Bila shaka kuna mambo ya msingi hujaelewa, ni Sheria ndio inayozuia watu kuchangisha pesa bila kuwa na kibali. Hivyo kosa lake ni kuchangisha pesa bila kibali kwa mujibu wa Sheria, hii imewekwa ili kulinda wachangiaji kutapeliwa. Halipo suala la serikali kuwaonea wivu
 
Hivi kuchangisha fesha watu mpaka mamlaka ikupe ruhusa?
 
Una IQ ndogo sana. Alichofanya ni utapeli na utakatishaji pesa.
Acha umbumbumbu wako huyo binti hana makosa hayo fedha aliyochangisha unakuta anayo na hajaitumia ukute alikuwa anafanya utaratibu wa kuwafikishia wahusika. Utasemaje amefanya utapeli?
Kuhusu utakatishaji fedha , nahisi hujuhi hata maana na dhima ya neno utakatishaji fedha.
 
Serikali ilishaweka muongozo. Huyu akaingia katikati. Halafu hili suala la utakatishaji fedha waliangalie vizuri. Zaidi ya hii michango ya maafa kuna kila dalili kuwa huyu binti anatumika na watu fulani kufanya hiyo kazi ya kutakatisha hela. Watumie hii chance kumbana. Huyu kuna zaidi ya hizo biashara..
 
Reactions: rr4
Ni money laundering kwa sababu pesa za madawa ya kulevya zinaweza kupitishiwa humo na zikatoka humo zikiwa pesa safi na halali..

Ukichukulia hivyo money laundering basi yeye hausiki manake yeye anachangisha.
Na money laundeing haipo hivyo inatumika mtu anapojifahidisha .
Sasa mtu anakusanya fedha kwa ajili ya kuwapelekea wahanga utasemaje amejinifahisha amefanya money laundring .
Kama ni hivyo basi makanisa na misikiti viongizi wao nao wakamatwe kwani wanapokea fedha /sadaka hata za wauza unga .
Money laundring doesnot apply in this issue
 
Duh!!
 
Duh nilikua najua ni wewe eti๐Ÿ˜…
 
Niffer Yuko mbele ya serikali kwa sababu serikali ilitakiwa kuanzisha utaratibu huo,ili wahanga wasaidiwe.
Ninampongeza kwa ubunifu huo na WA haraka
 
Niffer Yuko mbele ya serikali kwa sababu serikali ilitakiwa kuanzisha utaratibu huo,ili wahanga wasaidiwe.
Ninampongeza kwa ubunifu huo na WA haraka
Avatar yako ndio ubongo wako ulipo...
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ
 
Uwe na akili ya kutofautisha vitu.
Hakuna utofauti yeto ni michango, mbona hamna vibali vinavyoombwa na wanaochangisha hawakamatwi.
Yule dogo aliyechoma bendera ya rais ambaye ameamua kusafiri wakati nchi ina majanga mbona tulimchangia na hatukusikia waliochangisha wamekamatwa .
Wagonjwa mbalimbali godlisten malisa anawapost tunawachangia mbona hatusikii ishu ya kibali.
Huyu Waziri Mkuu atakuwa hayupo sawa
 
Kabisa mkuu. Imagine kila celebrity anachangisha kivyake.
 
Wahanga hawana sababu ya kuchangiwa. Mosi ni wafanyabiashara wangetakiwa kuwa na bima kwa ajili ya wafanyakazi na Mali. Pili mwenye jengo anatakiwa kuwa na bima kwa ajili ya tenant's and should give compensation for his wrongdoing. City Father's should have been following what is happening ie building permits if the construction is being done according to specification. Hao Contractors je wako registered na CRB wanafanya inspection.
 
Hata Mimi nahisi hadi waziri mkuu kama anamuonea gere binti mdogo tu.. kweli Niffer ana ushawishi wa ajabu sana
 
Kasome kifungu cha 34 cha sheria ya maafa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ