gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Unafikiri watu wote ni wajinga kama wewe.Ndio kawaida yake kuwadanganya wafuasi wake ambao alishawachukilia kama watu ambao hawana akili na manyumbu tu wakuburuzwa na kukokotwa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri watu wote ni wajinga kama wewe.Ndio kawaida yake kuwadanganya wafuasi wake ambao alishawachukilia kama watu ambao hawana akili na manyumbu tu wakuburuzwa na kukokotwa tu.
Ingekua haina ushawishi msingekua mnaangaika hivi.nchi imewashinda ndo maana mnaangaika kuwazuia wapinzani wenu.Kwa ujinga wako unadhani huo ujinga utaenda nao mtaenda nao milele.jinga wewe.Huwezi ukawapa ulinzi watu ambao wanataka kuleta vurugu na kukwamisha shughuli za kiuchumi kwa wananchi. CHADEMA ihangaike na namna ya kujenga chama kilichokosa ushawishi kwa wananchi na kupuuzwa na kila mtanzania
mbona wanajieleza sana, kwani wanaogopa nini? aliye karibu nao atusaidie kuwauliza.Mbombo ngafu.....jidanganye kwamba maandamano yamekubaliwa!!!!
======
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limekutana na Viongozi wa CHADEMA na kuwahoji kuhusu maandamano waliyopanga kuyafanya January 24,2024 na wamekubaliana kuwa watawapa majibu kimaandishi kesho January 23,2024 kama maandamano yawepo au yasiwepo na kusisitiza kuwa hadi kufikia sasa Polisi hawajakubali wala kukataa uwepo wa maandamano hayo.
Akiongea na TBC, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro amesema “Baada ya kuwaona Katibu Mkuu wa CHADEMA akitangaza kwa kutumia Vyombo mbalimbali kwamba tarehe 24 lazima atafanya maandamano suala hili tumelifuatilia kwa ukaribu na leo January 22,2024 tulimuita Katibu Mkuu wa Chama hicho lakini akatuma ujumbe wa Naibu Katibu Mkuu akiwa na wenzake na tumefanya nao mahojiano mbalimbali kwa kina kulingana na suala walilotangaza”
“Mimi nikiwa na Maofisa wa Kamisheni mbalimbali baada ya kuwasikiliza kwa kina na sisi kufuatilia kwa kina dhamira yao na kwasababu walituletea taarifa yao kimaandishi sisi hatujakubali au kukataa maandamano yao, majibu yao tumekubaliana kwamba tutawaapa kimaandishi kesho January 23,2024”
“Hatujaawambia maandamano yapo au hayapo kwasababu walituandikia barua kwenye Himaya zao na sisi majibu watayapata kwenye Himaya walizoandika barua hizo ambapo utakuwa ndio mwongozo wa nini kinafanyika huku tukizingatia masuala ya kiusalama na Maslahi ya Taifa kwa ujumla, tumezingatia suala la amani na majibu yao watayapata kesho”
Pia Soma; Mbowe: Makubaliano na Jeshi la Polisi yamefikiwa kuwa maandamano yataendelea kama yalivyopangwa
Pia Soma; CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni
60yrs ya utawala wa ccm,maendeleo gani yaliyoletwa hapa nchini?Huwezi ukawapa ulinzi watu ambao wanataka kuleta vurugu na kukwamisha shughuli za kiuchumi kwa wananchi. CHADEMA ihangaike na namna ya kujenga chama kilichokosa ushawishi kwa wananchi na kupuuzwa na kila mtanzania
Lazima waogope kwasababu zama zao zimeshapita na uwezo wao umeshafika kikomo kilichobaki sasa ni kulindana ili waendelee kunufaika,ila wanasahau kua muda hauko upande wao.Ccm huwa ni waoga mno, CHADEMA yenyewe mmeivunja vunji miguu lakini mnaigopa balaa
wewe na mtoa mada na wengine wenye akili finyu akili zenu ni finyu zaidi.Mbowe kaona hana jipya kaamua kutunga uongo eti polisi wemekubali bila hata kuwaonesha nyumbu kibali. Sasa watalalamika kwamba wamenyang'anywa kibali. Kumbe hakukuwa hata na mtu wa kuandamana.
Tarehe 23 mbona karibu sana. Wawape tarehe 28Mbombo ngafu.....jidanganye kwamba maandamano yamekubaliwa!!!!
======
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limekutana na Viongozi wa CHADEMA na kuwahoji kuhusu maandamano waliyopanga kuyafanya January 24,2024 na wamekubaliana kuwa watawapa majibu kimaandishi kesho January 23,2024 kama maandamano yawepo au yasiwepo na kusisitiza kuwa hadi kufikia sasa Polisi hawajakubali wala kukataa uwepo wa maandamano hayo.
Akiongea na TBC, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro amesema “Baada ya kuwaona Katibu Mkuu wa CHADEMA akitangaza kwa kutumia Vyombo mbalimbali kwamba tarehe 24 lazima atafanya maandamano suala hili tumelifuatilia kwa ukaribu na leo January 22,2024 tulimuita Katibu Mkuu wa Chama hicho lakini akatuma ujumbe wa Naibu Katibu Mkuu akiwa na wenzake na tumefanya nao mahojiano mbalimbali kwa kina kulingana na suala walilotangaza”
“Mimi nikiwa na Maofisa wa Kamisheni mbalimbali baada ya kuwasikiliza kwa kina na sisi kufuatilia kwa kina dhamira yao na kwasababu walituletea taarifa yao kimaandishi sisi hatujakubali au kukataa maandamano yao, majibu yao tumekubaliana kwamba tutawaapa kimaandishi kesho January 23,2024”
“Hatujaawambia maandamano yapo au hayapo kwasababu walituandikia barua kwenye Himaya zao na sisi majibu watayapata kwenye Himaya walizoandika barua hizo ambapo utakuwa ndio mwongozo wa nini kinafanyika huku tukizingatia masuala ya kiusalama na Maslahi ya Taifa kwa ujumla, tumezingatia suala la amani na majibu yao watayapata kesho”
Pia Soma; Mbowe: Makubaliano na Jeshi la Polisi yamefikiwa kuwa maandamano yataendelea kama yalivyopangwa
Pia Soma; CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni
Kama hakina ushawishi kwa nini mnaangaika, mara usafi, mara kipindupindu ya nini yote hayo tulia.Huwezi ukawapa ulinzi watu ambao wanataka kuleta vurugu na kukwamisha shughuli za kiuchumi kwa wananchi. CHADEMA ihangaike na namna ya kujenga chama kilichokosa ushawishi kwa wananchi na kupuuzwa na kila mtanzania
Wavunjwe miguu kwa kosa gani, wewe bado ni mtumwa kumbe, yawezekana babu yako alimpinga Nyerere kudai uhuru.Yaani, anataka kuwaingiza chaka vijana wakavunjwe miguu badala ya kufanya shughuli zao za kiuchumi
What a wasted maniiPeter Kuga Mziray aliunda chama cha siasa cha wapare, kwa nini mmekitelekeza?
Lugha sio umoja" ni *wingi^watoe ulinzi^ au wawape ulinzi?
kutoa vibali?! - kuakimu au kuwapa vibali
naona umefurahi, Unadhani Mbowe/Kigaila ni malofa mpaka watoe tamko wakati hawajakubaliana na polisi😂😂😄
Chadema bhana wanakuwa kama maalim aliyejitangazia Ushindi 2015 kisha Jecha akaifutilia mbali Uchaguzi wenyewe!
Wawaruhusu tuu si wanawapangia njia,maana wataandamana harafu wanaishia kupiga porojo bila majibuMbombo ngafu.....jidanganye kwamba maandamano yamekubaliwa!!!!
======
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limekutana na Viongozi wa CHADEMA na kuwahoji kuhusu maandamano waliyopanga kuyafanya January 24,2024 na wamekubaliana kuwa watawapa majibu kimaandishi kesho January 23,2024 kama maandamano yawepo au yasiwepo na kusisitiza kuwa hadi kufikia sasa Polisi hawajakubali wala kukataa uwepo wa maandamano hayo.
Akiongea na TBC, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro amesema “Baada ya kuwaona Katibu Mkuu wa CHADEMA akitangaza kwa kutumia Vyombo mbalimbali kwamba tarehe 24 lazima atafanya maandamano suala hili tumelifuatilia kwa ukaribu na leo January 22,2024 tulimuita Katibu Mkuu wa Chama hicho lakini akatuma ujumbe wa Naibu Katibu Mkuu akiwa na wenzake na tumefanya nao mahojiano mbalimbali kwa kina kulingana na suala walilotangaza”
“Mimi nikiwa na Maofisa wa Kamisheni mbalimbali baada ya kuwasikiliza kwa kina na sisi kufuatilia kwa kina dhamira yao na kwasababu walituletea taarifa yao kimaandishi sisi hatujakubali au kukataa maandamano yao, majibu yao tumekubaliana kwamba tutawaapa kimaandishi kesho January 23,2024”
“Hatujaawambia maandamano yapo au hayapo kwasababu walituandikia barua kwenye Himaya zao na sisi majibu watayapata kwenye Himaya walizoandika barua hizo ambapo utakuwa ndio mwongozo wa nini kinafanyika huku tukizingatia masuala ya kiusalama na Maslahi ya Taifa kwa ujumla, tumezingatia suala la amani na majibu yao watayapata kesho”
Pia Soma; Mbowe: Makubaliano na Jeshi la Polisi yamefikiwa kuwa maandamano yataendelea kama yalivyopangwa
Pia Soma; CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni
Wanasubiri maelekezo kutoka Ikulu😂😂😄
Chadema bhana wanakuwa kama maalim aliyejitangazia Ushindi 2015 kisha Jecha akaifutilia mbali Uchaguzi wenyewe!
KabisaSiasa sio mpira. Siasa ni science. Chadema wametumia science ya siasa