Pre GE2025 Jeshi la Polisi: Hatujakubali au kukataa maandamano, tutawapa majibu tarehe 23

Pre GE2025 Jeshi la Polisi: Hatujakubali au kukataa maandamano, tutawapa majibu tarehe 23

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huwezi ukawapa ulinzi watu ambao wanataka kuleta vurugu na kukwamisha shughuli za kiuchumi kwa wananchi. CHADEMA ihangaike na namna ya kujenga chama kilichokosa ushawishi kwa wananchi na kupuuzwa na kila mtanzania
Ingekua haina ushawishi msingekua mnaangaika hivi.nchi imewashinda ndo maana mnaangaika kuwazuia wapinzani wenu.Kwa ujinga wako unadhani huo ujinga utaenda nao mtaenda nao milele.jinga wewe.
 
Mbombo ngafu.....jidanganye kwamba maandamano yamekubaliwa!!!!
======

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limekutana na Viongozi wa CHADEMA na kuwahoji kuhusu maandamano waliyopanga kuyafanya January 24,2024 na wamekubaliana kuwa watawapa majibu kimaandishi kesho January 23,2024 kama maandamano yawepo au yasiwepo na kusisitiza kuwa hadi kufikia sasa Polisi hawajakubali wala kukataa uwepo wa maandamano hayo.

Akiongea na TBC, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro amesema “Baada ya kuwaona Katibu Mkuu wa CHADEMA akitangaza kwa kutumia Vyombo mbalimbali kwamba tarehe 24 lazima atafanya maandamano suala hili tumelifuatilia kwa ukaribu na leo January 22,2024 tulimuita Katibu Mkuu wa Chama hicho lakini akatuma ujumbe wa Naibu Katibu Mkuu akiwa na wenzake na tumefanya nao mahojiano mbalimbali kwa kina kulingana na suala walilotangaza”

“Mimi nikiwa na Maofisa wa Kamisheni mbalimbali baada ya kuwasikiliza kwa kina na sisi kufuatilia kwa kina dhamira yao na kwasababu walituletea taarifa yao kimaandishi sisi hatujakubali au kukataa maandamano yao, majibu yao tumekubaliana kwamba tutawaapa kimaandishi kesho January 23,2024”

“Hatujaawambia maandamano yapo au hayapo kwasababu walituandikia barua kwenye Himaya zao na sisi majibu watayapata kwenye Himaya walizoandika barua hizo ambapo utakuwa ndio mwongozo wa nini kinafanyika huku tukizingatia masuala ya kiusalama na Maslahi ya Taifa kwa ujumla, tumezingatia suala la amani na majibu yao watayapata kesho”

Pia Soma; Mbowe: Makubaliano na Jeshi la Polisi yamefikiwa kuwa maandamano yataendelea kama yalivyopangwa

Pia Soma; CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni
mbona wanajieleza sana, kwani wanaogopa nini? aliye karibu nao atusaidie kuwauliza.
 
Huwezi ukawapa ulinzi watu ambao wanataka kuleta vurugu na kukwamisha shughuli za kiuchumi kwa wananchi. CHADEMA ihangaike na namna ya kujenga chama kilichokosa ushawishi kwa wananchi na kupuuzwa na kila mtanzania
60yrs ya utawala wa ccm,maendeleo gani yaliyoletwa hapa nchini?
 
Ccm huwa ni waoga mno, CHADEMA yenyewe mmeivunja vunji miguu lakini mnaigopa balaa
Lazima waogope kwasababu zama zao zimeshapita na uwezo wao umeshafika kikomo kilichobaki sasa ni kulindana ili waendelee kunufaika,ila wanasahau kua muda hauko upande wao.
 
Mbowe kaona hana jipya kaamua kutunga uongo eti polisi wemekubali bila hata kuwaonesha nyumbu kibali. Sasa watalalamika kwamba wamenyang'anywa kibali. Kumbe hakukuwa hata na mtu wa kuandamana.
wewe na mtoa mada na wengine wenye akili finyu akili zenu ni finyu zaidi.
 
..Na anayetaka kufanya vurugu ktk jambo lolote hawezi kuwashirikisha polisi.

..Chadema hawana nia ya kufanya vurugu ndio maana wamewataarifu Polisi kuhusu maandamano yao.
 
Mbombo ngafu.....jidanganye kwamba maandamano yamekubaliwa!!!!
======

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limekutana na Viongozi wa CHADEMA na kuwahoji kuhusu maandamano waliyopanga kuyafanya January 24,2024 na wamekubaliana kuwa watawapa majibu kimaandishi kesho January 23,2024 kama maandamano yawepo au yasiwepo na kusisitiza kuwa hadi kufikia sasa Polisi hawajakubali wala kukataa uwepo wa maandamano hayo.

Akiongea na TBC, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro amesema “Baada ya kuwaona Katibu Mkuu wa CHADEMA akitangaza kwa kutumia Vyombo mbalimbali kwamba tarehe 24 lazima atafanya maandamano suala hili tumelifuatilia kwa ukaribu na leo January 22,2024 tulimuita Katibu Mkuu wa Chama hicho lakini akatuma ujumbe wa Naibu Katibu Mkuu akiwa na wenzake na tumefanya nao mahojiano mbalimbali kwa kina kulingana na suala walilotangaza”

“Mimi nikiwa na Maofisa wa Kamisheni mbalimbali baada ya kuwasikiliza kwa kina na sisi kufuatilia kwa kina dhamira yao na kwasababu walituletea taarifa yao kimaandishi sisi hatujakubali au kukataa maandamano yao, majibu yao tumekubaliana kwamba tutawaapa kimaandishi kesho January 23,2024”

“Hatujaawambia maandamano yapo au hayapo kwasababu walituandikia barua kwenye Himaya zao na sisi majibu watayapata kwenye Himaya walizoandika barua hizo ambapo utakuwa ndio mwongozo wa nini kinafanyika huku tukizingatia masuala ya kiusalama na Maslahi ya Taifa kwa ujumla, tumezingatia suala la amani na majibu yao watayapata kesho”

Pia Soma; Mbowe: Makubaliano na Jeshi la Polisi yamefikiwa kuwa maandamano yataendelea kama yalivyopangwa

Pia Soma; CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni
Tarehe 23 mbona karibu sana. Wawape tarehe 28
 
Huwezi ukawapa ulinzi watu ambao wanataka kuleta vurugu na kukwamisha shughuli za kiuchumi kwa wananchi. CHADEMA ihangaike na namna ya kujenga chama kilichokosa ushawishi kwa wananchi na kupuuzwa na kila mtanzania
Kama hakina ushawishi kwa nini mnaangaika, mara usafi, mara kipindupindu ya nini yote hayo tulia.
 
Yaani, anataka kuwaingiza chaka vijana wakavunjwe miguu badala ya kufanya shughuli zao za kiuchumi
Wavunjwe miguu kwa kosa gani, wewe bado ni mtumwa kumbe, yawezekana babu yako alimpinga Nyerere kudai uhuru.
 
😂😂😄

Chadema bhana wanakuwa kama maalim aliyejitangazia Ushindi 2015 kisha Jecha akaifutilia mbali Uchaguzi wenyewe!
naona umefurahi, Unadhani Mbowe/Kigaila ni malofa mpaka watoe tamko wakati hawajakubaliana na polisi
 
Mbombo ngafu.....jidanganye kwamba maandamano yamekubaliwa!!!!
======

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limekutana na Viongozi wa CHADEMA na kuwahoji kuhusu maandamano waliyopanga kuyafanya January 24,2024 na wamekubaliana kuwa watawapa majibu kimaandishi kesho January 23,2024 kama maandamano yawepo au yasiwepo na kusisitiza kuwa hadi kufikia sasa Polisi hawajakubali wala kukataa uwepo wa maandamano hayo.

Akiongea na TBC, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro amesema “Baada ya kuwaona Katibu Mkuu wa CHADEMA akitangaza kwa kutumia Vyombo mbalimbali kwamba tarehe 24 lazima atafanya maandamano suala hili tumelifuatilia kwa ukaribu na leo January 22,2024 tulimuita Katibu Mkuu wa Chama hicho lakini akatuma ujumbe wa Naibu Katibu Mkuu akiwa na wenzake na tumefanya nao mahojiano mbalimbali kwa kina kulingana na suala walilotangaza”

“Mimi nikiwa na Maofisa wa Kamisheni mbalimbali baada ya kuwasikiliza kwa kina na sisi kufuatilia kwa kina dhamira yao na kwasababu walituletea taarifa yao kimaandishi sisi hatujakubali au kukataa maandamano yao, majibu yao tumekubaliana kwamba tutawaapa kimaandishi kesho January 23,2024”

“Hatujaawambia maandamano yapo au hayapo kwasababu walituandikia barua kwenye Himaya zao na sisi majibu watayapata kwenye Himaya walizoandika barua hizo ambapo utakuwa ndio mwongozo wa nini kinafanyika huku tukizingatia masuala ya kiusalama na Maslahi ya Taifa kwa ujumla, tumezingatia suala la amani na majibu yao watayapata kesho”

Pia Soma; Mbowe: Makubaliano na Jeshi la Polisi yamefikiwa kuwa maandamano yataendelea kama yalivyopangwa

Pia Soma; CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni
Wawaruhusu tuu si wanawapangia njia,maana wataandamana harafu wanaishia kupiga porojo bila majibu
 
Maandamano matamu yaliyozuiliwa "kunji" maandamano gani yakose "supu" ambayo ni mabomu ya machozi. Hainogi maandamano bila mawe hàinogiiii
 
Back
Top Bottom