JF Members Madam S na Dahan, wako wapi siku hizi?

Furaha ipi😁😁, au Kuna Siri siijui🤔🏃
🤣🤣🤣Si kama ivi kujiachia kuandika chochote ambacho ofisini I mean public huwez jiachia au kutamka.....humu hawakuangalii usoni....Kuna mtu anatukana ujingaujinga tu humu lakini kitaa kumbe ni Boss Kwa office na home wanamwita baba au mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…