Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
nina wivu,,shida yako nigombane na uyo dada sioπ«π«π«Mi npo najifunza dini ili wajomba zako wakose sababu ya kunikazia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nina wivu,,shida yako nigombane na uyo dada sioπ«π«π«Mi npo najifunza dini ili wajomba zako wakose sababu ya kunikazia
Ushashiba zakoπNainjoi bruh.View attachment 3083031
Huyo sio mgomvi ana utu na utulivunina wivu,,shida yako nigombane na uyo dada sioπ«π«π«
Wajomba sahiz wamepoa nipo kwangu naamka na kulala muda naotaka ππMi npo najifunza dini ili wajomba zako wakose sababu ya kunikazia
Yeah,Ushashiba zakoπ
Mm sasa ni hatariHuyo sio mgomvi ana utu na utulivu
Hata kama utakua free entity Kuna Ile tu kuheshimu taratibu zao na kutoa taarifa hata kama hawatazuia ChochoteWajomba sahiz wamepoa nipo kwangu naamka na kulala muda naotaka ππ
Hawanipangii maisha kma zamani
Ijumaaa Leo kabeba PEP, ndomu, chaja na card ya benki hapo kurudi geto jtatu jioniYeah,
Hamisi ana demu Leo Mana simuoni kabisa.
Hamisi msiri Sana.πIjumaaa Leo kabeba PEP, ndomu, chaja na card ya benki hapo kurudi geto jtatu jioni
πNgoja jtatu anakuja na comments za kibabe kataa ndoaHamisi msiri Sana.π
Umehamia huku tenaa!?Kosugi shda ako yule mchina mwenye uzi wake aje kutusutaππ
Huku yr anachaji simu Kisha anachaji na rungu.πNgoja jtatu anakuja na comments za kibabe kataa ndoa
πππdadeqHuku yr anachaji simu Kisha anachaji na rungu.
imebid nkuvute huku bwan loooh πUmehamia huku tenaa!?
πππ
Lishaisha waliobaki ni masalo masalo tuu hata hamna kazi kabisa l...watu wapo serious humu acha tuu ππππππMshapata Hao wachumba mm ndo nakuja muda huu Balo lishaisha mnipe kadi Sasaππ
Kabisa wamebeba wote wameacha masalo ππLishaisha waliobaki ni masalo masalo tuu hata hamna kazi kabisa l...watu wapo serious humu acha tuu ππππππ
Eeeeh wameacha masalo sasa hapo ni kuamua kuacha kusubiri kesho asubhi au kubeba masalo ukanukishe mchuzi ππππππππKabisa wamebeba wote wameacha masalo ππ
Nimecheka πππEeeeh wameacha masalo sasa hapo ni kuamua kuacha kusubiri kesho asubhi au kubeba masalo ukanukishe mchuzi ππππππππ
ππππππ Wewe bila kuchat namna hii sizani kama utaelewa an............Nimecheka πππ