DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Sasa dereva kaweka kwani Waziri haoni na kumbuka hilo ni gari la.serikali kubandika kwake lazma taratibu nyingi zifuatweMkuu, huo mtihani, tatizo unakuta madereva ndo wanaongeza manjonjo yao.
Waziri anaona sana, lakini kuwa Waziri akumaanishi anajua sheria za nchi.Sasa dereva kaweka kwani Waziri haoni na kumbuka hilo ni gari la.serikali kubandika kwake lazma taratibu nyingi zifuatwe
Duuuuh.... yani serikali iliruhusu watu wakabadilishe muonekano wa vibao, kwa sharti la kutumia kampuni zilizopewa vibali na viwango ?Si kweli mkuu, kuna kampuni zilizopewa vibali na viwango vya kutengeneza hizo pleti namba. Hizo 3D ziko nje ya viwango vya TBS na pia zinatengenezwa mitaani bila ya kuwa na vibali wala leseni. Kumbuka TBS ndio wanatoa vipimo vya ukubwa wa hizo herufi na namba, nafasi kati ya herufi na herufi, na nafasi kati ya namba na namba. Lazima mchakato ufuatwe ili kuweka viwango vipya na mamlaka husika (TBS) na hao watengenezaji wa 3D wafuate taratibu.
Hazijui halafu ndo anazitunga sio π πWaziri anaona sana, lakini kuwa Waziri akumaanishi anajua sheria za nchi.
Hawa wakuu wengine ni weupe sana kichwani, basi tu ni nafasi za kisiasaHazijui halafu ndo anazitunga sio π π
Itakuwa wewe ni police unajaribu kuwatetea wenzako ..siku ukiigia kwenye 18 za police ndio utaelewauna chuki za kifala kabisa.Kwani hizo sheria wanazotekeleza polisi walitunga wao?Mbona hulichukii bunge lililopitisha & kutunga sheria hizo.!
Tutii sheria za nchi;kutii ni uzalendo kwa nchi.