Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

Kakudanganya vibaya sana ngoja nikufumbue macho m23 ni jeshi kamili lenye wataalamu wote wa kivita , wana intelijensia kali sana, wana vifaa vya kisasa mno, wana askari wenye mafunzo bora kabisa, wana mifumo ya kisasa ya uongozaji vita( drones) ,

Wana wataalam mbali mbali wa medani mpaka snipers, commando, na elites wengine usiwachukulie poa hata kidogo na
Sio kwamba ni vitoto ni mashabab haswa tu na wana nidhamu ya kijeshi sio waasi koko wale
anacheza huyu hivi mzungu ameinvest sehemu kwa karne halafu mtu anakwambia vitoto, kuna watu hawatumii akili kabisa ,
 
Ukiona mwenzio ananyolewa cha kwako tia maji.
General Chilimwami yuko wapi? Soon Goma itakomblewa na amani itadumishwa hakuna mtu kuuwawa tena kisa pua au ulefu wawe. You can't fight Natives and win. Kubaguwa raia wako ni kosa kubwa,ukiwabagua wataitafta haki.
Duh hao wanajeshi waliochinjwa ni wanajeshi wa jeshi gan mkuu ni kongo au south au m23 Mr Putin
 
🇨🇩#RDC: Jeshi la Afrika Kusini linatangaza kwamba limefaulu, pamoja na FARDC na washirika, kusimamisha maendeleo ya muungano wa M23/RDF kuelekea Goma:

"Vikosi vya maadui vya M23 vilikuwa vimezindua shambulio kubwa kwa askari wetu ili kumtia Goma, lakini hawakuweza kuendeleza shukrani kwa upinzani wa kishujaa wa wapiganaji wetu mashujaa."

Vikosi vyetu havikusimamisha maendeleo ya M23 tu, lakini pia viliweza kuwarudisha. nia ya M23, pamoja na mambo mengine, ilikuwa kuudhibiti mji wa Goma, lakini walipata upinzani mkali kutoka kwa kikosi cha Afrika Kusini kilichowazuia kufika Goma. "

COMMUNICATED ⤵️

View attachment 3214162
Hivi kwa nini M23 hadi sasa haijatambuliwa kuwa ni kikundi cha kigaidi?
Kwa nini Congo yenyewe, Marekani, Ulaya na mataifa mengine ya Afrika Mashariki kitu gani kimewazuia kukiita kundi la kigaidi?
Mimi binafsi najisikia kukereka na kupata hasira sana kusikia kila mara vita ya Congo.
 
Hivi rais wa Congo Felix Chisengedi ni Mcongomani kweli?
Kama vile hayuko serious kuitetea nchi yake dhidi ya Wanyarwanda au ana damu ya Kinyarwanda au Uganda?
 
Hivi kwa nini M23 hadi sasa haijatambuliwa kuwa ni kikundi cha kigaidi?
Kwa nini Congo yenyewe, Marekani, Ulaya na mataifa mengine ya Afrika Mashariki kitu gani kimewazuia kukiita kundi la kigaidi?
Mimi binafsi najisikia kukereka na kupata hasira sana kusikia kila mara vita ya Congo.
 
Wakuu,

Habari ndio hii ya uhakika kutoka Reuters, M23 wanasema wataanza kuingia Goma usiku wa leo wananchi wengi wamevuka na kwenda Gisenyi ili kuepuka shelling.

Congo's M23 rebels say they will seize eastern city overnight​

By Reuters
January 26, 202510:20 PM GMTUpdated 10 min ago
 
Kuna ushirikiano mzuri sana! Tulijua ni JWTZ pekee yao ndiyo wamefanya kazi hiyo.
Ukifiatilia deeply JWTZ hawajawahi kufanyaa maajabu huko, bora hata Wakenya walipokuwepo kuliko hawa wetu.
Lakini wale wa
Vita ni biashara na uchumi kwa mataifa mengine. Lakini hao M23 kwanini hawadhibitiki, au huo ndio uwanja wa majaribio ya silaha zao?
DRC itakuwa kama Israel na palestina, Sioni ni namna gani watapata suluhu ya kudumu.
Hatutakuja kuwa na suluhu ya kudumu, aliyewahi kufika maeneo hayo atakwambia jinsi hao wahuni wanavyokibalika na wengi. Support ya wakulungwa wa huko ndiyo nguvu yao otherwise wangeshapotea kitambo sana.
 
Screenshot_20250127-020616.jpg
Screenshot_20250127-020728.jpg
Screenshot_20250127-020735.jpg
Screenshot_20250127-020744.jpg
Screenshot_20250127-020750.jpg
Screenshot_20250127-020851.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20250127-020923.jpg
    Screenshot_20250127-020923.jpg
    78.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250127-020959.jpg
    Screenshot_20250127-020959.jpg
    127.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom