Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

Laana hii ya Ubaguzi ndio itakuwa chanzo cha kuzaliwa kwa nchi mpya iitwayo Jamhuri ya Watu wa Kivu huko Congo DR.
Wether you like it or not, Ukweli mchungu Sana ni kwamba Kivu lazima itakuja kujitenga na Congo DR na kisha kuzaliwa kwa nchi nyingine itakayokuwa inajitegemea yenyewe. Nchi ya Jamhuri ya Kivu inakuja, ipo njiani inakaribia kuwasili.
KIVU ITAJITENGA LABDA MADINI YAKIISHA!!!
 
Muungano wa Congo River Alliance sasa unapanga kwenda Bukavu Lubumbashi na Kinshasa.
 
Haziangukii,zinarushwa na fardc toka mlima goma
1000346631.jpg
 
Sasa zinaangukia toka wapi!?
Ungeijua Jiografia ya eneo husika ungenielewa, hizo morter shelling zinatoka ndani ya goma kwenye mapigano ya M23 na Jeshi la Kongo + so called "Wazalendo" ambao ni group lililochanganya Interahamwe na FLDR na anti Tutsi Millitias.
Sasa kujua bomu limerushwa na nani kwenda wapi ni vigumu sana kujua kwasababu Goma na Gisenyi ni kama mji mmoja tu.

Mimi nimekaa Miji hiyo yote miwili miaka ya 90.
 
Una habari UN inaondoa watu wake na kufunga ofisi? Kwa kinachoitwa kwa muda!!! Fumbuka macho baba! Hiyo M23 unayoiongelea usishangae ikiwa Goma. Badhi wakiwa wazalendo, wengine wakiwa FARDC! Jipe mda. Burundi ipo wapi? Hivi, hiyo JWTZ unayoitaja unadhani wanakulupuka? Wangapi umesikia wameuliwa? Ni kwamba hawapo?
Hiyo sio vita ya Alshabaab mzee. Kila vita inalenga masrahi. Tanzania inapata nini labda!!!
Hao UN ndio uwa wanachelewesha,kama UN washatoa go ahead tutegemee hii vita kuwa kubwa
 
Hao UN ndio uwa wanachelewesha,kama UN washatoa go ahead tutegemee hii vita kuwa kubwa
Kuna siri nzito mkuu. UN yenyewe walionya hii vita huenda ikawa ya ukanda. Na kuna viashilia tena DRC inaenda kuwa uwanja wa wapiganaji. Hilo linaonekana, lipo wazi. Mmoja ameanza kuongeza majeshi DRC, na wanaopelekewa poli kwao ni nyumbani, unategemea kinaenda kutokea nini!? Kuta vitu vya chini chini vinaendelea, na mpaka vinaisha, mbabe atajulikana tu. Je, umeangalia siraha na magari alojiokotea M23 huko Goma!? Unadhani yanaenda kuchomwa moto!?
 
Ungeijua Jiografia ya eneo husika ungenielewa, hizo morter shelling zinatoka ndani ya goma kwenye mapigano ya M23 na Jeshi la Kongo + so called "Wazalendo" ambao ni group lililochanganya Interahamwe na FLDR na anti Tutsi Millitias.
Sasa kujua bomu limerushwa na nani kwenda wapi ni vigumu sana kujua kwasababu Goma na Gisenyi ni kama mji mmoja tu.

Mimi nimekaa Miji hiyo yote miwili miaka ya 90.
Siku zote zisianguke huko na walikua wakipigana,zianguke leo tu hadi tuone tulio vikindu mkuranga!?
 
M 23 ni jeshi kabisa linajitosheleza(japo kinaripotiwa2 kama kikundi cha kigaidi).Watoto nadhani ni sehemu pia katika jeshi⅖ lao(Sehemu kubwa ni watu wazima).M23 nadhani michezo yao mingi wanafanyia Goma,Kivu,Bukavu,na kinshasa kama sijakosea
Amends mchomo kweli kinshasa tena
 
Back
Top Bottom