Jeshi la Polisi kuchunguza Askari anayedaiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Yule mzoefu maama vidio tatu tofauti ana shida yule
Mshenzi mshenzi tu Yaani sijui hata anajiskiaje dahh
Na Zaznibar Utalii ndo unasababisha iwe ngumu hiyo michezo kutoisha
 
Atafukuzwa kazi, Jeshini hakuna LONGOLONGO hizo usemazo
 
Kwan video hawaon mpaka wajidhibitie aje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimejikuta nachekaa had baas. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ikitokea Mpimaji ni baradhuli atakuja na majibu kuwa Jamaa ni bikra baada ya kumpima kisawa sawa kujiridhisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu lol
 
Ahsanteeee umesha maliza wee, mie siandiki tena.
 
Ukowa masikini unakuwa huna kauli thabiti hii yote sijuii tumpime tena , sijui tuwarekebishe sio kuwafukuza.. ni kutoka na nchi kutegemea misaada kutoka kwa wapiga debe wa ushoga..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaan mnanichekeshaa hadi baas.
 
Kanifurahishaaa hapoo tyuuh.
Hallah [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna hasira na miili ya watu khaaaah.
 
[emoji1787]afande ana hofu kutuma askari shoga akamkamate Raia,akifika amkute Raia yupo uchi katokq kuoga askari atakazwa[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nimechekaaaaa hadi watu wananishangaaa, yaan nacheka km chizi mpyaaa. Lol
 
Mwenye Hiyo video anipemo Jamani 😂😂maana niliishiwa kuadithiwa nikachekaa sana
 
Intake zingne hawakagui, sijui lakini, ila kwa Mujibu wale 4m 6, intake ya mwsho mara nyingi hawakaguliwi.
 
Wakimaliza kwa jeshi la polisi wahamie kwa ma lecturers wengi wao wanakula wanafunzi wao wa kiume na wengine wanaliwa
Hivi ni kweli?? Najuaga ni utani tyuuh.lol
 
Mungu aturehemu kwa kweli ni ngumu kuamini ila tuombe sana ni siku za mwisho zimekaribia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana ukatikia hata sisi hatumfikii, jinsi anavyo ulilia sasa?? Alivyo ukalia na anajipimia mwenyewee
Lol
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimeiona video. Mwonekano wa video unaonyesha afande alijirekodi mwenye "selfie recording" huku akiwa anakata mauno na akijunja kunja sura labda kuashiria maumivu flani hivi. Alikua ameikalia so alikua anajirecod kutokea mbele. Imerushwa na nani mtandaoni labda hilo ndo swali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…