Jeshi la Polisi kuchunguza Askari anayedaiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Jeshi la Polisi kuchunguza Askari anayedaiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Muigizaji maarufu jijini Dar es Salaam ameitaka Serikali ya mama Samia na Dk Mwinyi kufanya kila wawezalo na kumchukulia hatua Kali Askari aliyechafua hali ya hewa na video yake chafu.

Amber Rutty ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na tv mitandao Leo ijumaa. Amber Rutty amedai hii tabia ya watu kuvujisha picha mbaya mitandaoni inaharibu kizazi na Ni hatari kwa watoto wetu, na ameomba Sheria kali kuchukuliwa ili iwe funzo kwa watu wengine wwnye tabia mbaya Kama hizo.

Kwa hili naungana kabisa na dada Amber.

Ushauri mwanana toka kwa mwamba mwenyewe
 
Wanapima nini wakati video imesambaa na ni ushahidi tosha
Mkuu omba tu MUNGU. Sikatai kwamba ile video ni kweli au la ila lazima jeshi la POLISi kuthibitisha. Ilipofika teknolojia ni mbali SANA.lazima jeshi la POLISi wajithibitishie. Kuna kesi mtu anaonekana anaua kabisa kashika bunduki lakini uchunguzi ukifanyika inaonekana si yeye achana na hayo mambo huyo kamanda kaongea sahihi kabisa
 
Muigizaji maarufu jijini Dar es Salaam ameitaka Serikali ya mama Samia na Dk Mwinyi kufanya kila wawezalo na kumchukulia hatua Kali Askari aliyechafua hali ya hewa na video yake chafu.

Amber Rutty ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na tv mitandao Leo ijumaa. Amber Rutty amedai hii tabia ya watu kuvujisha picha mbaya mitandaoni inaharibu kizazi na Ni hatari kwa watoto wetu, na ameomba Sheria kali kuchukuliwa ili iwe funzo kwa watu wengine wwnye tabia mbaya Kama hizo.

Kwa hili naungana kabisa na dada Amber.

Ushauri mwanana toka kwa mwamba mwenyewe
 
"Jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi kuhusu askari polisi anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja ikiwemo kufanyiwa kipimo kujiridhisha kama anafanya kitendo hicho, ikithibitika atafukuzwa kazi na kufikishwa mahakamani" Hamad Khamis , Kamishna wa Polisi Zanzibar

1677839581245.jpeg
 
Kamishna kasema kwenye video askari alifanya hayo akiwa hajavaa sare za jeshi kwa hiyo hayo ni mambo yake binafsi lisihusishwe jeshi,

Ameongezea pia wengine wenye tabia hizo wajitokeze lengo sio kufukuzwa kazi bali kusaidiwa waache sababu huenda walifanyiwa hayo wakiwa wadogo na hadi sasa wanaendelea kujizuru.
 
Sasa ithibitike nini, Yule hata Uchunguzi haitajiki ni kufukuzwa afu anadakwa lupango nyampara wakamgeuze mke wao si anataka afu kuna watu mwaka wa 18 huu hawajawahi pata tobo
Mkuu,mambo ya sheria yana taratibu zake,na ndio maana mfano kibaka ameonekana kabisa kua kaiba ila hufikishwa Mahakamani ili hukumu itolewe na Court of law kwa vivid evidence.
 
Yaani Kamanda Hamadi anaambiwa kuna shoga katika internet ambaye inadaiwa ni askari wetu hawezi kutoa amri,akasema,"Mtafute huyu mtu. Nataka ripoti kesho asubuhi."
Badala yake anasema yuko mbioni kufanya upelelezi.
FBI ukiwapa jina,ukiwapa picha ya mshukiwa,watazama katika records zao dakika tano tu wanakupa jibu.
Sasa Tanzania kuna FBI?
Wewe mwenyewe tu ukitafutwa records zako kuanzia ulipozaliwa hadi ulipoanza shule hazipo,
Kompyuta zenyewe zimeanza kutumika juzi
 
Mkuu,mambo ya sheria yana taratibu zake,na ndio maana mfano kibaka ameonekana kabisa kua kaiba ila hufikishwa Mahakamani ili hukumu itolewe na Court of law kwa vivid evidence.
Kuna issues za kufata sheria ila sio ufirauni kabisa!!


Unajua jinsi wadada walivyoumbwa na mizigi shape rangi afu unachagua kusukumiwa shipa huwa siwaelewi kabisa!!
 
Kuna cha kuchunguza kipi pale zaidi ya ile video? Wanatarajia watamkuta na marinda? Yule ni bwabwa aliekubuhu, wakichunguza sawa sawa itakuwa anavaa mpaka diapers maana sidhani kama kuna nut yeyote inashika huko nyuma.

Yani sura mpaka maungo yanaonekana akirembua jicho na nyingine aliyokuwa kitandani anajimanua bado wanataka kuchunguza.

Yule mpuuzi kavuka kiwango cha kufanyia fair dismissal. Yani hakuna cha kufuata sheria ni kumtimua kazi na kumpeleka gerezani wakamfanye vizuri huko.
 
Ithibitike nini wakati video zinamuonesha jamaa anaukalia+kuukatikia
Huyu jamaa kadhalilisha sana jeshi la polisi,na huko polisi sasa wafanye uchunguzi isije ikawa,wapo wengine huko

Ova
 
Hili janga ni kubwa sana aisee basi tu Mungu ameamua kuonesha kwa wakati wake..ile mishavu ilivomshuka huwezi dhania kam ni mshirika wa mauzinde
 
Back
Top Bottom