Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Maneno uliyoyaandika ni kichaka cha wajuaji wanaojivika koti la wanajua!Unaonekana huelewi, uko biased sana na analysis yako..go educate yourself
Kwa kifupi kwa maandishi yako kwa mwenye ufahamu unaonekana mzugaji.
Kama unaona sipo sahihi onyesha. Kama hauna kaa kimya!