Tetesi: Jeshi la Polisi kuzuia kikao cha baraza kuu la CUF

Status
Not open for further replies.
Ana akili gani alikikimbia chama vitani!! Leo anaharibu kila walichovuna ktk hali ngumu ?!. Sasa hapo ana akili kweli ?!

Cairo's
Anazo akili coz ametumia mapungufu ambayo yapo kwenye katiba yao,Seif ndie mwenye kosa ilibidi amalize hili mapema xana kipindi ambacho jamaa anaondoka lakini ameshindwa na sasa anamhenyesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watumie GoToMeeting app. Dunia imebadilika sasa. Si lazima kila wakati mkutane ana kwa ana....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inasikitisha mno kuona kura za watanzania walizopigia upinzani zikizimwa kwa nguvu kubwa ya dola,ni wazi kuwa vyombo vyetu vya usalama vinatumika kisiasa ,na upinzani unasukumwa kwenda ICUs,bila shaka siku kama ya leo mwakani sijui kama kutakuwa kilichobaki katika upinzani,very sad because any strong government need a strong oppositions to keep on check kama tunavyocheza chess,na hii inapelekea kupata good service deliveries kitu ambacho the poor of the poorest ndio anakihitaji.
 
Anazo akili coz ametumia mapungufu ambayo yapo kwenye katiba yao,Seif ndie mwenye kosa ilibidi amalize hili mapema xana kipindi ambacho jamaa anaondoka lakini ameshindwa na sasa anamhenyesha

Sent using Jamii Forums mobile app
Omba uhai CUF chini ya Lipumba huyu ambaye hawezi kupata hata ubunge kwao Tabora. Hawezi kupata wabunge na madiwani bara na visiwani. Na ndiyo itakuwa mwisho wa CUF. Ref NCCR mageuzi

Cairo's
 
Wewe unashindwa nini kuchukua hatua ? au uwezo wako ndio huu wa kuja hapa kuongea majungu na mipasho? unatumia muda mwingi kutunga uwongo bila kuangalia athari zake, ulivo kuwa mweupe unashindwa ata kujitathmini umejaa chuki zakupitiliza kwa watawala, utaumia na kusikitika sana maana hamkutumwa mbadilishe magia yenu angani ni ujinga kuweza kuamini gia ikibadilishwa angani huwa haina madhara.
 
Sidhani mfano wako unaswihi. Kwa taarifa yako hao wrote uliowataja hawakusaliti vyama vyao Bali nchi zao na pamoja na kutukia mabomu ma eisasi migogoro yao haikwisha mpaka walipokaa mezani sembuse Lipumba na Maalim?
 
CUF ya Seif ingalijikita na kukazana zaidi katika kesi ya msingi waliyoifungua mahakamani takribani mwaka mmoja uliopita inauyohusu msajili wa vyama vya siasa kumtambua Lipumba kama mwenyekiti halali wa CUF. Hili ndiyo la msingi kwani as long as Lipumba ndiye anayetambuliwa na mamlaka husika kwa mjibu wa sheria, cho chote watakachofanya kundi la Seif kinyume na matakwa ya Lipumba kitakuwa si halali na kinaweza kuhesabika ni kufanya fujo na hivyo kulazimisha FFU kufanya kazi yake.

Kwa nini akina Seif hawakazani na hiyo kesi ya msajili kumtambua Lipumba? Jee hawana namna ya kuilazimisha mahakama iharakishe kesi hiyo? Au kesi hiyo ilishafutiliwa mbali au ilishashindikana? Kama kesi hiyo ilishashindikana, basi inabidi wakubali tu kwamba Lipumba ndiye mwenyekiti wao na wanapaswa kushirikiana naye.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…