MAKONGOLOSII
JF-Expert Member
- Jul 31, 2024
- 413
- 640
Kuna kitabu kinaitwa Sanaa ya vita, inaonekana brother tall na wenzake wamekielewa vizuri sana kile kitabu na wanakifanyia kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Israel na USA imesalimu amri kwa HAMAS unafikili M23 itakua rahisi kwa wabongo?Mkuu nini kinashindikana elimination ya hawa M23?
Naomba elimu tafadhari
Unaambiwa jeshi la South Africa unaleta habari ya huko kwenu, nyinyi si ndo kwanza mnabeba mbwa mgongoni na mabegi mazitoKuna ushirikiano mzuri sana! Tulijua ni JWTZ pekee yao ndiyo wamefanya kazi hiyo.
Ni sawa sawa na kusema Massai wa Tanzania sio Watanzania na kwamba walitokea Kenya.Siyo ardhi yao hiyo,acha uwongo na akili zako za kiyahudi koko
Ujinga! hakuna nchi hiyo. Btw una nasaba na Rwanda?. Tafadhali usiendeleee na ujinga. Tujadiri.Kivu
Ni sawa sawa na kusema Massai wa Tanzania sio Watanzania na kwamba walitokea Kenya.
View: https://youtu.be/GkYITUcuiRg?si=HKGwTv0IUrqJnL-N
Sula za Rwanda hiziNi tactical retreat hawajaondoka kwa kupigwa wameondoka kujipanga upya lakini angalia hizi sura ni za wapi
View attachment 3214599
anacheza huyu hivi mzungu ameinvest sehemu kwa karne halafu mtu anakwambia vitoto, kuna watu hawatumii akili kabisa ,Kakudanganya vibaya sana ngoja nikufumbue macho m23 ni jeshi kamili lenye wataalamu wote wa kivita , wana intelijensia kali sana, wana vifaa vya kisasa mno, wana askari wenye mafunzo bora kabisa, wana mifumo ya kisasa ya uongozaji vita( drones) ,
Wana wataalam mbali mbali wa medani mpaka snipers, commando, na elites wengine usiwachukulie poa hata kidogo na
Sio kwamba ni vitoto ni mashabab haswa tu na wana nidhamu ya kijeshi sio waasi koko wale
Duh hao wanajeshi waliochinjwa ni wanajeshi wa jeshi gan mkuu ni kongo au south au m23 Mr PutinUkiona mwenzio ananyolewa cha kwako tia maji.
General Chilimwami yuko wapi? Soon Goma itakomblewa na amani itadumishwa hakuna mtu kuuwawa tena kisa pua au ulefu wawe. You can't fight Natives and win. Kubaguwa raia wako ni kosa kubwa,ukiwabagua wataitafta haki.
Huna hoja.Siyo kweli babu..kama paulo anataka vita na congo aende
Vip kinaendelea nini huko waas wako goma au wamerudi nyuma?Huna hoja.
Hivi kwa nini M23 hadi sasa haijatambuliwa kuwa ni kikundi cha kigaidi?🇨🇩#RDC: Jeshi la Afrika Kusini linatangaza kwamba limefaulu, pamoja na FARDC na washirika, kusimamisha maendeleo ya muungano wa M23/RDF kuelekea Goma:
"Vikosi vya maadui vya M23 vilikuwa vimezindua shambulio kubwa kwa askari wetu ili kumtia Goma, lakini hawakuweza kuendeleza shukrani kwa upinzani wa kishujaa wa wapiganaji wetu mashujaa."
Vikosi vyetu havikusimamisha maendeleo ya M23 tu, lakini pia viliweza kuwarudisha. nia ya M23, pamoja na mambo mengine, ilikuwa kuudhibiti mji wa Goma, lakini walipata upinzani mkali kutoka kwa kikosi cha Afrika Kusini kilichowazuia kufika Goma. "
COMMUNICATED ⤵️
View attachment 3214162
Mapigano yanaendelea baina Congo River Alliance na Majeshi ya Tishekedi+ wanaowasaidia nimeshangaa hata MONUSCO wamechukua side.Vip kinaendelea nini huko waas wako goma au wamerudi nyuma?
Hivi kwa nini M23 hadi sasa haijatambuliwa kuwa ni kikundi cha kigaidi?
Kwa nini Congo yenyewe, Marekani, Ulaya na mataifa mengine ya Afrika Mashariki kitu gani kimewazuia kukiita kundi la kigaidi?
Mimi binafsi najisikia kukereka na kupata hasira sana kusikia kila mara vita ya Congo.
Ukifiatilia deeply JWTZ hawajawahi kufanyaa maajabu huko, bora hata Wakenya walipokuwepo kuliko hawa wetu.Kuna ushirikiano mzuri sana! Tulijua ni JWTZ pekee yao ndiyo wamefanya kazi hiyo.
Hatutakuja kuwa na suluhu ya kudumu, aliyewahi kufika maeneo hayo atakwambia jinsi hao wahuni wanavyokibalika na wengi. Support ya wakulungwa wa huko ndiyo nguvu yao otherwise wangeshapotea kitambo sana.Vita ni biashara na uchumi kwa mataifa mengine. Lakini hao M23 kwanini hawadhibitiki, au huo ndio uwanja wa majaribio ya silaha zao?
DRC itakuwa kama Israel na palestina, Sioni ni namna gani watapata suluhu ya kudumu.