Jeshi la Israel Iajiandaa kushambulia mitambo ya kuzalisha silaha za nyuklia ya Iran, ni fursa muhimu kufuatia kuangushwa utawala wa Asad wa Syria

Jeshi la Israel Iajiandaa kushambulia mitambo ya kuzalisha silaha za nyuklia ya Iran, ni fursa muhimu kufuatia kuangushwa utawala wa Asad wa Syria

Kwa sasa Israel ana mkono juu maana hana upinzani wa radar pale Syria, atapita atakavyo hadi karibu na mpaka wa Iran
Ni zamu ya Israel kwenda kuweka Kambi zake mpakani na Iran.

Kitendo cha Israel kuendelea kuangamiza sila za kijeshi za syria ambazo karibu 60% amezinunua kutoka Russia huku 30% akizinunua kutoka Iran na China.

Ni makubaliano ya awali kati ya waasi na US, UK na Israel. Baada ya Israel kumaliza safishasafisha yake, Israel na US watakamata tender ya kufunga mitambo ya Ulinzi nchini Syria na kuwauzia silaha.

Upande mwingine UK akichukua kazi ya kulisuka upya kabisa Jeshi la Syria na baadhi ya mafunzo wakipewa na Israel.
Syria inabadilshwa kabisa huku ikakabidhi baadhi ya maene ya kihistoria ya wayahudi kwa Israel.

Urusi anakua ameshapoteza mteja muhimu sana wa silaha zake, pia hatakuwa na tender ya ukarabati wala kuendesha hizo silaha. Ndivyo Urusi alivyon'olewa pale middle east.
Bomba la gas kutoa Qatar, kupitia syria kwenda Ulaya litajengwa na hapo gas ya Russia inakwenda kupoteza soko la Ulaya.
 
Ni zamu ya Israel kwenda kuweka Kambi zake mpakani na Iran.

Kitendo cha Israel kuendelea kuangamiza sila za kijeshi za syria ambazo karibu 60% amezinunua kutoka Russia huku 30% akizinunua kutoka Iran na China.

Ni makubaliano ya awali kati ya waasi na US, UK na Israel. Baada ya Israel kumaliza safishasafisha yake, Israel na US watakamata tender ya kufunga mitambo ya Ulinzi nchini Syria na kuwauzia silaha.

Upande mwingine UK akichukua kazi ya kulisuka upya kabisa Jeshi la Syria na baadhi ya mafunzo wakipewa na Israel.
Syria inabadilshwa kabisa huku ikakabidhi baadhi ya maene ya kihistoria ya wayahudi kwa Israel.

Urusi anakua ameshapoteza mteja muhimu sana wa silaha zake, pia hatakuwa na tender ya ukarabati wala kuendesha hizo silaha. Ndivyo Urusi alivyon'olewa pale middle east.
Bomba la gas kutoa Qatar, kupitia syria kwenda Ulaya litajengwa na hapo gas ya Russia inakwenda kupoteza soko la Ulaya.
Ni mrussi yupo tu anaangalia kumbuka haya mambo wakati mwingine hutokea hata misri akina muslim brotherhood waliwzidi kete akina husni mubarak na kukubali wakachukua nchi halafu wakajipanga wakaichukua tena imerudi kwao relax hayo mambo hayahitaji hasira ni ujinga kumaliza jeshi lako syria wakati huu wakati unaweza kupambana wakati fursa ikitokea nzuri.
 
Ni mrussi yupo tu anaangalia kumbuka haya mambo wakati mwingine hutokea hata misri akina muslim brotherhood waliwzidi kete akina husni mubarak na kukubali wakachukua nchi halafu wakajipanga wakaichukua tena imerudi kwao relax hayo mambo hayahitaji hasira ni ujinga kumaliza jeshi lako syria wakati huu wakati unaweza kupambana wakati fursa ikitokea nzuri.
Ilivyokuwa Egypt ni togauti kabisa na Syria

Katika hili la Syria Urusi atakuwepo na ataishia kuanhalia tu. Hili game watu walilipanga vyema.
I
 
Ni zamu ya Israel kwenda kuweka Kambi zake mpakani na Iran.

Kitendo cha Israel kuendelea kuangamiza sila za kijeshi za syria ambazo karibu 60% amezinunua kutoka Russia huku 30% akizinunua kutoka Iran na China.

Ni makubaliano ya awali kati ya waasi na US, UK na Israel. Baada ya Israel kumaliza safishasafisha yake, Israel na US watakamata tender ya kufunga mitambo ya Ulinzi nchini Syria na kuwauzia silaha.

Upande mwingine UK akichukua kazi ya kulisuka upya kabisa Jeshi la Syria na baadhi ya mafunzo wakipewa na Israel.
Syria inabadilshwa kabisa huku ikakabidhi baadhi ya maene ya kihistoria ya wayahudi kwa Israel.

Urusi anakua ameshapoteza mteja muhimu sana wa silaha zake, pia hatakuwa na tender ya ukarabati wala kuendesha hizo silaha. Ndivyo Urusi alivyon'olewa pale middle east.
Bomba la gas kutoa Qatar, kupitia syria kwenda Ulaya litajengwa na hapo gas ya Russia inakwenda kupoteza soko la Ulaya.

Sasa Urusi si ataenda kulilipua hilo bomba, watamfanya nini?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kumekuchaa maandalizi yanaendelea kukamilisha malengo makuu

Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo:

Usiku mwema inshallah


IAF continues preparations for potential strikes in Iran
IDF sees chance for strikes on Iran nuke sites after knocking out Syria air defenses
Over 85% of Assad regime’s anti-aircraft systems destroyed in strikes, giving Israeli jets, drones total air superiority; IDF assesses weapons from Syria could reach Hezbollah
By Emanuel Fabian Follow
Today, 6:37 pm

The Israel Defense Forces believes that following the weakening of Iranian proxy groups in the Middle East and the dramatic fall of the Bashar al-Assad regime in Syria, there is an opportunity to strike Iran’s nuclear facilities, military officials said Thursday.

The Israeli Air Force has therefore continued to increase its readiness and preparations for such potential strikes in Iran.

The IDF also believes that Iran — isolated after the fall of the Assad regime and the weakening of its main proxy group Hezbollah in Lebanon — may push ahead further with its nuclear program and develop a bomb as it scrambles to replace its deterrence.


Iran has always denied seeking nuclear weapons and says both its space program and nuclear activities are for purely civilian purposes.

However, US intelligence agencies and the IAEA say Iran had an organized military nuclear program up until 2003, and continued to develop its nuclear program beyond civilian necessity. Israel contends that the Islamic Republic never truly abandoned its nuclear weapons program and many of its nuclear sites are buried under heavily fortified mountains


Kobaz hata kimombo hawajui, and they will not accept this Neta news, Trump kaweka wazi Iran ijiandae kabisa, maana Russia kapunguzwa nguvu, so Iran anapigwa kilainiiiii kama mlenda..!!!
 
Sasa Urusi si ataenda kulilipua hilo bomba, watamfanya nini?
Yeye mwenyewe anajua hawezi, ndiyo maana alitumia nguvu nyingi, gharama kubwa na muda mwingi kumsaidia Assad aendelee kuwepo pale ili bomba lisijengwe, kuliko lijengwe na kulilipia mara moja kwa gharama kiduuuchu
 
Ilivyokuwa Egypt ni togauti kabisa na Syria

Katika hili la Syria Urusi atakuwepo na ataishia kuanhalia tu. Hili game watu walilipanga vyema.
I
Hii kuna mazungumzo na Russia ndio maana bases zake na airport hazijaguswa na pia airforce yake ikaacha kuwashambulia waasi yaani kuna agreement likely kwa most of the forces zimeondoka na hazijashambuliwa na kuwa decimated kabisa most forces zimeondoka intact likely itakuwa makubaliano.
 
Hii kuna mazungumzo na Russia ndio maana bases zake na airport hazijaguswa na pia airforce yake ikaacha kuwashambulia waasi yaani kuna agreement likely kwa most of the forces zimeondoka na hazijashambuliwa na kuwa decimated kabisa most forces zimeondoka intact likely itakuwa makubaliano.
Kutoshambulia vikosi vya kigeni hiyo ni kawaida.

Airbase ya Urusi haikuacha kushambulia waasi bali ilikosa huo uwezo wa kushambulia. Hii ni baada ya Turkey kuikatalia Urusi kupitisha ndege zake kwnye anga lake kwenda kushambulia waasi. Turkey akaonya kama Russia angekaidi basi Turkey angezitungua.

Kuhusu mazungumzo hakuna mazungumzo yoyote yanayofanyika kati yao na Urusi.

Vikosi vya Urusi vimeambiwa kama vinataka vinaweza kuendelea kubaki. Jiulize vibaki kufanya nini wakati havina hata kitu wanafanya. Si ndiyo mwanzo wa kugeuzwa kuwa walinzi wa kimasai
 
I
Kati ya Iran na israel kuna Syria na Iraq,muwe mnatafuta facts kwanza, tanzania tu 1980s walikua na radar inaona mpaka ethiopia,Iran inayorusha satellite 2024 isiwe na radar ya kuona mashariki ya Kati!?
😂 Unataka tubishane nini sasa shekh?

Sasa hivi Anga za Iraq na Syria zote zipo uchi yani Israel anazurura kama yupo sebuleni kwake.

Sasa hivi Israel anajipigia tu Iran anavyotaka
 
Kutoshambulia vikosi vya kigeni hiyo ni kawaida.

Airbase ya Urusi haikuacha kushambulia waasi bali ilikosa huo uwezo wa kushambulia. Hii ni baada ya Turkey kuikatalia Urusi kupitisha ndege zake kwnye anga lake kwenda kushambulia waasi. Turkey akaonya kama Russia angekaidi basi Turkey angezitungua.

Kuhusu mazungumzo hakuna mazungumzo yoyote yanayofanyika kati yao na Urusi.

Vikosi vya Urusi vimeambiwa kama vinataka vinaweza kuendelea kubaki. Jiulize vibaki kufanya nini wakati havina hata kitu wanafanya. Si ndiyo mwanzo wa kugeuzwa kuwa walinzi wa kimasai
Yaani waasi wako ndani ya syria na air base russia ziko ndani ya syria halafu tena ilihitajika permission ya uturuki kurusha ndege ,hahahaha
Vikosi vya urussi viko hapo miaka mingi sana toka zama za soviet .
 
Yaani waasi wako ndani ya syria na air base russia ziko ndani ya syria halafu tena ilihitajika permission ya uturuki kurusha ndege ,hahahaha
Vikosi vya urussi viko hapo miaka mingi sana toka zama za soviet .
Kama unadhani hahitaji ni kwanini alipokatliwa alishindwa kuendelea na mipango yake ya kushambulia ili kumsaidia Assad?
Unadhani kwanini Marekani ameamua kuwa anasambaza manowali zake sehemu mbalimbali na zina park na kuishi huko?
Kuwa na Airbase haimaanishi kuwa na uwezo wa kufanya mashambulizi. Kuna aina yavmashambulizi yanahitaji aina tofaiti ya ndege au marubani. Au unadhani zile Airbase kkkkila wakati huwa zinakuwa na kila kitu kinachohitajika ?
 
Kama unadhani hahitaji ni kwanini alipokatliwa alishindwa kuendelea na mipango yake ya kushambulia ili kumsaidia Assad?
Unadhani kwanini Marekani ameamua kuwa anasambaza manowali zake sehemu mbalimbali na zina park na kuishi huko?
Kuwa na Airbase haimaanishi kuwa na uwezo wa kufanya mashambulizi. Kuna aina yavmashambulizi yanahitaji aina tofaiti ya ndege au marubani. Au unadhani zile Airbase kkkkila wakati huwa zinakuwa na kila kitu kinachohitajika ?
Russia anamkataba na syria wa kuwa military base pale tartus ,latakia ,khemeim na qashmili anazo zote naval base ,air base na pia ground forces ,hilo la kwanza la pili wairan walikuwa na askari around 4000 hadi 5000 with scattered 55 military base in it ila all in all hii nguvu yote waliaamua kuacha kupambana na kuwithdraw askari wao ndani ya syria lazimq kutakuwa na mazungumzo yalifanyika na makubaliano kufikiwa na kuondosha vikosi vyao na kutoka maeneo waliyokuwa wameweka kambi wamekubaliana nini wanajua wenyewe na hii imefanyika tuu baada ya mkutano wa gurantor wa Astana talks uliofanyika Qatar.
Ila waisrael ni opportunistic baada ya watu na jeshi kuacha mapigano na kuacha kambi wao wanazishambulia kama alikuwa na uwezo si angeashambulia tokea mwanzo sio uscavenger huu.
 
Anachokisema huyu jamaa ni sahihi. Haichukui muda Ayatola anaondoka. Njia zote zimefunguliwa, amebaki uchi na mpweke.

Anaposema mapema, tena mapema kushinda mnavyodhani. Mpango upo kamili.

Na hii sio mara ya kwanza analiongelea hili
Kiukweli niwaambie Iran sio mwaarabu
 
Ni zamu ya Israel kwenda kuweka Kambi zake mpakani na Iran.

Kitendo cha Israel kuendelea kuangamiza sila za kijeshi za syria ambazo karibu 60% amezinunua kutoka Russia huku 30% akizinunua kutoka Iran na China.

Ni makubaliano ya awali kati ya waasi na US, UK na Israel. Baada ya Israel kumaliza safishasafisha yake, Israel na US watakamata tender ya kufunga mitambo ya Ulinzi nchini Syria na kuwauzia silaha.

Upande mwingine UK akichukua kazi ya kulisuka upya kabisa Jeshi la Syria na baadhi ya mafunzo wakipewa na Israel.
Syria inabadilshwa kabisa huku ikakabidhi baadhi ya maene ya kihistoria ya wayahudi kwa Israel.

Urusi anakua ameshapoteza mteja muhimu sana wa silaha zake, pia hatakuwa na tender ya ukarabati wala kuendesha hizo silaha. Ndivyo Urusi alivyon'olewa pale middle east.
Bomba la gas kutoa Qatar, kupitia syria kwenda Ulaya litajengwa na hapo gas ya Russia inakwenda kupoteza soko la Ulaya.
Russia akikubali bomba lipite sioni hio kete akiachia kirahisi mpaka Sasa wale jamaa Wanaweza kutengenezewa zengwe la machafuko ya wao Kwa wao Bado raussia ananafasi ya kuvuruga amani syria
 
Russia akikubali bomba lipite sioni hio kete akiachia kirahisi mpaka Sasa wale jamaa Wanaweza kutengenezewa zengwe la machafuko ya wao Kwa wao Bado raussia ananafasi ya kuvuruga amani syria
Ili Russia aweze kusababisha hayo machafuko alipaswa kuwa ni nchi mbadala jirani na syria. Kule border ya Iraq na Syria kuna Israel, UK na US, upand mwingine kuna Jordan, huku kuna Lebanon na Hezibollah ameshakatwa miguu na mikono. Wakati upande mwingine kuna Turkey.
Hiyo vita Russia ataianzisha vipi?
 
Russia anamkataba na syria wa kuwa military base pale tartus ,latakia ,khemeim na qashmili anazo zote naval base ,air base na pia ground forces ,hilo la kwanza la pili wairan walikuwa na askari around 4000 hadi 5000 with scattered 55 military base in it ila all in all hii nguvu yote waliaamua kuacha kupambana na kuwithdraw askari wao ndani ya syria lazimq kutakuwa na mazungumzo yalifanyika na makubaliano kufikiwa na kuondosha vikosi vyao na kutoka maeneo waliyokuwa wameweka kambi wamekubaliana nini wanajua wenyewe na hii imefanyika tuu baada ya mkutano wa gurantor wa Astana talks uliofanyika Qatar.
Ila waisrael ni opportunistic baada ya watu na jeshi kuacha mapigano na kuacha kambi wao wanazishambulia kama alikuwa na uwezo si angeashambulia tokea mwanzo sio uscavenger huu.
Hiyo mikataba yote imeshakufa, na ndiyo maana Israel imeingiza Jeshi lake kule ikkiendelea kusafisha kambi zote za jeshi la Assad na hayo majeshi ya Russia yanaangalia na kuishia kupiga selfie tu. Kwa kifupi hawana kazi ndiyo maana wengi wameondolewa
 
Hiyo mikataba yote imeshakufa, na ndiyo maana Israel imeingiza Jeshi lake kule ikkiendelea kusafisha kambi zote za jeshi la Assad na hayo majeshi ya Russia yanaangalia na kuishia kupiga selfie tu. Kwa kifupi hawana kazi ndiyo maana wengi wameondolewa
Kichekesho mikataba sio ya Assad ni ya Syria regime change sio country change na kwenda kuondoa borders zake mikataba yote inhold na madeni yake yote syria italipa whether ni ya worls bank au laah ndio maana kuna intetnational law and order
 
Kichekesho mikataba sio ya Assad ni ya Syria regime change sio country change na kwenda kuondoa borders zake mikataba yote inhold na madeni yake yote syria italipa whether ni ya worls bank au laah ndio maana kuna intetnational law and order
MACHOKO yanajiona SMART kumbe kichwani EMPTY SET.
 
Ni zamu ya Israel kwenda kuweka Kambi zake mpakani na Iran.

Kitendo cha Israel kuendelea kuangamiza sila za kijeshi za syria ambazo karibu 60% amezinunua kutoka Russia huku 30% akizinunua kutoka Iran na China.

Ni makubaliano ya awali kati ya waasi na US, UK na Israel. Baada ya Israel kumaliza safishasafisha yake, Israel na US watakamata tender ya kufunga mitambo ya Ulinzi nchini Syria na kuwauzia silaha.

Upande mwingine UK akichukua kazi ya kulisuka upya kabisa Jeshi la Syria na baadhi ya mafunzo wakipewa na Israel.
Syria inabadilshwa kabisa huku ikakabidhi baadhi ya maene ya kihistoria ya wayahudi kwa Israel.

Urusi anakua ameshapoteza mteja muhimu sana wa silaha zake, pia hatakuwa na tender ya ukarabati wala kuendesha hizo silaha. Ndivyo Urusi alivyon'olewa pale middle east.
Bomba la gas kutoa Qatar, kupitia syria kwenda Ulaya litajengwa na hapo gas ya Russia inakwenda kupoteza soko la Ulaya.
Mzungu ni tai aonaye mbali.
Mzungu ni mchawi
 
Back
Top Bottom