Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
sasa unaulizauliza nini... Afu umesema una mabwana wengi humu... Fanya uwe unanipa 20% ya maokoto uncleee...No,ni sawa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa unaulizauliza nini... Afu umesema una mabwana wengi humu... Fanya uwe unanipa 20% ya maokoto uncleee...No,ni sawa tu
Sawa, usijalisasa unaulizauliza nini... Afu umesema una mabwana wengi humu... Fanya uwe unanipa 20% ya maokoto uncleee...
okay... Ebu naomba ukanitag kwenye story yoyote nzuri nikapunguze stress... Fanya hvo basiSawa, usijali
Mbake huyo awe anakukimbia kama mshamba_hachekwi 😂😂Unataka ubakwe nami🤒?
Naona kuna kesi inakutafuta 😂Ee bhana... maana kesi za kujitakia sitaki
Sawaokay... Ebu naomba ukanitag kwenye story yoyote nzuri nikapunguze stress... Fanya hvo basi
Huyu yupo . Niliwasiliana nae kwa simu nadhan mwezi umepita. Nitamcheki leoNope last seen yake ni hii[emoji848]
View attachment 2718281
Watarudi,ubusy nao mkuuilisadikika... Ni muda sasa umepita sijajua kama wamepatikana...
huwezi jua labda ndio kwaher...Watarudi,ubusy nao mkuu
uncle nimekwambia ukanitag kwenye story unanitag kwenye mauaji[emoji23]...Sawa
uncle mimi hawezi kunibaka uncle wangu yule[emoji23] akizidiwa naweza kumsaidia kuna uncles wengi tu lakin sio kunibaka...Mbake huyo awe anakukimbia kama mshamba_hachekwiNaona kuna kesi inakutafuta
ndio nin?Miss chagga
Ngoja uone balaa lakeuncle mimi hawezi kunibaka uncle wangu yule[emoji23] akizidiwa naweza kumsaidia kuna uncles wengi tu lakin sio kunibaka...
Ni kweli kabisahuwezi jua labda ndio kwaher...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ngoja unyookeuncle nimekwambia ukanitag kwenye story unanitag kwenye mauaji[emoji23]...
balaa gani sasa yupo cool sana hana nomaNgoja uone balaa lake
Utajua hujui 😂balaa gani sasa yupo cool sana hana noma
ninyooke kwan nimepinda...Ngoja unyooke
nikiona hali ya tofaut nachomoka kama risasi[emoji23]Utajua hujui
Yeah nili ona hata last seen take ni juzijuzi, guess AME penda kuwa anonymous.Huyu yupo . Niliwasiliana nae kwa simu nadhan mwezi umepita. Nitamcheki leo