kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 709
- 1,881
hujaelewa wapi mkuu.
Sijakuelewa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa!
kama unazo hizo number za kubandika kwenye plate number halisi utaliwa kichwa.Hebu dadavueni vzr plz..
3d plate #shujaelewa wapi mkuu.
Ookey nimeelewa mm nina kibati changu orijino sijabandika karatasi kwa juu..kama unazo hizo number za kubandika kwenye plate number halisi utaliwa kichwa.
number pamoja na herufi za kisasa zinazobandikwa kwenye plate number halisi ili kuongeza mvuto wa plate number.3d plate #s
Hahahaha mm natumia 4D kabisa kwenye hii Subaru Forester XT nasubiria waitoemkuu umebanduliwa 3D zako??
As long as tutazeeka wote what's your point bwana mdogoUtazeeka sura kwa kutaka kuwa serious kwa vitu lainilaini.
Relax mkuuKua serious kwenye thread za watu ndugu....kama vipi ungeenda thread ya vichekesho uongee huu upuuzi wako
Jeshi limekosa kazi za KufanyaKama utani operesheni ndio imeanza usije ukasema hujaambiwaView attachment 2918540
Punguza ujuaji, tulishatangaziwa zaidi ya miezi mitatu iliyopita. Hizo namba ni lazima zifuate vipimo na specifications kama ilivyopangwa na TBS. Sasa wewe unachukua namba zimetengenezwa na kampuni iliyopewa kibali mfano Masasi signs unaongezea urembo wako ili iweje. Unakiuka vigezo vilivyowekwa na unatumia vikampuni vya mtaani ambavyo havina vibali vya mamlaka husika. Tujifunze kufuata sheria na taratibu, hizo 3D namba ni rahisi sana mtu kutemper nazo.Ni ujinga tu kwani 3D number plates zina shida gani, tena mimi naona hizo ndio nzuri na zinapendeza kwenye Gari kuliko hizi za zamani, hii nchi mamlaka huwa zinapenda urasimu kwenye kila jambo bila sababu
Nguvu ya kulinda maslahi ya kampuni za wakubwa fulani..Kama utani operesheni ndio imeanza usije ukasema hujaambiwaView attachment 2918540
Kwa kuwa zinabanduka,zinaweza kutumia vibaya Kwa uharifu au kukwepa Askari wa usalama Barabarani.Kwani zina athari gani?
Kutemper nazo How? Anyway, wazitoe tu. Mm sikuwahi zipenda ila logic sioni maana ni namba tu na zinasomeka vizuri.Punguza ujuaji, tulishatangaziwa zaidi ya miezi mitatu iliyopita. Hizo namba ni lazima zifuate vipimo na specifications kama ilivyopangwa na TBS. Sasa wewe unachukua namba zimetengenezwa na kampuni iliyopewa kibali mfano Masasi signs unaongezea urembo wako ili iweje. Unakiuka vigezo vilivyowekwa na unatumia vikampuni vya mtaani ambavyo havina vibali vya mamlaka husika. Tujifunze kufuata sheria na taratibu, hizo 3D namba ni rahisi sana mtu kutemper nazo.
Sijakuelewa bado boss, Plate number si inafutika hata hii ya kawaida kama una nia ya kufanya uhalifu?Kwa kuwa zinabanduka,zinaweza kutumia vibaya Kwa uharifu au kukwepa Askari wa usalama Barabarani.
Nadhani shida iko hapo
Ukibandua herufi au tarakimu moja na kubandika nyingine ni sawa na kubadilisha utambulisho wa Gari.Sijakuelewa bado boss, Plate number si inafutika hata hii ya kawaida kama una nia ya kufanya uhalifu?
Kwahiyo hapo ndiyo anabandua!Kama utani operesheni ndio imeanza usije ukasema hujaambiwaView attachment 2918540
Kwa mfano gari yanye namba T 838 ZZZ na ikawa imewekewa plate number ya 3D, ikiibiwa na kubadilishwa kuwa T 888 ZZZ ni kitu rahisi sana, kwani unabandua hiyo 3 unaweka 8 ndani ya sekunde chache tu.Kutemper nazo How? Anyway, wazitoe tu. Mm sikuwahi zipenda ila logic sioni maana ni namba tu na zinasomeka vizuri.