Pre GE2025 Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sioni sababu zozote za maana za kuzuia Vijana wa Taifa hili kwenda kukutana huko Mbeya.

Kama ni Maandamano ya Gen Z hapa hapa Dar yangefanyika.
 
Kumekucha 🐼

Sisi tuko Chato kwenye sikukuu ya miaka 25 ya Upadirisho wa Askofu Kasalla

Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😄
Religion is the opium of the people. Wenzio mapadre na maaskofu wakitoka hapo wanakuta mezani kuna misosi ya maama na mabia ya kumwaga we unatoka hata kahela ulikobeka umenyanganywa kwa kinachoitw asadaka (wizi). Ukirudi nyumbani unapiga miayo na watoto wako. Akili ku mkichwa.

Religion come in when a person fails to think critically.
 
View attachment 3066777View attachment 3066778
Jeshi la Polisi linapenda kutoa taarifa kwa umma kuhusiana na kuwepo kwa mipango ya viongozi wa chama cha siasa nchini [CHADEMA] kuhamasisha vijana kote nchini kukusanyika Mkoa wa Mbeya Agosti 12, 2024 kwa lengo la kufanya maandamano na mikusanyiko kwa mwamvuli wa maadhimisho ya siku ya vijana duniani.

Hivi karibuni kupitia mitandao ya kijamii wameonekana na kusikika baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] wakihamasisha vijana kote nchini, viongozi wa kitaifa wa chama, kamati kuu ya chama hicho na kualika baadhi ya watu kutoka ndani na nje ya nchi kwa ajili ya kwenda kuadhimisha siku ya vijana Mkoani Mbeya.

Pamoja na mwaliko wanaotoa, viongozi hao wameendelea kutoa kauli ambazo hazionyeshi kuwa na lengo la kwenda kuadhimisha siku ya vijana duniani bali ni kwenda kuhamasisha kufanya vitendo vinavyolenga uvunjifu wa amani kwa wananchi wa Mkoa wa Mbeya.

Miongoni mwa kauli hizo ambazo zinaashiria kuwa na lengo la kuvuruga amani ni za Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa ndugu Twaha Mwaipaya, nanukuu "Kama kijana yeyote unaipenda nchi yako ya Tanzania, umeshalia miaka yako yote, siku hiyo ya tarehe 12/08/2024 tunakwenda kuweka hatma ya Taifa letu la Tanzania Mkoani Mbeya, kwa hiyo kijana yeyote uliyepo popote Tanzania njoo uwanja wa Ruanda Nzovwe Mbeya"

Kauli nyingine ni, "Tupo serious sana na jambo hili, kwa hiyo vijana wote wa CHADEMA kama ambavyo vijana wa Kenya wamejitambua,

siku ya tarehe 12/08/2024 tunakwenda kuacha uteja kwa serikali vijana wa kitanzania na kuweka maazimio makubwa ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka 2025"

Kauli zinazotamkwa kama hizi za kwamba wanakwenda kuamua hatma ya Taifa la Tanzania na kwamba wapo "serious" sana kama ambavyo vijana wa Kenya walijitambua na kuacha uteja wa serikali na taarifa zingine zilizopo ni viashiria tosha kuwa malengo yao sio kwenda kuadhimisha siku ya vijana duniani bali ni kuanzisha na kufanya vurugu ili kusababisha uvunjifu wa amani nchini.

Kufuatia kauli hizo na matamko mbalimbali yanayotolewa na viongozi hao, Jeshi la Polisi limeamua kupiga marufuku maandamano na mikusanyiko ya aina yoyote ile ya ndani au nje inayotaka kufanyika kwa mwamvuli wa kuadhimisha siku ya vijana duniani inalenga kuleta uvunjifu wa amani Mkoa wa Mbeya na maeneo mengine yoyote katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hivyo basi, Jeshi la Polisi nchini linatoa onyo kali na katazo kwa mtu au kikundi cha watu kinachojipanga kufanya maandamano na mikusanyiko kuacha mara moja kwani Jeshi la Polisi lipo imara na limejipanga vizuri kuhakikisha ulinzi, usalama, amani na utulivu vinatawala nchini na lipo tayari kuzuia na kupambana na viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani, na halitasita kuchukua hatua kali kwa mujibu wa sheria kwa mtu yeyote atakayekiuka katazo hili.

Pia soma=> Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani
 

Attachments

  • 5793447-d05126d2cf760a954dec3168c92d63a7.mp4
    8 MB
Religion is the opium of the people. Wenzio mapadre na maaskofu wakitoka hapo wanakuta mezani kuna misosi ya maama na mabia ya kumwaga we unatoka hata kahela ulikobeka umenyanganywa kwa kinachoitw asadaka (wizi). Ukirudi nyumbani unapiga miayo na watoto wako. Akili ku mkichwa.

Religion come in when a person fails to think critically.
Kwahiyo Uwezo wako wa akili umeishia Kwenye misosi 🐼
 
Waambie wanaumwa
IMG-20240811-WA0016.jpg
 
Tulimsikia Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Emmanuel Nchimbi, akiwa ziarani huko katika kata ya Katoro, Mkoani Geita, tarehe 12 mwezi huu, akimwagiza Naibu Waziri wa Mambo ya ndani, Daniel Sillo kuwa wawaachie viongozi wa Chadema waliokuwa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi nchini.

Tumeshuhudia mara tu baada ya Katibu Mkuu wa CCM kutamka hivyo, kweli amri hiyo ikatekdlezws mara moja, Kwa kuachiwa hao viongozi wa Chadema, waliokuwa wanadshikiliwa na Jeshi hilo huko Mbeya.

Najiuliza, hivi kumbe Jeshi la Polisi nchini, linatekeleza majukumu yake Kwa maagizo kutoka Kwa viongozi wa chama Tawala Cha CCM na Wala siyo kufuata sheria za nchi ziinavyowaambia wafanye na Wala siyo kufuata miongozo kama ilivyo Kwenye PGO yao ya utendaji kazi wao??

Ni dhahiri sasa nimegundua kumbe hata huku kubambikixiwa kesi raia wema wasio na hatia katika nchi hii kunakofanywa na Jedji la Polisi, huwa ni maagizo toka Kwa viongozi wa CCM!

Hata hivyo Hilo Jeshi la Polisi, halipaswi kufanya kazi zake, kws maelekezo toka Kwa viongozi wa CCM, Bali wanapaswa kutenda kazi zao Kwa mujibu wa sheria za nchi.

Nakumbuka katika utawala wa awamu ya 4 ya Rais Jakaya Kikwete, mwaka 2012, katika kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM, aliwaonya viongozi wa CCM, wasiendelee kulitumia Jeshi la Polisi, Kwa manufaa yao.

Mungu ibariki Tanzania
 
Saa 9 HII Wewe kunja Goti umuombe MUNGU Muda huu wanasema mbingu zinakua zimefunguka ukiomba chochote Muda huu unatapa,

Ps: Muda huu ndio Muda ambao hata Wezi wakiiba huku wanamuomba Mungu hawakamatwi Muda huu walinzi wamelala wamechoka kukaa Macho
 
Saa 9 HII Wewe kunja Goti umuombe MUNGU Muda huu wanasema mbingu zinakua zimefunguka ukiomba chochote Muda huu unatapa,

Ps: Muda huu ndio Muda ambao hata Wezi wakiiba huku wanamuomba Mungu hawakamatwi Muda huu walinzi wamelala wamechoka kukaa Macho
Kushakucha... Jogoo zinawika.

Zingatia neno 'jogoo'...
 
Vijana WA Kenya Gen z hawakutumia chama chochote cha siasa ndio maana Ruto akanywea

Waliji organize wenyewe Tu bila mwavuli WA chama chochote
Chadema wajinga Fulani hivi hao Bavicha wanataka kuiga Kenya Kwa mfumo usiolingana na kenya
Wewe ni mjinga sana!
 

Jeshi la Polisi linapenda kutoa taarifa kwa umma kuhusiana na kuwepo kwa mipango ya viongozi wa chama cha siasa nchini [CHADEMA] kuhamasisha vijana kote nchini kukusanyika Mkoa wa Mbeya Agosti 12, 2024 kwa lengo la kufanya maandamano na mikusanyiko kwa mwamvuli wa maadhimisho ya siku ya vijana duniani.

Hivi karibuni kupitia mitandao ya kijamii wameonekana na kusikika baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] wakihamasisha vijana kote nchini, viongozi wa kitaifa wa chama, kamati kuu ya chama hicho na kualika baadhi ya watu kutoka ndani na nje ya nchi kwa ajili ya kwenda kuadhimisha siku ya vijana Mkoani Mbeya.

Pamoja na mwaliko wanaotoa, viongozi hao wameendelea kutoa kauli ambazo hazionyeshi kuwa na lengo la kwenda kuadhimisha siku ya vijana duniani bali ni kwenda kuhamasisha kufanya vitendo vinavyolenga uvunjifu wa amani kwa wananchi wa Mkoa wa Mbeya.

Miongoni mwa kauli hizo ambazo zinaashiria kuwa na lengo la kuvuruga amani ni za Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa ndugu Twaha Mwaipaya, nanukuu "Kama kijana yeyote unaipenda nchi yako ya Tanzania, umeshalia miaka yako yote, siku hiyo ya tarehe 12/08/2024 tunakwenda kuweka hatma ya Taifa letu la Tanzania Mkoani Mbeya, kwa hiyo kijana yeyote uliyepo popote Tanzania njoo uwanja wa Ruanda Nzovwe Mbeya"

Pia soma: Uzi Maalum wa Matukio ya Kiusalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli nyingine ni, "Tupo serious sana na jambo hili, kwa hiyo vijana wote wa CHADEMA kama ambavyo vijana wa Kenya wamejitambua,

siku ya tarehe 12/08/2024 tunakwenda kuacha uteja kwa serikali vijana wa kitanzania na kuweka maazimio makubwa ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka 2025"

Kauli zinazotamkwa kama hizi za kwamba wanakwenda kuamua hatma ya Taifa la Tanzania na kwamba wapo "serious" sana kama ambavyo vijana wa Kenya walijitambua na kuacha uteja wa serikali na taarifa zingine zilizopo ni viashiria tosha kuwa malengo yao sio kwenda kuadhimisha siku ya vijana duniani bali ni kuanzisha na kufanya vurugu ili kusababisha uvunjifu wa amani nchini.

Kufuatia kauli hizo na matamko mbalimbali yanayotolewa na viongozi hao, Jeshi la Polisi limeamua kupiga marufuku maandamano na mikusanyiko ya aina yoyote ile ya ndani au nje inayotaka kufanyika kwa mwamvuli wa kuadhimisha siku ya vijana duniani inalenga kuleta uvunjifu wa amani Mkoa wa Mbeya na maeneo mengine yoyote katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hivyo basi, Jeshi la Polisi nchini linatoa onyo kali na katazo kwa mtu au kikundi cha watu kinachojipanga kufanya maandamano na mikusanyiko kuacha mara moja kwani Jeshi la Polisi lipo imara na limejipanga vizuri kuhakikisha ulinzi, usalama, amani na utulivu vinatawala nchini na lipo tayari kuzuia na kupambana na viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani, na halitasita kuchukua hatua kali kwa mujibu wa sheria kwa mtu yeyote atakayekiuka katazo hili.

Pia soma=> Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani

wametumia vigezo gani?
 
Kamishna wa operation wa jeshi la polisi nchi kamanda Haji ametoa tamko kukataza kongamano la vijana la CHADEMA lilipangwa kufanyika mkoani mbeya siku ya vijana duniani.

Kamishna Haji amesema kwa mujibu wa taarifa za kiintelijensia walizonazo ni kuwa vijana hao walipanga kufanya vurugu na kuhamsishana harakati za uvunjifu wa amani.

Hapo awali vijana wa chadema wa mkoa wa Dar es salaam walisema kuwa wanaowaunga mkono wenzao wa kenya katika kudai haki zao na wanataka wafanye kama kenya hapa Tanzania

Wanapinga ukosefu wa ajira, matumizi makubwa ya serkali,mfumuko wa bei, utekaji na kupotea kwa watu sambamba na kupatikana kwa katiba mpya

USSR
Taarifa; igp ameomba kujiuzuli kisa kashinikizwa awakamate viongozi wote wa cdm nchi nzima
 

Jeshi la Polisi linapenda kutoa taarifa kwa umma kuhusiana na kuwepo kwa mipango ya viongozi wa chama cha siasa nchini [CHADEMA] kuhamasisha vijana kote nchini kukusanyika Mkoa wa Mbeya Agosti 12, 2024 kwa lengo la kufanya maandamano na mikusanyiko kwa mwamvuli wa maadhimisho ya siku ya vijana duniani.

Hivi karibuni kupitia mitandao ya kijamii wameonekana na kusikika baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] wakihamasisha vijana kote nchini, viongozi wa kitaifa wa chama, kamati kuu ya chama hicho na kualika baadhi ya watu kutoka ndani na nje ya nchi kwa ajili ya kwenda kuadhimisha siku ya vijana Mkoani Mbeya.

Pamoja na mwaliko wanaotoa, viongozi hao wameendelea kutoa kauli ambazo hazionyeshi kuwa na lengo la kwenda kuadhimisha siku ya vijana duniani bali ni kwenda kuhamasisha kufanya vitendo vinavyolenga uvunjifu wa amani kwa wananchi wa Mkoa wa Mbeya.

Miongoni mwa kauli hizo ambazo zinaashiria kuwa na lengo la kuvuruga amani ni za Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa ndugu Twaha Mwaipaya, nanukuu "Kama kijana yeyote unaipenda nchi yako ya Tanzania, umeshalia miaka yako yote, siku hiyo ya tarehe 12/08/2024 tunakwenda kuweka hatma ya Taifa letu la Tanzania Mkoani Mbeya, kwa hiyo kijana yeyote uliyepo popote Tanzania njoo uwanja wa Ruanda Nzovwe Mbeya"

Pia soma: Uzi Maalum wa Matukio ya Kiusalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli nyingine ni, "Tupo serious sana na jambo hili, kwa hiyo vijana wote wa CHADEMA kama ambavyo vijana wa Kenya wamejitambua,

siku ya tarehe 12/08/2024 tunakwenda kuacha uteja kwa serikali vijana wa kitanzania na kuweka maazimio makubwa ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka 2025"

Kauli zinazotamkwa kama hizi za kwamba wanakwenda kuamua hatma ya Taifa la Tanzania na kwamba wapo "serious" sana kama ambavyo vijana wa Kenya walijitambua na kuacha uteja wa serikali na taarifa zingine zilizopo ni viashiria tosha kuwa malengo yao sio kwenda kuadhimisha siku ya vijana duniani bali ni kuanzisha na kufanya vurugu ili kusababisha uvunjifu wa amani nchini.

Kufuatia kauli hizo na matamko mbalimbali yanayotolewa na viongozi hao, Jeshi la Polisi limeamua kupiga marufuku maandamano na mikusanyiko ya aina yoyote ile ya ndani au nje inayotaka kufanyika kwa mwamvuli wa kuadhimisha siku ya vijana duniani inalenga kuleta uvunjifu wa amani Mkoa wa Mbeya na maeneo mengine yoyote katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hivyo basi, Jeshi la Polisi nchini linatoa onyo kali na katazo kwa mtu au kikundi cha watu kinachojipanga kufanya maandamano na mikusanyiko kuacha mara moja kwani Jeshi la Polisi lipo imara na limejipanga vizuri kuhakikisha ulinzi, usalama, amani na utulivu vinatawala nchini na lipo tayari kuzuia na kupambana na viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani, na halitasita kuchukua hatua kali kwa mujibu wa sheria kwa mtu yeyote atakayekiuka katazo hili.

Pia soma=> Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani
Na tangu lini huyu Wadh amekuwa msemaji wa Jeshi la Polisi? Na ni Wadh huyu huyu aliyewapiga Sugu Na Mnyika, huo u IGP anautafuta kwa nji za kipumbavu sana
 
Back
Top Bottom