Mkali Mapanga
Senior Member
- May 17, 2017
- 100
- 66
Anazo akili coz ametumia mapungufu ambayo yapo kwenye katiba yao,Seif ndie mwenye kosa ilibidi amalize hili mapema xana kipindi ambacho jamaa anaondoka lakini ameshindwa na sasa anamhenyeshaAna akili gani alikikimbia chama vitani!! Leo anaharibu kila walichovuna ktk hali ngumu ?!. Sasa hapo ana akili kweli ?!
Cairo's
Watumie GoToMeeting app. Dunia imebadilika sasa. Si lazima kila wakati mkutane ana kwa ana....BREAKING NEWS USIKU HUU
Tuna taarifa rasmi kuwa, Jeshi la Polisi, kupitia kwa maelekezo kutoka JUU, limeelekezwa kuzingira Makao Makuu ya CUF, Vuga - Zanzibar. Ili kumzuia Katibu Mkuu wa CUF na Wajumbe halali wa Kikao Cha Baraza Kuu wasitekeleze wajibu wao.
Dola ya CCM inafahamu kuwa Kikao halali cha Baraza Kuu kikikutana kitaweka misimamo dhidi ya njama za DOLA na LIPUMBA na hivyo baadhi ya mabaya wanayotaka kuendelea kuitendea CUF kukwama.
Chanzo cha kuaminika kutoka Jeshi la Polisi kimeeleza kwamba Lipumba alielekezwa afanye mkutano na waandishi wa habari na atoe wito kwa vyombo vya dola vizuie Baraza Kuu hilo ili Polisi waweze kutekeleza hilo.
Hili litatekelezwa na Polisi kwa maagizo kutoka JUU pasina kujali kwamba kikao hicho kimeitishwa kwa kufuata masharti ya Katiba ya CUF ya mwaka 1992 (Toleo la 2014), kifungu cha 80 (1), ambacho kinaipa uwezo Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama kuitisha kikao cha dharura cha Baraza Kuu la Uongozi la Taifa.
Kutoka Uongozi wa CUF
Omba uhai CUF chini ya Lipumba huyu ambaye hawezi kupata hata ubunge kwao Tabora. Hawezi kupata wabunge na madiwani bara na visiwani. Na ndiyo itakuwa mwisho wa CUF. Ref NCCR mageuziAnazo akili coz ametumia mapungufu ambayo yapo kwenye katiba yao,Seif ndie mwenye kosa ilibidi amalize hili mapema xana kipindi ambacho jamaa anaondoka lakini ameshindwa na sasa anamhenyesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndivyo itakavyokuwaOmba uhai CUF chini ya Lipumba huyu ambaye hawezi kupata hata ubunge kwao Tabora. Hawezi kupata wabunge na madiwani bara na visiwani. Na ndiyo itakuwa mwisho wa CUF. Ref NCCR mageuzi
Cairo's
Wewe unashindwa nini kuchukua hatua ? au uwezo wako ndio huu wa kuja hapa kuongea majungu na mipasho? unatumia muda mwingi kutunga uwongo bila kuangalia athari zake, ulivo kuwa mweupe unashindwa ata kujitathmini umejaa chuki zakupitiliza kwa watawala, utaumia na kusikitika sana maana hamkutumwa mbadilishe magia yenu angani ni ujinga kuweza kuamini gia ikibadilishwa angani huwa haina madhara.Kinachoniumiza sana, kunisikitisha na kunishangaza ni kusikia miezi/miaka ya nyuma hawa akina Kikwete na Mkapa kwenda nchi za jirani kwenye bara letu kutafuta usuluhishi katika nchi hizo ili kusimamisha machafuko ambayo katika baadhi ya nchi yalisababisha umwagaji wa damu, lakini hapa kwetu wote hawa pamoja na SAS, Warioba, Mwinyi, Msekwa wameuchuna kimyaaa huku wakiona hali ya mshikamano inazidi kupungua na hivyo kutishia usalama wa nchi yetu. Viongozi wa dini nao kimyaaaa hata kukemea kinachoendelea nchini wameshindwa. Wahenga walisema mdharau mwiba.....
Lipumba jiniasi. Mpaka 2020 hapatakuwa na upinzani
Sidhani mfano wako unaswihi. Kwa taarifa yako hao wrote uliowataja hawakusaliti vyama vyao Bali nchi zao na pamoja na kutukia mabomu ma eisasi migogoro yao haikwisha mpaka walipokaa mezani sembuse Lipumba na Maalim?Serikali ikimpandikiza msaliti nawe wataka kila mtu afuate ETI ndio ufumbuzi. Wachekesha sana. Tz iliyozisaidia nchi zote kusini mwa Afrika kukataa ukoloni, ukaburu, ukandamizaji na vibaraka akina Muzorewa, Sithole, Urio Simango, Jonas Savimbi etc; ETI leo yashauriwa na Mtz iyakumbatie yaleyale. Nadhani kuna tatizo kubwa laja hapa NCHINI kwetu. Mungu tusaidie. AMEN.
watazima network na umeme nchi nzima siku hiyo itakuwa ni SOSKuna njia Nyingi mbona wanaweza kufanya teleconference na kila kitu kikakaa sawa.
Watu watavishwa "maringi" ya moto siku siyo nyingi. HAKI.Na nakuhakikishia kwamba hii nchi inachokitafuta itakipata tu , wala si mbali .
Andamaneni basiKuna mambo yanafanyika mpaka yanatia hasira!
Ova
watazima network na umeme nchi nzima siku hiyo itakuwa ni SOS