Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

Education is keyyyy of lifee,~Luck dube
 
Majeshi yenye akili yanapindua serikali mbovu na kufanya research zenye tija.

Jeshi letu tatizo wamejaa viraza wao wanadhani wakivaa mabaka yao wamemaliza kazi. Namuunga mkono Mwambukusi, hao wahuni waache mara moja mpango wao wa kijinga.
Nchi ikipinduliwa nyie mmmashoga mtajinyea ovyo,huna akili wewe
 
Mwabukusi anajua kaabisa wanaoenda kutwa na hizo nguo za jeshi Mdude, Mwabukusi na Slaa. Kesi ya uhaini itafuata baada ya hapo.
 
Alichokiandoka ndicho sahihi.kuingilia kazi ambazo si majukumu yao ni uvunjifu wa sheria na katiba ya nchi na tukiacha hayo yaendelee siku moja nguvu ya umma yao itajichukulia sheria mkononi.
 
Jeshi kuwekeza kwenye Research za HIV, COVID, Nuclear, Balistic Missiles, Ndege Jeshi, Submarines, wao wana hangaika na mitumba za Marehemu Wa Kizungu. Kiwanda chao cha Nyumbu kimeshindwa hata kuzalisha Bajaji za Abiria.
Exactly [emoji817]..
Mkuu issue ni ELIMU usifanye utani..hahahaha
 
Watanzania uzuzu wetu umeanzia kuonekana hapa hapa kwenye huu uzi. Yaani kabisa kuna watu wanamdhihaki na kumwona Mwambukusi kama amekosea. Watu kama hao unatarajia kuna siku watakomboka na kuwa huru kifikra???
Exactly [emoji817]
 
Kiingereza cha nini aongee kiswahili tu kwani akiweka kiingereza ndo ataonekana nani yeye, ulimbukeni tu huo
 
Huyo mpuuzi jeshi halifanyi ujinga ukiona hivyo ujue kuna tishio kubwa sana la usalama, na toka matukio ya kibiti Police haiaminiki tena kwenye mambo nyeti, undercover police wasaliti walikuwa wengi sana
Wew ndio bumunda uliona wapi pawe na tishio halafu uwastue waharifu badala ya kwenda kuwakama kimya kimya.
Ninyi mazuzu ndio mtaji wa ccm mkiambia chochote mnakubali tuu. Kesho ukiambiwa jeshi wanataka kukagua makalio yako utawapelekea tuu kwa kuwa jeshi linakagua waharifu.
 
Nchi inapo ingia vitani maana yake wanaobaki kutegemewa ni jeshi huku vyombo vingine vikiwa vimeufyata
Nitajie hiyo sheria mkuu. Kazi ya jeshi la wananchi ni kulinda usalama wa mipaka ya nchi. Kazi ya polisi ni kulinda raia na mali zao. Hii ni kwa mujibu wa sheria mama (katiba) na sheria nyinginezo na si vinginevyo. Inapotokea vita majeshi mengine yote yataungana na jwtz kulinda mipaka ya nchi yani kupigana vita majeshi hayo mengine yakiwa chini ya jwtz. Lakini jukumu la ulinzi wa raia na mali zao bado linasalia chini ya jeshi la polisi. Kumbuka mtaalam aliyesomea usalama wa raia ni polisi.
 
Hoja nzito na inayoelekea kuvunja haki za raia iliyo ktk tamko la jwtz ni pale wanaposema kuwa wataendesha msako wa nyumba kwa nyumba.

Huu ni uvunjifu wa sheria, katiba na haki za binadamu hasa fargha za watu vinginevyo walipaswa kutangaza hali ya hatari ndipo wafanye mengineyo.
 
Umeshinda mwanajeshi.
 
Watanzania tuache kuchekea ujinga. Jwshi linapaswa kufanya mambo serious na sio kuanza kusumbua raia. Jeshi linapaswa kuwa sehemu ya raia kukimbilia pale ambapo vyombo vingine vyote vimeshindwa
Sheria zetu zinasema je?
Kama tumejiwekea sheria kufuata mnapata taabu ya nini
 
Wewe kibwengo tu subiria upatikane na hizo nguo ndio utaongea vizuri
 
Mnaleta utani kwenye ulinzi wa Taifa, acheni upumbavu tutawafuata majumbani uniform za jeshi ni haramu kutumiwa na raia
Sheria zetu zinawaruhusu kama nyiye mnavunja sheria je tumejiwekea utaratibu wa nini basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…