Maneno uliyoyaandika ni kichaka cha wajuaji wanaojivika koti la wanajua!Unaonekana huelewi, uko biased sana na analysis yako..go educate yourself
Una picha ya jenerali mwakibolwa?
Mbu wa chigali akiiona hii sharti tumbo la kuhara limshike
Wawafanye kama jwtz kule Kibiti kwa wale magaidi. Husikii tena ujinga.Kama lengo ni kuwatuliza tu it's better not to engage in the whole issue.
Lengo liwe ni total elimination na kudhibiti eneo zima pawe na amani
Amka usingizini wewe, kumekucha, hizo ni za alinacha. BU, SA, TZ, ML wote wako wanafanya mazungumzo wapewe askari wao ambao wako under M23, kwa taarifa yako baadhi ya hao askari wako kwenye masanduku. Wazung wameshafanya negotiation cap chap wakapewa mamluki wao, Viongozi wa Afrika wanasua sua kwa aibu.Kuna natafuta yamepeleka askari wao kupigana upande wa congo Kama:- Burundi,south Africa, Tanzania,Kenya,kwahiyo jipe siku 3 mbele, utasikia M23 ana Hali gani, sababu majeshi ya washirika ndo yanaingia site Sasa, yaani kumzuia M23 ni kazi inayo fanywa na washirika,niliowataja hapo juu,halafu jeshi la Kongo na raia vijana wa Kongo wameingia mzuka vibaya mno wameingia Gisenyi ( Rwanda) wametembeza kichapo kitakatifu Hadi Rwanda wamezima internet, yaani ni mchapano hasa huko ndani ya Rwanda pia kati ya wakongo na wanyarwanda
Where are you, why are you not updating us π€ͺ πππ. Unaleta porojo za vijiweni kwenye issue nzito nzito kama hiziMapema jana usiku BM zimeunguruma bila kusimama kama masaa 7 baada ya hapo ni viliko tu huko mpaka Kigali .Mbwa na mbweha wanajipatia mlo wa kutosha.Hawa wanyama wanastahili walicho kipata unyama wanaowafanyia wanawake na wasichan wadogo ni wakutisha
Mwambieni aje abebe mizoga apeleke kwakre ...Congo itabaki kuwa salama muda wote na akirudia Masase mpaka chumbani kwake!!!
Ni jwtz lakini kwaajiri ya kuepusha mgogoro wa kidiplomasia wanaitwa SANDFKuna ushirikiano mzuri sana! Tulijua ni JWTZ pekee yao ndiyo wamefanya kazi hiyo.
Wale ni jeshi kamili linakuwa trained Rwanda na Uganda hata mkiwafurusha Leo watarudi kwenye makambi ya Rwanda na Uganda wanaendelea na mazoezi na wanapatiwa siraha zote za kijeshi Kisha wanarudi tenaM 23 wanamiliki mikoa mingapi huko DRC? Mbona kila siku wanaibuka na kutulizwa. Kuna mtu mmoja aliwahi kuandika humu kwamba ni vitoto vidogo na vina dhibitika hata na FFU wetu, sijui kwanini nchi hiyo yenye msaada wa kijeshi kutoka nchi kadhaa bado wanashindwa kuwamaliza M23.
Walishindwa wanakimbili Uganda na Rwanda wanaenda kujiunga upya kijeshi na wale ni wanajeshi kamili wa RDFMkuu nini kinashindikana elimination ya hawa M23?
Naomba elimu tafadhari
Kwanini wakikimbilia nchi jirani wasiweke gadi hapo mpakani, kuhakikisha hawarudi? au wakawafuata huko huko nchi jirani?Walishindwa wanakimbili Uganda na Rwanda wanaenda kujiunga upya kijeshi na wale ni wanajeshi kamili wa RDF
Inawezeka ameshaliwa kichwa na M23.Where are you, why are you not updating us π€ͺ πππ. Unaleta porojo za vijiweni kwenye issue nzito nzito kama hizi
Yaani ujenge ukuta au?Kwanini wakikimbilia nchi jirani wasiweke gadi hapo mpakani, kuhakikisha hawarudi? au wakawafuata huko huko nchi jirani?