Wamekua waviziaj tena [emoji23]Wazee wa kuvizia let's go then we shall see In Shaa Allah
Hivi hawa jamaa hawana jeshi au? Hivi hawana hata ndege au hata kifaru?Nchi gani inaonewa na Israel sana
Jeshi lao sijui lipo na linafanya nini
Ni nchi ambayo wakristo ndo wengi hata sheria za lebanon zinasema rais lazima awe mkristo na waziri mkuu awe muislam!
Maana Israel anaingia na kupiga atakavyo hawa watu sijui ninini shida
Sio wepesi ila Israel imekuja na mbinu kali zaidi ya kushusha kipigo kwa magaidi.Hezbollah naona ni wepesi mno kuliko HAMAS
Kaa kwa kutulia, inapigwa Hezbollah na si Lebanon kama nchi.
Lebanon waligana nchi kwa misingi ya dini,Hivi hawa jamaa hawana jeshi au? Hivi hawana hata ndege au hata kifaru?Nchi gani inaonewa na Israel sana
Jeshi lao sijui lipo na linafanya nini
Ni nchi ambayo wakristo ndo wengi hata sheria za lebanon zinasema rais lazima awe mkristo na waziri mkuu awe muislam!
Maana Israel anaingia na kupiga atakavyo hawa watu sijui ninini shida
Jeshi la Lebanon limeenda kulinda ubalozi wa USA wakati IDF wanafanya striking. Hawa hawana tofauti na Saudi Arabia. Iran ana kazi ya kufanya hapa kuondoka huu ukiritimba uliojengwa hapa Lebanon.Hivi hawa jamaa hawana jeshi au? Hivi hawana hata ndege au hata kifaru?Nchi gani inaonewa na Israel sana
Jeshi lao sijui lipo na linafanya nini
Ni nchi ambayo wakristo ndo wengi hata sheria za lebanon zinasema rais lazima awe mkristo na waziri mkuu awe muislam!
Maana Israel anaingia na kupiga atakavyo hawa watu sijui ninini shida
Silaha zimetoka marekani hizoDuh kunajamaa yangu anakuambia bora usimuliwe hicho KISHINDO.....mengi media zinaficha hata hii hapo juu huioni kwenye vyombo vikubwa vya habari Duniani
Naiogopa sana Sayansi hawa watu wakiamuwa kukumaliza wanakumaliza huruma yangu tu kwa watoto wadogo wasiojuwa chochote kuwa majivu dah visasi vya Maangamizi
Mnatishia watu huko barabarani na silaha za kivita tena nduguzenu hawana hata upinde jifunzeni hapo juu Amani ni Tunu mtu aki hafukwa ....
Iran kama anataka vita na Israel aende nae 1v1 sio kutumia nchi za watuJeshi la Lebanon limeenda kulinda ubalozi wa USA wakati IDF wanafanya striking. Hawa hawana tofauti na Saudi Arabia. Iran ana kazi ya kufanya hapa kuondoka huu ukiritimba uliojengwa hapa Lebanon.
BENJA KAWAAMBIA ,MKITHUBUTU NASI TUTATHUBUTU. Dah,huyu Benja mjeuri sana aiseeIran kama anataka vita na Israel aende nae 1v1 sio kutumia nchi za watu
Alikuwepo alikuwa ametoka mafichoni kwenda headquarters kutazama hotuba ya NetanyahuBahat mbaya yule mungu wao nasrallah hakuepo