Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hapana, ni jeshi kamili lenye vifaa vya kutosha tuJeshi lao ni sawa na migambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, ni jeshi kamili lenye vifaa vya kutosha tuJeshi lao ni sawa na migambo
Jeshi lipo lakini halijihusishi na vita. Israel anapigana na kikundi kidogo tu kama vile alshabab ya Somalia au bokoharam ya Nigeria.Hivi hawa jamaa hawana jeshi au? Hivi hawana hata ndege au hata kifaru?Nchi gani inaonewa na Israel sana
Jeshi lao sijui lipo na linafanya nini
Ni nchi ambayo wakristo ndo wengi hata sheria za lebanon zinasema rais lazima awe mkristo na waziri mkuu awe muislam!
Maana Israel anaingia na kupiga atakavyo hawa watu sijui ninini shida
Hezbollah sio wepesi, wako vizuri sana kuliko Hamas na wanawazidi mbali. Tofauti zao ni kubwa.Hezbollah naona ni wepesi mno kuliko HAMAS
Hivi hawa jamaa hawana jeshi au? Hivi hawana hata ndege au hata kifaru?Nchi gani inaonewa na Israel sana
Jeshi lao sijui lipo na linafanya nini
Ni nchi ambayo wakristo ndo wengi hata sheria za lebanon zinasema rais lazima awe mkristo na waziri mkuu awe muislam!
Maana Israel anaingia na kupiga atakavyo hawa watu sijui ninini shida
Hahahahaa yamekuwa hayo Kim's boy?Kumbe hezbollah ni nchi na hamsemi[emoji23][emoji23]
Wakristo wenzenu wa Lebanon wanaangamizwa halaf mnacheka
Rumors are swirling "she's gone" to be one of the 72 virginsMakao makuu ya Hezbollah mjini Beirut yamechakazwa vibaya kwa ndege za kivita za Israel na kuharibu eneo lote kabisa, shambulio Hilo lilimlenga kiongozi wa Hezbollah Hassan nasrallah ambaye haijulikani alipo mpaka sasa
View attachment 3108670
Kuna mmoja kwasasa ni marehem aliitwa Ariel Sharon. Yule jamaa alikuwa balaa na nusu. Aliwahi kuongoza jeshi mpaka Beirut kuchinja wa Palestina. Hiki ndio kizazi cha vita cha Israel. Ghafla watu washasahau mambo ya Gaza.Huyu Benja acha kabisa ni hatari
Bro acha kukariri hadithi za kwenu. Yaan unajidanganya jews wanaogopa kifo uko serious?Akili kubwa kufagia mtaa mzima kisa kuna adui yako mmoja tu unayemtafuta? You can't be serious ukimkosa Mungu na imani huwezi kua clever wale walibugi tangu mwanzo japo Mungu wao aliwapenda lakini walishafeli nae kuwakataa mara ya kwanza aliwazungusha jangwani miaka 40, sasa amewanyima amani na akawajaza kiburi kama cha Firauni, halafu kawapa hofu ya kifo then yeye Mungu ndio Mkusanya roho, hivyo wao ni kuhangaika tu na kuambia wataishi hivyo miaka na miaka mpaka qiyama isipokua watakao watakao jaaliwa na Mila hekima ya kutubu.
Pumbafu! Netanyau alishatangaza raia wasepe ili wamtoe nyoka hapo pangoni zen badae watarudishwa kwaio wacha moto uwakeJeshi lipo lakini halijihusishi na vita. Israel anapigana na kikundi kidogo tu kama vile alshabab ya Somalia au bokoharam ya Nigeria.
Wafarisayo wa yombo sasa..... Israel taifa kubwa..... IDF inawashambulia vibaya.....
Kiuhalisia Israel na nyenzo na vyombo vyake vyote ni failure. Huwezi kuhangaika na wanamgambo tu miaka kibao huku ukiua wanawake na watoto wasio na hatia.
Nasiralla huyo mawinguni muone humo mwenye moshiKuna mmoja kwasasa ni marehem aliitwa Ariel Sharon. Yule jamaa alikuwa balaa na nusu. Aliwahi kuongoza jeshi mpaka Beirut kuchinja wa Palestina. Hiki ndio kizazi cha vita cha Israel. Ghafla watu washasahau mambo ya Gaza.
Mtaalam , embu wafundishe hao Israel namna sahihi ya kupambana na hayo magaidi.Jeshi lipo lakini halijihusishi na vita. Israel anapigana na kikundi kidogo tu kama vile alshabab ya Somalia au bokoharam ya Nigeria.
Wafarisayo wa yombo sasa..... Israel taifa kubwa..... IDF inawashambulia vibaya.....
Kiuhalisia Israel na nyenzo na vyombo vyake vyote ni failure. Huwezi kuhangaika na wanamgambo tu miaka kibao huku ukiua wanawake na watoto wasio na hatia.
Myahudi bana level nyingine!! Ona jinsi anavyo locate hayo makombora ambayo Hezbollah wameyaficha kwanye ma bunkers ya nyumba za raiaMakao makuu ya Hezbollah mjini Beirut yamechakazwa vibaya kwa ndege za kivita za Israel na kuharibu eneo lote kabisa, shambulio Hilo lilimlenga kiongozi wa Hezbollah Hassan nasrallah ambaye haijulikani alipo mpaka sasa
Hamas huko aliko anachekelea shoo anayokutana nayo mwenzake.
Hezbollah alikuja kwa mikwara "Oi mzee Baba Hamas niachie nikupokeze mchumba tu huyo, vitu vyangu hivi". Hamas akauliza "Kweli unataka?", Hezbollah "Unauweka unauweka..." kinachoendelea ni kinyume kabisa ya walichotegemea
View attachment 3108670
Wamuulize Osama bin Laden na Saddam Hussein kwanza kama wameambulia chochote kutoka kwa huyo Allah.....kulingana na vyanzoo vyangu vya habari Osama anajuta sana wala hataki kumsikia huyo AllahAlitaka jeshi likampiganie allah ambaye ameshindwa kulinda na kuokoa watu wake.
Ila mashariki ya kati imegawanywa vipande vipande..divide and rule.....Dola Ile wangeungana hakuna wa kuwagusaBaada ya Israel kuusambalatisha mji wa Gaza na sasa anaonekana kuanza kuushambulia Lebanon huku Iran akiwa mtazamani wa haya yote yanayotokea je Iran anaogopa naogopa uingilia kati kuwaokoa maswahiba wake ambao kila siku amekuwa anajinasibu kuwasaidia lakini kipindi hiki naona amekuwa mtazamani....akiacha wenzie Lebanon na Gaza wakiambulia kipigo kibaya....je huu ndo ni mwisho wa ushawishi wa Iran kwa maswahiba zak mashariki ya kati?
Kwani siku walipoishambulia Israel walichagua cha kupiga?Akili kubwa kufagia mtaa mzima kisa kuna adui yako mmoja tu unayemtafuta? You can't be serious ukimkosa Mungu na imani huwezi kua clever wale walibugi tangu mwanzo japo Mungu wao aliwapenda lakini walishafeli nae kuwakataa mara ya kwanza aliwazungusha jangwani miaka 40, sasa amewanyima amani na akawajaza kiburi kama cha Firauni, halafu kawapa hofu ya kifo then yeye Mungu ndio Mkusanya roho, hivyo wao ni kuhangaika tu na kuambia wataishi hivyo miaka na miaka mpaka qiyama isipokua watakao watakao jaaliwa na Mila hekima ya kutubu.