MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Nilipokuwa mdogo kila siku jioni kwenye BBC na DW lazima usikie CNDD-FDD wakitwangana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hao ni wanajeshi kamili sio watoto ni Rwandiz na Yuganda kazi kubwa imefanyika jana!!!M 23 wanamiliki mikoa mingapi huko DRC? Mbona kila siku wanaibuka na kutulizwa. Kuna mtu mmoja aliwahi kuandika humu kwamba ni vitoto vidogo na vina dhibitika hata na FFU wetu, sijui kwanini nchi hiyo yenye msaada wa kijeshi kutoka nchi kadhaa bado wanashindwa kuwamaliza M23.
Mapema jana usiku BM zimeunguruma bila kusimama kama masaa 7 baada ya hapo ni viliko tu huko mpaka Kigali .Mbwa na mbweha wanajipatia mlo wa kutosha.Hawa wanyama wanastahili walicho kipata unyama wanaowafanyia wanawake na wasichan wadogo ni wakutishaKwan walishafika tayar huko?
Raia wa nchi Gani wanawashangilia m23Hao M23 wanachofanya ni kutibua hali ya hewa na kutulia/pasikalike kama huko kwingine wameteka kote, inaonekana hata hiyo Goma kama wangedhamiria nayo wangeichukua TU
vijana wamerudi chimbo zao baada ya kujidhihirisha kuwa wapo!
Kuna clip niliona M23 wanarudi kutoka vitani raia wanawashangilia kwa kazi safi 😁
Watoto wadogo gani wanamiliki Ant Aircraft missiles.M 23 wanamiliki mikoa mingapi huko DRC? Mbona kila siku wanaibuka na kutulizwa. Kuna mtu mmoja aliwahi kuandika humu kwamba ni vitoto vidogo na vina dhibitika hata na FFU wetu, sijui kwanini nchi hiyo yenye msaada wa kijeshi kutoka nchi kadhaa bado wanashindwa kuwamaliza M23.
Huyo maneno ya vijiweni aje KivuWatoto wadogo gani wanamiliki Ant Aircraft missiles.
Mkuu nini kinashindikana elimination ya hawa M23?Mapema jana usiku BM zimeunguruma bila kusimama kama masaa 7 baada ya hapo ni viliko tu huko mpaka Kigali .Mbwa na mbweha wanajipatia mlo wa kutosha.Hawa wanyama wanastahili walicho kipata unyama wanaowafanyia wanawake na wasichan wadogo ni wakutisha
Mwambieni aje abebe mizoga apeleke kwakre ...Congo itabaki kuwa salama muda wote na akirudia Masase mpaka chumbani kwake!!!
East African Community huku ndo kuna shida ila sasa naona kwa kutumia SADEC huku ndo solution ipo ya eliminationMkuu nini kinashindikana elimination ya hawa M23?
Naomba elimu tafadhari
Raia wa wapi hao mkuu?Hao M23 wanachofanya ni kutibua hali ya hewa na kutulia/pasikalike kama huko kwingine wameteka kote, inaonekana hata hiyo Goma kama wangedhamiria nayo wangeichukua TU
vijana wamerudi chimbo zao baada ya kujidhihirisha kuwa wapo!
Kuna clip niliona M23 wanarudi kutoka vitani raia wanawashangilia kwa kazi safi 😁
Ni miaka zaidi ya 10 hakuna elimination. Kwa sasa unadhani kuna plan mpya?East African Community huku ndo kuna shida ila sasa naona kwa kutumia SADEC huku ndo solution ipo ya elimination
Wamefanya hivyo katika taarifa yao.Wasisahau kutoa taarifa pia wanajeshi tisa wa SA hatunao tena duniani kwenye hili tukio
UN majizi tu wao concentration yao ni Madini tu hawana impact yoyote haswa kulinda raiaUna habari UN inaondoa watu wake na kufunga ofisi? Kwa kinachoitwa kwa muda!!! Fumbuka macho baba! Hiyo M23 unayoiongelea usishangae ikiwa Goma. Badhi wakiwa wazalendo, wengine wakiwa FARDC! Jipe mda. Burundi ipo wapi? Hivi, hiyo JWTZ unayoitaja unadhani wanakulupuka? Wangapi umesikia wameuliwa? Ni kwamba hawapo?
Hiyo sio vita ya Alshabaab mzee. Kila vita inalenga masrahi. Tanzania inapata nini labda!!!
Nipo nafatilia mkuu
Uko sahihii kabisaKakudanganya vibaya sana ngoja nikufumbue macho m23 ni jeshi kamili lenye wataalamu wote wa kivita , wana intelijensia kali sana, wana vifaa vya kisasa mno, wana askari wenye mafunzo bora kabisa, wana mifumo ya kisasa ya uongozaji vita( drones) ,
Wana wataalam mbali mbali wa medani mpaka snipers, commando, na elites wengine usiwachukulie poa hata kidogo na
Sio kwamba ni vitoto ni mashabab haswa tu na wana nidhamu ya kijeshi sio waasi koko wale
Hahahaha,we kweli mdg ila usemacho ni kweli, hivyo ni vyama vya BurundiNilipokuwa mdogo kila siku jioni kwenye BBC na DW lazima usikie CNDD-FDD wakitwangana.
Wamefika 13Wasisahau kutoa taarifa pia wanajeshi tisa wa SA hatunao tena duniani kwenye hili tukio