mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tatito la wapinzan wa tz ni kukurupuka tu bila kujenga hoja zenye mashiko. Wanajua kulalamikia kila kitu, hawajui maana ya upinzani ni kujenga hoja zenye mashiko ili kujikwamua kidemokrasia na sio kupinga tu kila kitu.Wewe unashindwa nini kuchukua hatua ? au uwezo wako ndio huu wa kuja hapa kuongea majungu na mipasho? unatumia muda mwingi kutunga uwongo bila kuangalia athari zake, ulivo kuwa mweupe unashindwa ata kujitathmini umejaa chuki zakupitiliza kwa watawala, utaumia na kusikitika sana maana hamkutumwa mbadilishe magia yenu angani ni ujinga kuweza kuamini gia ikibadilishwa angani huwa haina madhara.
ndio mkuu. makao makuu ya CUF yako buguruni siku zoteYes. Halafu Makao Makuu si yako Buguruni?
ndio mkuu. makao makuu ya CUF yako buguruni siku zoteYes. Halafu Makao Makuu si yako Buguruni?
Hivi tukimwombea mtu Mungu anavyokuwa anapokea hayo maombi naye kweli haangalii uhalisia wake!?Tumuombee mtukufu azidi kuinyoosha nchi.
Chunga kauli zako mkuu mambo ya cuf ccm inaingiaje nduguCCM inalazimisha vita kwa udi na uvumba .
Wanasheria duniani kote ni watu wenye msimamo kwenye kile wanachokiamini!Hapa naona muhimili mmoja tayar ushatitia (bye bye bunge) huku tukisubir mahakama nayo ichukuliwe na mwewe
ndio mkuu. makao makuu ya CUF yako buguruni siku zote
Nazungumzia CUF taifa.Makao makuu cuf yako Zanzibar , hii sio kama CCM yenye makao makuu Dodoma, CUF ilianzishwa Zanzibar
Nazungumzia CUF taifa.
Ok sawa. Kuna tetesi za kikao kule Zanzibar. Ni nani kakiitishaNazungumzia CUF taifa, Buguruni ni kama Lumumba ya CCM kwa CUF
Udikteta unazidi kuimarika, upinzani kazeni kamba wananchi tupo na nyie
Magufuli ametumwa na Mungu kuja kuwanyoosha kwahiyo dua zitakubaliawa tu. Angekuwa ametumwa na shetani zisingekubaliwa . Kwahiyo wacha tuone matokeo ya Mtu aliyetumwa na Mungu baaada ya miaka 10 ndio uje ucomment.Hivi tukimwombea mtu Mungu anavyokuwa anapokea hayo maombi naye kweli haangalii uhalisia wake!?
Kama serikali ikikana kuwa haihusiki na kinachoendelea cuf basi naamini sala zitapokelewa.
Magufuli ametumwa na Mungu kuja kuwanyoosha kwahiyo dua zitakubaliawa tu. Angekuwa ametumwa na shetani zisingekubaliwa . Kwahiyo wacha tuone matokeo ya Mtu aliyetumwa na Mungu baaada ya miaka 10 ndio uje ucomment.