zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Lissu anaujua ukweli ila tu hataki kuweka yote hadharani na ndio maana hata wao wanajua hawana pa kuchomokea labda wakiri ukweli wote ingawa kuna wengine wamejishtukia tayari kina Salum mwalimu na Kigaila alikimbia hata hakuaga kabisa maana wanajua kinachofuata.Unachotaka ni waje waseme kile ambacho Lissu anaamini bila kujali kama ni kweli au la