Jeshi la Israeli limechukua udhibiti wa kilele cha Mlima Hermoni upande wa Syria bila pingamizi, eneo la kimkakati linalotazama Lebanon na Syria

Kuna hadithi ya Mtume Muhammad Israel atafika mpaa Damascus, afu bada ya hapo ndipo itakombolewa Palestine, na haswa Masjid Al Aqsa.

Kwa hio kila Israel akimeza Syria ndio anajichimbia kaburi lake. Hata wayahudi wanajua hayo.
"Hadithi"!
 
Kuna hadithi ya Mtume Muhammad Israel atafika mpaa Damascus, afu bada ya hapo ndipo itakombolewa Palestine, na haswa Masjid Al Aqsa.

Kwa hio kila Israel akimeza Syria ndio anajichimbia kaburi lake. Hata wayahudi wanajua hayo.
Hakuna kitu kama hicho ,hizo ni hadithi za Abunuasi
 
🀣🀣🀣Dah wewe jamaa
 
Kuna hadithi ya Mtume Muhammad Israel atafika mpaa Damascus, afu bada ya hapo ndipo itakombolewa Palestine, na haswa Masjid Al Aqsa.

Kwa hio kila Israel akimeza Syria ndio anajichimbia kaburi lake. Hata wayahudi wanajua hayo.
Hiyo imeandikwa wapi.?
 
Oh great! What about this one - Mt. Hermoni!? Uko kwenye maandiko yoyote?
Mlima Moria mdip Ibrahimu alipewa agizo la kumtoa Isaka kama sadaka (Mwanzo 22:2).

Eneo hilo ndio pia mahali ambapo Hekalu la Sulemani lilijengwa huko Yerusalemu, kulingana na maandiko ya 2 Mambo ya Nyakati 3:1. Ulipo mlima Moria ndiyo sehemu ya Yerusalemu, hasa pale ambapo ipo Dome of the Rock.

Wakati Mlima Hemoni, Zaburi 133:3, "Ni kama umande wa Hermoni, ushukao juu ya milima ya Sayuni."

Katika Agano Jipa, kuna wanaamini kuwa Yesu alibadilika sura (Transfiguration) pale Hermoni (Mathayo 17:1-9), ingawa wengine hudhani kuwa tukio hilo lilifanyika Mlima Tabor.
Hermoni iko kaskazini mwa Israeli, karibu na mpaka wa Lebanon na Syria. Ni mlima mkubwa zaidi katika eneo hilo, unakaribia kuringana urefu na Milima ya Rungwe na Uluguru. pia ni chanzo muhimu cha maji yanayolisha Mto Yordani.
 
Inasikitisha sana.....uko Syria

Ufunuo 13:11-18 inatimia, USA inatenda kama joka na ita SUBJUGATE(tiisha) mashariki ya kati yote na kupachika World federation. Vita vya Syria ni njia ya kuifikia Iran kisha uchumi utatikiswa na nchi nyingi zitasalimu amri ikiwemo China.
 
Halafu wabongo nao wanashangilia huu ujinga wa nchi moja kuchukua sehem ya nch nyingine
Kwa asili Israel alipoteza maeneo mengi sana yalivyotajwa katika Biblia, akisema ayakomboe yote ataingia migogoro karibu nchi zote za jirani. Mahusiano yake na Mungu yalipoharibika Mungu akaruhusu watawanywe kama adhabu na kupoteza ardhi kubwa sana.
 
Mavazi yake yakawa meupe kama theluji! Mlima Hermoni una theluji ule. Asante Kiongozi.
 

Ukitaka kunua kwa nini israel hiyo milima ya golani ni muhimu kwake angalia hii clip


View: https://youtu.be/ENumCCEQ9yU?si=aSJj7pHWj15wHS2A
Hiyo clip itakuonyesha kwa nini Israel ili awe na amani ni lazima ahakikishe anakuwa step moja mbele ya adui zake ambao kazungukwa nao la
Sivyo atafutwa kwenye uso wa dunia

Pamoja na kupokea misaada ya US lakini jews wenyewe wako smart sana

La sivyo misaada bila kuwa inteligent ni bure.. ushahidi tunao afrika huku
 
Kuna series yake ipo, hawa jamaa linapokuja suala la kukusanya intelejensia watafanya usichofikiria


View: https://www.youtube.com/watch?v=5UijUOy0MmE
 
Huu ni mlima ambao Malaika waasi walishuka kutoka mbinguni.watoto wao wanataka kuuchukua
 
Nimesoma Article ya press TV Iran wanapatwa na donge mno kuhusu Golan eti Israel anapata faida nyingi za kiuchumi kwenye milima maji ya chini ya ardhi ya milima ndio inanywesha waisrael pia kwenye milima hiyo kuna reserves ya mamilion ya mafuta. So wanajaribu kuleta uchochezi ili waasi waingie chaka la kupigania kisha wajitokeze kama kawaida yao eti kusaidia hahaha Netanyahu keshasema anakata mikono yote miwili kwa anayetaka super ring na Israel.. no more kucheka na nyani ni kuzabua tu haswa ukijua hakuna anayekupenda.

Kiufupi Waasi wamesema No ti Iran yaani wamempa ile do me a favor plz gerara here you know whara am saying shit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…