Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

M 23 wanamiliki mikoa mingapi huko DRC? Mbona kila siku wanaibuka na kutulizwa. Kuna mtu mmoja aliwahi kuandika humu kwamba ni vitoto vidogo na vina dhibitika hata na FFU wetu, sijui kwanini nchi hiyo yenye msaada wa kijeshi kutoka nchi kadhaa bado wanashindwa kuwamaliza M23.
Mkuu hao ni wanajeshi kamili sio watoto ni Rwandiz na Yuganda kazi kubwa imefanyika jana!!!
 
Kwan walishafika tayar huko?
Mapema jana usiku BM zimeunguruma bila kusimama kama masaa 7 baada ya hapo ni viliko tu huko mpaka Kigali .Mbwa na mbweha wanajipatia mlo wa kutosha.Hawa wanyama wanastahili walicho kipata unyama wanaowafanyia wanawake na wasichan wadogo ni wakutisha

Mwambieni aje abebe mizoga apeleke kwakre ...Congo itabaki kuwa salama muda wote na akirudia Masase mpaka chumbani kwake!!!
 
Hao M23 wanachofanya ni kutibua hali ya hewa na kutulia/pasikalike kama huko kwingine wameteka kote, inaonekana hata hiyo Goma kama wangedhamiria nayo wangeichukua TU
vijana wamerudi chimbo zao baada ya kujidhihirisha kuwa wapo!

Kuna clip niliona M23 wanarudi kutoka vitani raia wanawashangilia kwa kazi safi 😁
Raia wa nchi Gani wanawashangilia m23
 
M 23 wanamiliki mikoa mingapi huko DRC? Mbona kila siku wanaibuka na kutulizwa. Kuna mtu mmoja aliwahi kuandika humu kwamba ni vitoto vidogo na vina dhibitika hata na FFU wetu, sijui kwanini nchi hiyo yenye msaada wa kijeshi kutoka nchi kadhaa bado wanashindwa kuwamaliza M23.
Watoto wadogo gani wanamiliki Ant Aircraft missiles.
 
Mapema jana usiku BM zimeunguruma bila kusimama kama masaa 7 baada ya hapo ni viliko tu huko mpaka Kigali .Mbwa na mbweha wanajipatia mlo wa kutosha.Hawa wanyama wanastahili walicho kipata unyama wanaowafanyia wanawake na wasichan wadogo ni wakutisha

Mwambieni aje abebe mizoga apeleke kwakre ...Congo itabaki kuwa salama muda wote na akirudia Masase mpaka chumbani kwake!!!
Mkuu nini kinashindikana elimination ya hawa M23?

Naomba elimu tafadhari
 
Hao M23 wanachofanya ni kutibua hali ya hewa na kutulia/pasikalike kama huko kwingine wameteka kote, inaonekana hata hiyo Goma kama wangedhamiria nayo wangeichukua TU
vijana wamerudi chimbo zao baada ya kujidhihirisha kuwa wapo!

Kuna clip niliona M23 wanarudi kutoka vitani raia wanawashangilia kwa kazi safi 😁
Raia wa wapi hao mkuu?

Maana huko Congo ni mara nyingi tu tunaletewa taarifa humu kuwa hao wapuuzi wameua raia, tena kikatili sana!
 
Una habari UN inaondoa watu wake na kufunga ofisi? Kwa kinachoitwa kwa muda!!! Fumbuka macho baba! Hiyo M23 unayoiongelea usishangae ikiwa Goma. Badhi wakiwa wazalendo, wengine wakiwa FARDC! Jipe mda. Burundi ipo wapi? Hivi, hiyo JWTZ unayoitaja unadhani wanakulupuka? Wangapi umesikia wameuliwa? Ni kwamba hawapo?
Hiyo sio vita ya Alshabaab mzee. Kila vita inalenga masrahi. Tanzania inapata nini labda!!!
 
Una habari UN inaondoa watu wake na kufunga ofisi? Kwa kinachoitwa kwa muda!!! Fumbuka macho baba! Hiyo M23 unayoiongelea usishangae ikiwa Goma. Badhi wakiwa wazalendo, wengine wakiwa FARDC! Jipe mda. Burundi ipo wapi? Hivi, hiyo JWTZ unayoitaja unadhani wanakulupuka? Wangapi umesikia wameuliwa? Ni kwamba hawapo?
Hiyo sio vita ya Alshabaab mzee. Kila vita inalenga masrahi. Tanzania inapata nini labda!!!
UN majizi tu wao concentration yao ni Madini tu hawana impact yoyote haswa kulinda raia

Jeshi la SADC limeingia mzigonin ndo maana uvamizi wa Goma umesambaratwisha

WaTanzania wengi wapo Congo wanafany biashara na TRA inafaidika na kodi zO hivyo Congo kwanza
 
Kakudanganya vibaya sana ngoja nikufumbue macho m23 ni jeshi kamili lenye wataalamu wote wa kivita , wana intelijensia kali sana, wana vifaa vya kisasa mno, wana askari wenye mafunzo bora kabisa, wana mifumo ya kisasa ya uongozaji vita( drones) ,

Wana wataalam mbali mbali wa medani mpaka snipers, commando, na elites wengine usiwachukulie poa hata kidogo na
Sio kwamba ni vitoto ni mashabab haswa tu na wana nidhamu ya kijeshi sio waasi koko wale
Uko sahihii kabisa
 
Back
Top Bottom