, utasikia M23 ana Hali gani, sababu majeshi ya washirika ndo yanaingia site Sasa, yaani kumzuia M23 ni kazi inayo fanywa na washirika,niliowataja hapo juu,halafu jeshi la Kongo na raia vijana wa Kongo wameingia mzuka vibaya mno wameingia Gisenyi ( Rwanda) wametembeza kichapo kitakatifu Hadi Rwanda wamezima internet, yaani ni mchapano hasa huko ndani ya Rwanda pia kati ya wakongo na wanyarwanda
Amka usingizini wewe, kumekucha, hizo ni za alinacha. BU, SA, TZ, ML wote wako wanafanya mazungumzo wapewe askari wao ambao wako under M23, kwa taarifa yako baadhi ya hao askari wako kwenye masanduku. Wazung wameshafanya negotiation cap chap wakapewa mamluki wao, Viongozi wa Afrika wanasua sua kwa aibu.
 

Attachments

  • SADC Forces under Guard in Goma.mp4
    4.3 MB
  • Mecenaries.jpg
    Mecenaries.jpg
    79.8 KB · Views: 4
Mwanzishaji wa hii Mada kwanini asiwe professional ajye atueleze kulikoni? Kwa Kichwa cha habari na jinsi alivyo anza angepaswa sasa hivi awe amekuja ku change tamko lake. Nauliza Ndugu @ Mobby_255

Earthmover naye aliingia kwa fujoo lakini sijui kapotelea wapi.
 
Mapema jana usiku BM zimeunguruma bila kusimama kama masaa 7 baada ya hapo ni viliko tu huko mpaka Kigali .Mbwa na mbweha wanajipatia mlo wa kutosha.Hawa wanyama wanastahili walicho kipata unyama wanaowafanyia wanawake na wasichan wadogo ni wakutisha

Mwambieni aje abebe mizoga apeleke kwakre ...Congo itabaki kuwa salama muda wote na akirudia Masase mpaka chumbani kwake!!!
Where are you, why are you not updating us 🤪 😜😜😜. Unaleta porojo za vijiweni kwenye issue nzito nzito kama hizi
 
M 23 wanamiliki mikoa mingapi huko DRC? Mbona kila siku wanaibuka na kutulizwa. Kuna mtu mmoja aliwahi kuandika humu kwamba ni vitoto vidogo na vina dhibitika hata na FFU wetu, sijui kwanini nchi hiyo yenye msaada wa kijeshi kutoka nchi kadhaa bado wanashindwa kuwamaliza M23.
Wale ni jeshi kamili linakuwa trained Rwanda na Uganda hata mkiwafurusha Leo watarudi kwenye makambi ya Rwanda na Uganda wanaendelea na mazoezi na wanapatiwa siraha zote za kijeshi Kisha wanarudi tena

Sema congo ni banana republic
 
Walishindwa wanakimbili Uganda na Rwanda wanaenda kujiunga upya kijeshi na wale ni wanajeshi kamili wa RDF
Kwanini wakikimbilia nchi jirani wasiweke gadi hapo mpakani, kuhakikisha hawarudi? au wakawafuata huko huko nchi jirani?
 
Back
Top Bottom