HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Na Zaznibar Utalii ndo unasababisha iwe ngumu hiyo michezo kutoishaYule mzoefu maama vidio tatu tofauti ana shida yule
Mshenzi mshenzi tu Yaani sijui hata anajiskiaje dahh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Zaznibar Utalii ndo unasababisha iwe ngumu hiyo michezo kutoishaYule mzoefu maama vidio tatu tofauti ana shida yule
Mshenzi mshenzi tu Yaani sijui hata anajiskiaje dahh
Atafukuzwa kazi, Jeshini hakuna LONGOLONGO hizo usemazoKwa ufahamu wangu hapo kinachofanyiwa kazi ni ile video clip kwanza kama sio editing na vitu kama hivyo. Ikishabainika kuwa ni video halisi ndio sasa taratibu zingine za kisheria zitaendelea.
Moja ya changamoto itakayofanya wachelewe zaidi ni chanzo cha video husika hapo kuna watu au chain ya watu itaingia, na hao watajikuta wana hatia chini ya Sheria ya Makosa ya kimtandao, kusambaza picha chafu
Wakiwahi Mahakamani iwe ya kijeshi au kiraia wataaibika na hilo wanalijua. Anaweza kuikataa mwanzo mwisho hiyo video hadi watakapothibitisha kuwa hiyo video sio bandia ni halisi. Na hapo ndio hadi kifaa kilichotumika kurekodi kitahitajika. (Pagumu hapo)
Changamoto nyingine ni huu mtego Polisi na Ofisi ya DPP wanabidi kuwa makini sana, hili swala linaweza likatuingiza kwenye mtego kama Kenya sababu yanaweza kuibuka masuala ya haki za binadamu, kesi hii itasimama ikisubiri maamuzi ya Mahakama Kuu, ambayo sasa akipata wakili mzuri Ibara ya 13(5) ya Katiba ni ngumu kumeza.
Inaweza ikatengeneza sheria ya hovyo zaidi.
Hapa chakufanyikani kumalizana naye kimya kimya kwa makosa tofauti na hili swala la ushoga ili hata asiporidhikaakaenda Mahakamani asipate au asipenyeze swala la ushoga kujadiliwa na Mahakama Kuu.
Ushoga kujadiliwa na Mahakama Kuu ni hatarikwa afya ya taifa, tufahamu kuwa sheria zetu zipo 50/50 kwenye hili swala itategemea presha ya nje, hoja za utetezi, hojaza upingaji na msimamo wa Mahakama juu ya sheria na haki za binadamu.
Ifahamike Jajianaweza kuwa anapinga vikali sana haya mambo ya ushoga lakini akatoa maamuzi/tafsiri ya sheria tofauti kabisa na msimamo wake binafsi kwakuwa hapo atakuwa ni Jaji na sio yeye binafsi.
Hil jambo ni mtego sana, tukikurupuka itatu cost
Dah!!🤣🤣🤣ikitokea Mpimaji ni baradhuli atakuja na majibu kuwa Jamaa ni bikra baada ya kumpima kisawa sawa kujiridhisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe hajafukuzwa kazi?
Nimejikuta nachekaa had baas. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwan video hawaon mpaka wajidhibitie aje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu lolikitokea Mpimaji ni baradhuli atakuja na majibu kuwa Jamaa ni bikra baada ya kumpima kisawa sawa kujiridhisha
Ahsanteeee umesha maliza wee, mie siandiki tena.Kwa ufahamu wangu hapo kinachofanyiwa kazi ni ile video clip kwanza kama sio editing na vitu kama hivyo. Ikishabainika kuwa ni video halisi ndio sasa taratibu zingine za kisheria zitaendelea.
Moja ya changamoto itakayofanya wachelewe zaidi ni chanzo cha video husika hapo kuna watu au chain ya watu itaingia, na hao watajikuta wana hatia chini ya Sheria ya Makosa ya kimtandao, kusambaza picha chafu
Wakiwahi Mahakamani iwe ya kijeshi au kiraia wataaibika na hilo wanalijua. Anaweza kuikataa mwanzo mwisho hiyo video hadi watakapothibitisha kuwa hiyo video sio bandia ni halisi. Na hapo ndio hadi kifaa kilichotumika kurekodi kitahitajika. (Pagumu hapo)
Changamoto nyingine ni huu mtego Polisi na Ofisi ya DPP wanabidi kuwa makini sana, hili swala linaweza likatuingiza kwenye mtego kama Kenya sababu yanaweza kuibuka masuala ya haki za binadamu, kesi hii itasimama ikisubiri maamuzi ya Mahakama Kuu, ambayo sasa akipata wakili mzuri Ibara ya 13(5) ya Katiba ni ngumu kumeza.
Inaweza ikatengeneza sheria ya hovyo zaidi.
Hapa chakufanyikani kumalizana naye kimya kimya kwa makosa tofauti na hili swala la ushoga ili hata asiporidhikaakaenda Mahakamani asipate au asipenyeze swala la ushoga kujadiliwa na Mahakama Kuu.
Ushoga kujadiliwa na Mahakama Kuu ni hatarikwa afya ya taifa, tufahamu kuwa sheria zetu zipo 50/50 kwenye hili swala itategemea presha ya nje, hoja za utetezi, hojaza upingaji na msimamo wa Mahakama juu ya sheria na haki za binadamu.
Ifahamike Jajianaweza kuwa anapinga vikali sana haya mambo ya ushoga lakini akatoa maamuzi/tafsiri ya sheria tofauti kabisa na msimamo wake binafsi kwakuwa hapo atakuwa ni Jaji na sio yeye binafsi.
Hil jambo ni mtego sana, tukikurupuka itatu cost
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaan mnanichekeshaa hadi baas.Ukowa masikini unakuwa huna kauli thabiti hii yote sijuii tumpime tena , sijui tuwarekebishe sio kuwafukuza.. ni kutoka na nchi kutegemea misaada kutoka kwa wapiga debe wa ushoga..
Kanifurahishaaa hapoo tyuuh.Kamishna kasema kwenye video askari alifanya hayo akiwa hajavaa sare za jeshi kwa hiyo hayo ni mambo yake binafsi lisihusishwe jeshi,
Ameongezea pia wengine wenye tabia hizo wajitokeze lengo sio kufukuzwa kazi bali kusaidiwa waache sababu huenda walifanyiwa hayo wakiwa wadogo na hadi sasa wanaendelea kujizuru.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna hasira na miili ya watu khaaaah.Kuna cha kuchunguza kipi pale zaidi ya ile video? Wanatarajia watamkuta na marinda? Yule ni bwabwa aliekubuhu, wakichunguza sawa sawa itakuwa anavaa mpaka diapers maana sidhani kama kuna nut yeyote inashika huko nyuma.
Yani sura mpaka maungo yanaonekana akirembua jicho na nyingine aliyokuwa kitandani anajimanua bado wanataka kuchunguza.
Yule mpuuzi kavuka kiwango cha kufanyia fair dismissal. Yani hakuna cha kufuata sheria ni kumtimua kazi na kumpeleka gerezani wakamfanye vizuri huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nimechekaaaaa hadi watu wananishangaaa, yaan nacheka km chizi mpyaaa. Lol[emoji1787]afande ana hofu kutuma askari shoga akamkamate Raia,akifika amkute Raia yupo uchi katokq kuoga askari atakazwa[emoji1787]
Intake zingne hawakagui, sijui lakini, ila kwa Mujibu wale 4m 6, intake ya mwsho mara nyingi hawakaguliwi.Kuhusu namna ya kuwatambua wenye tabia hiyo, alisema taratibu za polisi wakati wa kuajiri hazihusishi utambuzi wa tabia za ushoga kwa mwajiriwa bali hupimwa afya zao kwa ujumla.
Hakupitia JKT huyu mshkaji?! Kama alipitia kule si huwa wanapigwa tochi kukaguliwa rasa?? Alipitaje alipitaje mpaka kufikia hatua ya kuajiriwa kabisa?!
Hivi ni kweli?? Najuaga ni utani tyuuh.lolWakimaliza kwa jeshi la polisi wahamie kwa ma lecturers wengi wao wanakula wanafunzi wao wa kiume na wengine wanaliwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana ukatikia hata sisi hatumfikii, jinsi anavyo ulilia sasa?? Alivyo ukalia na anajipimia mwenyeweeMwenye Hiyo video anipemo Jamani [emoji23][emoji23]maana niliishiwa kuadithiwa nikachekaa sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana ukatikia hata sisi hatumfikii, jinsi anavyo ulilia sasa?? Alivyo ukalia na anajipimia mwenyewee
Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimejikuta nachekaa had baas. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]