Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

Vip vita imefikia wapi saizi m23 wanaendelea kuelekea goma au wanarudi nyuma
Ni tactical retreat hawajaondoka kwa kupigwa wameondoka kujipanga upya lakini angalia hizi sura ni za wapi
1000345473.jpg
 
🇨🇩#RDC: Jeshi la Afrika Kusini linatangaza kwamba limefaulu, pamoja na FARDC na washirika, kusimamisha maendeleo ya muungano wa M23/RDF kuelekea Goma:

"Vikosi vya maadui vya M23 vilikuwa vimezindua shambulio kubwa kwa askari wetu ili kumtia Goma, lakini hawakuweza kuendeleza shukrani kwa upinzani wa kishujaa wa wapiganaji wetu mashujaa."

Vikosi vyetu havikusimamisha maendeleo ya M23 tu, lakini pia viliweza kuwarudisha. nia ya M23, pamoja na mambo mengine, ilikuwa kuudhibiti mji wa Goma, lakini walipata upinzani mkali kutoka kwa kikosi cha Afrika Kusini kilichowazuia kufika Goma. "

COMMUNICATED ⤵️

View attachment 3214162

Ni hatari kubwa sana hii.
Endapo kama wangekuwepo Wanajeshi Wapiganaji wa kikosi Cha Serikali ya Congo DR peke yake, hawa Waasi wa M23 wangekuwa tayari wameshauteka mji wa Goma na kuanzisha Serikali yao huko Mashariki mwa nchi hiyo.
 
Huyo msenge yuko wapi? Weka updates hapa watu wajue nini kiko Goma kwa sasa!
 

Attachments

  • OjqAY1vfOkuXpDES.mp4
    6 MB
  • QRMqvLd8McA4uYn5 (1).mp4
    6.4 MB
Kuna kajamaa kembambaa karefu bila huyo kuliwa kichwa, DRC haitakaa itulie
 
Vitani, maisha hupotea.
Ndio sema komenti za raia wa SA ndio zinachanganya kuna mtu kauliza wanajeshi wa SA wanaenda kufanya nini kwenye taifa ambalo ni huru?Mwingine akasema wameenda kulinda migodi inayo milikiwa na ANC.

Sema yote,ulinzi wa amani kwenye mataifa yenye machafuko ni kazi ya hatari sana.Kuna jamaa yangu aliwahi kutumwa Sudan alisema hii kazi ngumu hajapata kuona pale mkipigwa ambush
 
Ndio sema komenti za raia wa SA ndio zinachanganya kuna mtu kauliza wanajeshi wa SA wanaenda kufanya nini kwenye taifa ambalo ni huru?Mwingine akasema wameenda kulinda migodi inayo milikiwa na ANC.

Sema yote,ulinzi wa amani kwenye mataifa yenye machafuko ni kazi ya hatari sana.Kuna jamaa yangu aliwahi kutumwa Sudan alisema hii kazi ngumu hajapata kuona pale mkipigwa ambush
Ongezea nyama mkuu
 
Vita ni biashara na uchumi kwa mataifa mengine. Lakini hao M23 kwanini hawadhibitiki, au huo ndio uwanja wa majaribio ya silaha zao?
DRC itakuwa kama Israel na palestina, Sioni ni namna gani watapata suluhu ya kudumu.
M23 wanatumika kuficha wizi na machimbo ya dhahabu unaoendelea miaka
Wanaofaidi na kuwafadhili wanajulikana ila AU wote waoga wa kulikemea na kumkamata au kuwakamata hawa wanaofadhili
Sasa hivi hata wachina wanajihusisha na biashara hii kwa sana
Wameona waachane na magogo maana kuna madini kibao huko
Wako wanao wanaoona watu wafe na amani isitawale hapo ili wao wafaidike kwa magendo hayo
Wale wachina waliokamatwa na mzigo mkubwa wa gold na cash sijui wako wapi
Au wamehonga wametoka
Africans na njaa ndio tatizo
Unafanya kila kitu kisa tu una hela
 
Ukiona mwenzio ananyolewa cha kwako tia maji.
General Chilimwami yuko wapi? Soon Goma itakomblewa na amani itadumishwa hakuna mtu kuuwawa tena kisa pua au ulefu wawe. You can't fight Natives and win. Kubaguwa raia wako ni kosa kubwa,ukiwabagua wataitafta haki.
 

Attachments

  • OOYqw7mz0QyMMRKF (1).mp4
    2.9 MB
  • DVCROVuIg0DS7dha.mp4
    7.8 MB
  • 20250126_113606.jpg
    20250126_113606.jpg
    52.1 KB · Views: 3
  • 20250126_113603.jpg
    20250126_113603.jpg
    64.8 KB · Views: 4
  • 20250126_113538.jpg
    20250126_113538.jpg
    183.5 KB · Views: 3
Ukifiatilia deeply JWTZ hawajawahi kufanyaa maajabu huko, bora hata Wakenya walipokuwepo kuliko hawa wetu.
Lakini wale wahuni huwa wakidhibitiwa wanarudi kwenye drawing board wanajipanga upya na mkizubaa kidogo wanashambulia tena, kitimtim kule hakitakuja kuisha. Kumeshakuwa sawa na Gaza.
dawa ni kupiga mpaka Rwanda na Uganda.
 
Back
Top Bottom