Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

🇨🇩#RDC: Jeshi la Afrika Kusini linatangaza kwamba limefaulu, pamoja na FARDC na washirika, kusimamisha maendeleo ya muungano wa M23/RDF kuelekea Goma:

"Vikosi vya maadui vya M23 vilikuwa vimezindua shambulio kubwa kwa askari wetu ili kumtia Goma, lakini hawakuweza kuendeleza shukrani kwa upinzani wa kishujaa wa wapiganaji wetu mashujaa."

Vikosi vyetu havikusimamisha maendeleo ya M23 tu, lakini pia viliweza kuwarudisha. nia ya M23, pamoja na mambo mengine, ilikuwa kuudhibiti mji wa Goma, lakini walipata upinzani mkali kutoka kwa kikosi cha Afrika Kusini kilichowazuia kufika Goma. "

COMMUNICATED ⤵️

View attachment 3214162
Wangewaua wote
 
Mapema jana usiku BM zimeunguruma bila kusimama kama masaa 7 baada ya hapo ni viliko tu huko mpaka Kigali .Mbwa na mbweha wanajipatia mlo wa kutosha.Hawa wanyama wanastahili walicho kipata unyama wanaowafanyia wanawake na wasichan wadogo ni wakutisha

Mwambieni aje abebe mizoga apeleke kwakre ...Congo itabaki kuwa salama muda wote na akirudia Masase mpaka chumbani kwake!!!
Aseeee...kwahiyo Jw ndio wamewasha moto au hao wasauzi na wacongo kama wanavyosema hapo?
 
Uongo mtupu,UN na SADC waambiwa kujitenga wakigoma watacgaowa vibaya,na Jeshi la DRC waliopo Goma la pewa 48hrs kuweka Siraha chini,wakigoma watapigwa kinoma.
 

Attachments

  • HlAvknGDfnLecXOW.mp4
    1.1 MB
  • FrSqONcr7aXtvjrQ.mp4
    1.7 MB
  • 20250126_100242.jpg
    20250126_100242.jpg
    155.9 KB · Views: 4
  • 20250126_100239.jpg
    20250126_100239.jpg
    218.5 KB · Views: 3
M 23 ni jeshi kabisa linajitosheleza(japo kinaripotiwa kama kikundi cha kigaidi).Watoto nadhani ni sehemu pia katika jeshi lao(Sehemu kubwa ni watu wazima).M23 nadhani michezo yao mingi wanafanyia Goma,Kivu,Bukavu,na kinshasa kama sijakosea
Kinshasa hawafiki babu, kinshasa magharibi ya nchi
 
Kakudanganya vibaya sana ngoja nikufumbue macho m23 ni jeshi kamili lenye wataalamu wote wa kivita , wana intelijensia kali sana, wana vifaa vya kisasa mno, wana askari wenye mafunzo bora kabisa, wana mifumo ya kisasa ya uongozaji vita( drones) ,

Wana wataalam mbali mbali wa medani mpaka snipers, commando, na elites wengine usiwachukulie poa hata kidogo na
Sio kwamba ni vitoto ni mashabab haswa tu na wana nidhamu ya kijeshi sio waasi koko wale
Watu hawajawa serious na hao wadudu,ingekua kama 2013 ni suala la mwezi tu wanapotea
 
Uongo mtupu,UN na SADC waambiwa kujitenga wakigoma watacgaowa vibaya,na Jeshi la DRC waliopo Goma la pewa 48hrs kuweka Siraha chini,wakigoma watapigwa kinoma.
Wenzako wanaliwa na mamba kukimbia mvua za BM

Goma ipo shwari kabisa na sasa kipigo kinaendelea hakuna kurudi nyuma mpaka tufyeke kambi zao walizo zihamisha
 
Kakudanganya vibaya sana ngoja nikufumbue macho m23 ni jeshi kamili lenye wataalamu wote wa kivita , wana intelijensia kali sana, wana vifaa vya kisasa mno, wana askari wenye mafunzo bora kabisa, wana mifumo ya kisasa ya uongozaji vita( drones) ,

Wana wataalam mbali mbali wa medani mpaka snipers, commando, na elites wengine usiwachukulie poa hata kidogo na
Sio kwamba ni vitoto ni mashabab haswa tu na wana nidhamu ya kijeshi sio waasi koko wale
Vip vita imefikia wapi saizi m23 wanaendelea kuelekea goma au wanarudi nyuma
 
Mapema jana usiku BM zimeunguruma bila kusimama kama masaa 7 baada ya hapo ni viliko tu huko mpaka Kigali .Mbwa na mbweha wanajipatia mlo wa kutosha.Hawa wanyama wanastahili walicho kipata unyama wanaowafanyia wanawake na wasichan wadogo ni wakutisha

Mwambieni aje abebe mizoga apeleke kwakre ...Congo itabaki kuwa salama muda wote na akirudia Masase mpaka chumbani kwake!!!
Kwahiyo jana walichapwa vya kutosha?
 
Kuna ushirikiano mzuri sana! Tulijua ni JWTZ pekee yao ndiyo wamefanya kazi hiyo.
Ukifiatilia deeply JWTZ hawajawahi kufanyaa maajabu huko, bora hata Wakenya walipokuwepo kuliko hawa wetu.
Lakini wale wahuni huwa wakidhibitiwa wanarudi kwenye drawing board wanajipanga upya na mkizubaa kidogo wanashambulia tena, kitimtim kule hakitakuja kuisha. Kumeshakuwa sawa na Gaza.
 
Ukifiatilia deeply JWTZ hawajawahi kufanyaa maajabu huko, bora hata Wakenya walipokuwepo kuliko hawa wetu.
Lakini wale wahuni huwa wakidhibitiwa wanarudi kwenye drawing board wanajipanga upya na mkizubaa kidogo wanashambulia tena, kitimtim kule hakitakuja kuisha. Kumeshakuwa sawa na Gaza.
Hao m23 hakuna kitu wanaogopa kama jwtz,wakiingia mzigoni lazima usikie kelele toka m23,sema safari hii siyo kama 2013, safari hii mandate imepungua
 
Back
Top Bottom