Jeshi la polisi laanza operesheni ya kubandua namba za magari za 3D

Jeshi la polisi laanza operesheni ya kubandua namba za magari za 3D

Chuma langu lenyewe ni prado sx5 namba ALM nianze kuweka 3D ya nini, 🤣🤣🤣
 
Mimi nasema polisi wangewapa elimu wamiliki wa magari na kuwaamuru wazitoe wenyewe lakini sio wao polisi kuzibandua hizo plate namba hii siyo vizuri.
 
Tanzania huna haki huna haki tuu ... Huna sautii huna sauti tuu...huna faranga huna faranga tuuu. Maisha yanasonga mbele kwa mbele
haki inaambatana na wajibu 🐒

unaelekezwa kwa ustaarabu na wema kabisaa, mpaka muda fulani uwe umefanya hivi au vile 🐒

kwakujifanya wewe ni hodari sana, ni mwamba zaidi, hiyo haina haja wala maana yoyote subiri tuone watafanya nini 🐒

ndio hiyo wanakuwajibisha sasa kwa kukataa kwako kuwajibika bila shuruti 🐒

unalalama ati hakuna haki ni haki gani hiyo tena wataka 🐒
 
Punguza ujuaji, tulishatangaziwa zaidi ya miezi mitatu iliyopita. Hizo namba ni lazima zifuate vipimo na specifications kama ilivyopangwa na TBS. Sasa wewe unachukua namba zimetengenezwa na kampuni iliyopewa kibali mfano Masasi signs unaongezea urembo wako ili iweje. Unakiuka vigezo vilivyowekwa na unatumia vikampuni vya mtaani ambavyo havina vibali vya mamlaka husika. Tujifunze kufuata sheria na taratibu, hizo 3D namba ni rahisi sana mtu kutemper nazo.
Hakuna lolote hapo usifikiri mamlaka za hii nchi sisi hatuzifahamu, lengo lao ni kutaka tu kushirikishwa ili wapate hela kupitia huo mfumo, baada ya muda utasikia zimerasimishwa na hiyo sababu ya sijui ni rahisi kutamper nazo hutaisikia tena
 
Bado hujaeleza zina shida gani??
Japo umemwambia Mjuaji..
Maana kama 3D ina tatizo labda inasababisha Ajali pia tujue
Hata mimi nimeshangaa mkuu, yani kama kuna mtanzania bado hajui mamlaka za hii nchi jinsi zinavyofanya kazi kiasi cha kuunga mkono kila wanachokataza, basi asikitikiwe na apewe pole nyingi
 
Hakuna lolote hapo usifikiri mamlaka za hii nchi sisi hatuzifahamu, lengo lao ni kutaka tu kushirikishwa ili wapate hela kupitia huo mfumo, baada ya muda utasikia zimerasimishwa na hiyo sababu ya sijui ni rahisi kutamper nazo hutaisikia tena
Si kweli mkuu, kuna kampuni zilizopewa vibali na viwango vya kutengeneza hizo pleti namba. Hizo 3D ziko nje ya viwango vya TBS na pia zinatengenezwa mitaani bila ya kuwa na vibali wala leseni. Kumbuka TBS ndio wanatoa vipimo vya ukubwa wa hizo herufi na namba, nafasi kati ya herufi na herufi, na nafasi kati ya namba na namba. Lazima mchakato ufuatwe ili kuweka viwango vipya na mamlaka husika (TBS) na hao watengenezaji wa 3D wafuate taratibu.
 
Kwani mbona watu wanaiba Gari na wanabadili Plate nzima??
Hiyo sio sababu hata kidogo..
Watu wanaiba gari inapachikwa Palte ya trekta au ya gafi yiyote mbovu ngoma inasonga..

BAdo sioni sababu
Hiyo sababu yako haiwezi kuondoa hoja yangu hata kidogo, tujitahidi kufuata sheria na taratibu zilizowekwa. TBS imeweka viwango vya hizo plate namba, ikiwemo dimensions za namba na herufi, pia nafasi kati ya neno na neno, na nafasi kati ya herufi na herufi. Unakuta mtu ameongeza malogo yake na maurembo kibao kwenye plate namba na huku ni kinyume cha utaratibu.
 
Bado hujaeleza zina shida gani??
Japo umemwambia Mjuaji..
Maana kama 3D ina tatizo labda inasababisha Ajali pia tujue
Iko nje ya viwango vilivyowekwa na TBS, ikiwemo ukubwa wa maandishi (dimensions) na spacing. Hakuna tatizo lingine zaidi ya kuwa nje ya viwango vya TBS.
 
Hiyo sababu yako haiwezi kuondoa hoja yangu hata kidogo, tujitahidi kufuata sheria na taratibu zilizowekwa. TBS imeweka viwango vya hizo plate namba, ikiwemo dimensions za namba na herufi, pia nafasi kati ya neno na neno, na nafasi kati ya herufi na herufi. Unakuta mtu ameongeza malogo yake na maurembo kibao kwenye plate namba na huku ni kinyume cha utaratibu.
Naomba sheria au kanuni au Muongozo unaokataza Matumizi ya 3D kama unao..
Maana umetaja sheria bhasi ukinipa sheria itakuwa vizuri zaidi maana sheria ndo huzaa Kanuni na Miongozo..

Nipo nasubiri mkuu maana sheria ya Usalama barabarani ninayo na haina ulichosema..
Mayb ni sheria mpya..

So i am waiting.....
 
Iko nje ya viwango vilivyowekwa na TBS, ikiwemo ukubwa wa maandishi (dimensions) na spacing. Hakuna tatizo lingine zaidi ya kuwa nje ya viwango vya TBS.
Niambie ni sheria ipi Tanzania inasema plate number ikiwa nje ya viwango unaing'oa?

Au niambie Plate number zikiwa nje wa kiwango zinaathiri vipi usalama barabarani?

Au Ni wapi kuwa nje ya viwango vya TBS kwa Plate number kumehesabiwa kama kinyume cha sheria?
Bado nasubiri sheria hizo mkuu
 
20240228_225858.jpg
Nani wa kumfunga paka kengele
20240228_225853.jpg
 
Si kweli mkuu, kuna kampuni zilizopewa vibali na viwango vya kutengeneza hizo pleti namba. Hizo 3D ziko nje ya viwango vya TBS na pia zinatengenezwa mitaani bila ya kuwa na vibali wala leseni. Kumbuka TBS ndio wanatoa vipimo vya ukubwa wa hizo herufi na namba, nafasi kati ya herufi na herufi, na nafasi kati ya namba na namba. Lazima mchakato ufuatwe ili kuweka viwango vipya na mamlaka husika (TBS) na hao watengenezaji wa 3D wafuate taratibu.
Duuh kwahiyo unataka kusema kwamba wanaotengeneza hizo 3Ds, wanashindwa kujua criteria na dimensions zilizowekwa na TBS, hata kwa kukopi tu kutoka kwenye hizi za zamani
 
Back
Top Bottom