Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo haifai 😂[emoji23]nimesema hakuna kupotea na To yeye kama vp potea pekee yako[emoji23]
Ngoja uonetena na wewe usipotee... No Half american nor To yeye
najua huwez kupotea... labda uje na ID nyingine lakini napo hakuna ladha yoyote unapocomment kama orignal ID[emoji23]Ngoja uone
Ntapotea siezi ishi milele mkuunajua huwez kupotea... labda uje na ID nyingine lakini napo hakuna ladha yoyote unapocomment kama orignal ID[emoji23]
[emoji23] lakn usipotee kwa kutaka mwenyewe mkuu... Utatuacha na majonz swahibaNtapotea siezi ishi milele mkuu
Mmenizoea kama mjomba wenu sio 😂[emoji23] lakn usipotee kwa kutaka mwenyewe mkuu... Utatuacha na majonz swahiba
yeah! si unajua tena...Mmenizoea kama mjomba wenu sio
Ntawaacha wenyewe 😂yeah! si unajua tena...
aaah uncle sio poa bhana...Ntawaacha wenyewe
Ntawaacha kama Mwachiluwi alivyowaachaaaah uncle sio poa bhana...
Mwachiluwi sijamzoea me nimejoin August mwaka huu kuna baadhi ya uncles siwafahamu vizur uncle...Ntawaacha kama Mwachiluwi alivyowaacha
Bado hujasemaMwachiluwi sijamzoea me nimejoin August mwaka huu kuna baadhi ya uncles siwafahamu vizur uncle...
bado sijasema nin?Bado hujasema
Uko poa?tena na wewe usipotee... No Half american nor To yeye