Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

@Bwana Utam njoo hapa uone ndege yako ya Saeqeh aliyotaja mkuu hapa. Ndege hizi ziko tisa (9) tu, sasa katika dunia hii unamiliki flying coffin tisa ili umtishe nani[emoji23]?
Hiyo ndege ni copy ya F-5 Phamton ndege ya Marekani iliyotengenezwa mwaka 1959. Eti Iran ampige US na ndege za 1959. Na wakati huo ulikataa kuwa Iraq hakutengeneza zile al-Hussein missiles, vipi hapa Iran alipewa na US hizi ndege zake tisa?
Picha zenye blue na njano-hivi ndo za Iran, hizo nyingine ni F-5 Phantom ambazo kwa sasa Marekani anaweza amua kufugia vyura humo.
 
Alichofanya Iran ni kuondoa Delta wing na kuweka sweptback wing. Basi mnajikuta mainjia wakati mambo ya kabla ya Uhuru wa Tanganyika.
 
Uko sahihi kabisa. Lakini msibadili mada kwenda kuwa Iran vs Iraq pale nilitoa mfano tu, kwa hali hii nikitoa mfano wa North Korea mtaanza kuzungumzia vita ya 1950's.
Katika vita yoyote lazima kuna silaha zitapotezwa as friendly fire, accident au enemy attack, hilo hata mgambo anajua. Tunachotazama ni ushindi, Barcelona ikishiriki UEFA haiendi na wendawazimu wa kucheza mechi zote bila kufungwa goli hata moja, inaenda kuchukua kombe tu.
Hizo Nighthawks zilikuwa ni early stealth fighters na radar absorbion yake ni kubwa kabisa. Ilikuwa ni somehow stealth.

Sasa mkuu unaamini kupigwa kwa B-2 kumi au hata zote Marekani atakimbia? Unajua ni ndege ngapi alizopoteza Marekani kwenye WW2? Ni maelfu, unajua ni meli ngapi alipoteza? Ni maelfu, je aliacha au alishindwa vita?
Huyo Iran ana silaha gani za kushambulia Marekani maeneo kama Michigan, Ohio, Washington, New Jersey? Ana silaha gani mbona hamsemi?

Hakuna vita utapigana vya defensive ushinde, ukiwa defensive unaamuliwa na adui ni lini atashambulia ndo mapigano yawepo, kwahiyo US akiretreat kujaza mafuta na kupumzika na Iran anabaki anategeshea lini adui arudi. Vita ni kushambulia ukajibu, Iran atajibu kwa zile boti ambazo nazizidi urefu pale bandari ya New York[emoji23][emoji23]?
 
Wakati wote huo Irani watakuwa kwenye usingizi wa pono!!!!
Ingekuwa kirahisi hivyo,wangekuwa wameahawapiga toka 1979. Au juzi alipo wageuza mamia wa askari wa marekani kuwa wagonjwa wa mtindio wa ubongo kwenye zile kambi mbili za Iraq
Muuache atangaze hisia zake tumjue Kama ana mccmko mkali, inaonekana kipindi anaandika alikua kafumba macho huku akivutia hisia anachokiandika kiwezekane kwenda hivyo .
 
Muuache atangaze hisia zake tumjue Kama ana mccmko mkali, inaonekana kipindi anaandika alikua kafumba macho huku akivutia hisia anachokiandika kiwezekane kwenda hivyo .
Nyuzi za Amber Rutty zipo unaweza kwenda kule kuchangia. Watu wote walioko hapa wana akili isipokuwa wewe unayetumia fasihi matusi wakati watu wanatoa facts. Kama uwezo wa kuchangia huna soma tu.
 
IRAN wame reverae injini wala sijakataa nanijambo lakawaida sana wala sijakataa

Ishu nikwamba hilo scud halikua made in IRAQ mfano IRAN wana zile ndege zinaitwa TOM CAT wamefanya featuring yakutosha je maana yake ndio wameunda wao?!

Kuna utofauti wakuunda silaha (hapa una anza mwanzo mpaka mwisho wewe binafsi bila yamkono wamtu wapili)

Kuna utofauti wakutengeneza silaha (hapa ndio unaweza ukapunguza ama ukaongeza vitu ila silaha husika imetoka sehem nyengine hujaibuni wewe)


Kumodify jambo lakawaida ila ishu nikwamba scud haikua made in IRAQ.
 
Mkuu kama unataka boat ndio iende ikashambulie NEW YORK pole sana

Nandio maana ukaambiwa sasa hv kuna moderwarfare ambalo mpaka sasa IRAN wamekichafua vyema kabisa wamewaprove wrong watu wengi tu kuanzia Rq mpaka global hawk

Unahisi lifanyike shambulizi moja dhidi ya IRAN kunandege ambayo itakua salama kuruka angani kirahisi rahisi?!

IRAN kwenyesuala la modern warfare sihaba sana nahata hao US wanatambua nandio maana wanamgwaya...
 
Swali ni moja tu, IRAN ATATUMIA SILAHA GANI KWENDA MAREKANI KUSHAMBULIA?
Jibu na fafanua, konakona za nini? Si mseme tu hizo silaha Iran hakuna?
 
Mimi nasema Iran hana missiles za kufika US, wewe unasema anazo. Prove that
Pole ,mwaka Jana Iran alionyesha baadhi ya makombora yake na kusema hii ni sehem ndogo tu ya makombora ya Iran akiyapanga Kwenye range tofauti la mwisho lilikua linafika mpaka Russia
 
Mimi nasema Iran hana missiles za kufika US, wewe unasema anazo. Prove that
namimi nasema US hana missile zakufika IRAN ukiachana na kipigo atakachokipata katika kambi zake pale akishakua kamalizika hana lakufanya kama anazo prove...



Ama ulikua unataka prove ya vp MKUU ?!
 
namimi nasema US hana missile zakufika IRAN ukiachana na kipigo atakachokipata katika kambi zake pale akishakua kamalizika hana lakufanya kama anazo prove...



Ama ulikua unataka prove ya vp MKUU ?!
Kakimbia [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…