Pre GE2025 Jeshi la Polisi: Hatujakubali au kukataa maandamano, tutawapa majibu tarehe 23

Pre GE2025 Jeshi la Polisi: Hatujakubali au kukataa maandamano, tutawapa majibu tarehe 23

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama hawajakubaliana wasijibu kwa barua waje wajibu kwa rungu
 
Maandamano ambayo ni haki ya kikatiba yamegeuka barua ya mapenzi ya kizamani mpaka wasubiri majibu ya kukubaliwa kwa barua?
Ni lazima uombe ulinzi wa polisi ili walinde amani katika maandamano yako. Bila polisi chawa wanaweza kujipenyeza na kuanzisha vurugu na uvunjifu wa amani ikawa ndiyo precedent ya kupokonywa hiyo haki ya kikatiba.

Polisi nao wana haki ya kukataa hasa wakiwa na taarifa za kiintelijensia kwamba kutakuwa na uvunjifu wa amani.

Ni haki ya kikatiba ndiyo lakini ni lazima kuwe na utaratibu!
 
Ni lazima uombe ulinzi wa polisi ili walinde amani katika maandamano yako. Bila polisi chawa wanaweza kujipenyeza na kuanzisha vurugu na uvunjifu wa amani ikawa ndiyo precedent ya kupokonywa hiyo haki ya kikatiba.

Polisi nao wana haki ya kukataa hasa wakiwa na taarifa za kiintelijensia kwamba kutakuwa na uvunjifu wa amani.

Ni haki ya kikatiba ndiyo lakini ni lazima kuwe na utaratibu!
Taarifa za awali zinasema walikuwa kwenye kikao, Mbowe sio kichaa akurupuke kusema ambacho hawakuwa wamekubaliana.

Mbona huwa anasema wakinyimwa vibali vya mikutano? Hii wamebadili gia angani kwa maelekezo.
 
Mbowe kaona hana jipya kaamua kutunga uongo eti polisi wemekubali bila hata kuwaonesha nyumbu kibali. Sasa watalalamika kwamba wamenyang'anywa kibali. Kumbe hakukuwa hata na mtu wa kuandamana.

Wewe ni mjinga usiyeelewa hata sheria ambazo ni very basic.

Polisi huwa hawatoi kibali cha maandamano na wala hawana mamlaka hayo. Polisi huwa wanapewa taarifa ya uwepo wa maandamano ili watoe ulinzi kuhakikisha kuna usalama wa kutosha. Na kama wana ushauri wowote, kuhusiana na nafasi yao ya kutoa ulinzi, basi wanatoa ushauri au huamua kujadiliana na walioandaa maandamano namna ya kufanya maandamano kukiwa na hali ya usalama.

Lakini wengi kwa sababu ya ujinga, utawasikia eti polisi wametoa kibali!!
 
Ni aibu kubwa kwa mtu wa umri wa Mbowe, miaka 70 ya kuzaliwa, kusema uongo hadharani.

Just imagine kadanganya mangapi kwa wanachadema tangu aingie kwenye siasa.
Ndio kawaida yake kuwadanganya wafuasi wake ambao alishawachukilia kama watu ambao hawana akili na manyumbu tu wakuburuzwa na kukokotwa tu.
 
eshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limekutana na Viongozi wa CHADEMA na kuwahoji kuhusu maandamano waliyopanga kuyafanya January 24,2024 na wamekubaliana kuwa watawapa majibu kimaandishi kesho January 23,2024 kama maandamano yawepo au yasiwepo na kusisitiza kuwa hadi kufikia sasa Polisi hawajakubali wala kukataa uwepo wa maandamano hayo.

Akiongea na TBC, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro amesema “Baada ya kuwaona Katibu Mkuu wa CHADEMA akitangaza kwa kutumia Vyombo mbalimbali kwamba tarehe 24 lazima atafanya maandamano suala hili tumelifuatilia kwa ukaribu na leo January 22,2024 tulimuita Katibu Mkuu wa Chama hicho lakini akatuma ujumbe wa Naibu Katibu Mkuu akiwa na wenzake na tumefanya nao mahojiano mbalimbali kwa kina kulingana na suala walilotangaza”

“Mimi nikiwa na Maofisa wa Kamisheni mbalimbali baada ya kuwasikiliza kwa kina na sisi kufuatilia kwa kina dhamira yao na kwasababu walituletea taarifa yao kimaandishi sisi hatujakubali au kukataa maandamano yao, majibu yao tumekubaliana kwamba tutawaapa kimaandishi kesho January 23,2024”

“Hatujaawambia maandamano yapo au hayapo kwasababu walituandikia barua kwenye Himaya zao na sisi majibu watayapata kwenye Himaya walizoandika barua hizo ambapo utakuwa ndio mwongozo wa nini kinafanyika huku tukizingatia masuala ya kiusalama na Maslahi ya Taifa kwa ujumla, tumezingatia suala la amani na majibu yao watayapata kesho”
Hii nchi imeshakua ni police state, SIO WAJIBU WA POLICE KUTOA PERMIT, wajibu WAO ni kutoa ULINZI
 
Acha ujinga wa kipumbavu, police wanawajibika kutoa ulinzi kwa wote na SIO KIBALI, Tanzania sio ya wavaa kijani pekee
Huwezi ukawapa ulinzi watu ambao wanataka kuleta vurugu na kukwamisha shughuli za kiuchumi kwa wananchi. CHADEMA ihangaike na namna ya kujenga chama kilichokosa ushawishi kwa wananchi na kupuuzwa na kila mtanzania
 
1705949892525.png

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limekutana na Viongozi wa CHADEMA na kuwahoji kuhusu maandamano waliyopanga kuyafanya January 24,2024 na wamekubaliana kuwa watawapa majibu kimaandishi kesho January 23,2024 kama maandamano yawepo au yasiwepo na kusisitiza kuwa hadi kufikia sasa Polisi hawajakubali wala kukataa uwepo wa maandamano hayo.

Akiongea na TBC, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro amesema “Baada ya kuwaona Katibu Mkuu wa CHADEMA akitangaza kwa kutumia Vyombo mbalimbali kwamba tarehe 24 lazima atafanya maandamano suala hili tumelifuatilia kwa ukaribu na leo January 22,2024 tulimuita Katibu Mkuu wa Chama hicho lakini akatuma ujumbe wa Naibu Katibu Mkuu akiwa na wenzake na tumefanya nao mahojiano mbalimbali kwa kina kulingana na suala walilotangaza”

“Mimi nikiwa na Maofisa wa Kamisheni mbalimbali baada ya kuwasikiliza kwa kina na sisi kufuatilia kwa kina dhamira yao na kwasababu walituletea taarifa yao kimaandishi sisi hatujakubali au kukataa maandamano yao, majibu yao tumekubaliana kwamba tutawaapa kimaandishi kesho January 23,2024”

“Hatujaawambia maandamano yapo au hayapo kwasababu walituandikia barua kwenye Himaya zao na sisi majibu watayapata kwenye Himaya walizoandika barua hizo ambapo utakuwa ndio mwongozo wa nini kinafanyika huku tukizingatia masuala ya kiusalama na Maslahi ya Taifa kwa ujumla, tumezingatia suala la amani na majibu yao watayapata kesho.


TBC
 
Aiseee sasa hapo maana yake nini yaani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
POLI-CCM! CHADEMA HAWAHITAJI KIBALI, WANAHITAJI ULINZI NA HILO MULIRO ANALIJUA VIZURI ANAJITOA TU UFAHAMU!
 

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limekutana na Viongozi wa CHADEMA na kuwahoji kuhusu maandamano waliyopanga kuyafanya January 24,2024 na wamekubaliana kuwa watawapa majibu kimaandishi kesho January 23,2024 kama maandamano yawepo au yasiwepo na kusisitiza kuwa hadi kufikia sasa Polisi hawajakubali wala kukataa uwepo wa maandamano hayo.

Akiongea na TBC, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro amesema “Baada ya kuwaona Katibu Mkuu wa CHADEMA akitangaza kwa kutumia Vyombo mbalimbali kwamba tarehe 24 lazima atafanya maandamano suala hili tumelifuatilia kwa ukaribu na leo January 22,2024 tulimuita Katibu Mkuu wa Chama hicho lakini akatuma ujumbe wa Naibu Katibu Mkuu akiwa na wenzake na tumefanya nao mahojiano mbalimbali kwa kina kulingana na suala walilotangaza”

“Mimi nikiwa na Maofisa wa Kamisheni mbalimbali baada ya kuwasikiliza kwa kina na sisi kufuatilia kwa kina dhamira yao na kwasababu walituletea taarifa yao kimaandishi sisi hatujakubali au kukataa maandamano yao, majibu yao tumekubaliana kwamba tutawaapa kimaandishi kesho January 23,2024”

“Hatujaawambia maandamano yapo au hayapo kwasababu walituandikia barua kwenye Himaya zao na sisi majibu watayapata kwenye Himaya walizoandika barua hizo ambapo utakuwa ndio mwongozo wa nini kinafanyika huku tukizingatia masuala ya kiusalama na Maslahi ya Taifa kwa ujumla, tumezingatia suala la amani na majibu yao watayapata kesho

Millard Ayo
Police kazi yao ni kupewa taarifa ili watoe ulinzi na si kutoa vibali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee sasa hapo maana yake nini yaani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbowe muongo muongo sana, halafu kila siku yuko na Dk Shoo makanisani
 

Sijataka kukomenti chochote kwa hii issue hadi barua ya majibu ya polisi kwa CDM, but kwa sasa ngoja tulale tusubiri barua.

Wanaoshangilia kuwa tayari wekeni nukta kwanza!.
 
DJ ni DJ tu, sasa alikuwa anawahi wapi huyu jamaa,kawajaza ujinga wafuasi wake,maandamano hayapo,labda yafanyike kitandani
 
Back
Top Bottom