zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Lissu anaujua ukweli ila tu hataki kuweka yote hadharani na ndio maana hata wao wanajua hawana pa kuchomokea labda wakiri ukweli wote ingawa kuna wengine wamejishtukia tayari kina Salum mwalimu na Kigaila alikimbia hata hakuaga kabisa maana wanajua kinachofuata.Unachotaka ni waje waseme kile ambacho Lissu anaamini bila kujali kama ni kweli au la
Ndio enhe??Mkuu una kitambulisho cha NIDA?
Basi bwana. Umeshinda.Yuko naye wapi? Dr Slaa alitoa maoni yake huko pembeni ila sijawahi ona popote yupo na Lissu publicly au mikutano ya chadema na hata jana alipotaja timu ya ushindi hakumtaja Dr Slaa. Huwezi chagua supporters wako, ila sio partners wako.
Ila siku akitaka kurudi chadema obvious lazima aende mkutano mkuu na akajieleze hayo.
Lissu alichaguliwa na mkutano mkuu, na uanachama wa Mdee unarudishwa na Mkutano Mkuu PEKEE!! sasa hiyo 48% ya mkutano mkuu inaweza pinga au kubali so sio kweli watafuata kila anachosema Lissu.
Mbona ndio Lissu kasema, waombe msamaha na kukiri kosa kwani kipi kigumu.
Kwani Mdee wamefukuzwa kisa kwenda bungeni au MCHAKATO waliotumia? Mie naamini kabisa maridhiano yalipoanza chadema walishakubaliana kina Aida na madiwani waende bungeni so hata wabunge wa viti maalum wangepelekwa muda huo. Sasa wao mchakato waliotumia ni forgery na ni criminal charges kabisa ni tofauti na Aida ambaye alikua na uhalali kisheria! Hao kina mdee walikua na uhalali gani? Hawajadhaminiwa na chama, hawajakua endorsed na kamati kuu na hata walipofukuzwa bado walibakizwa bungeni bila kuwa na udhamini wa chama!! So ni mambo mawili tofauti kabisa KISHERIA.
Nadhani hauelewi maana ya neno kukiri au admit. Kukiri ina maana kuwa kuna tuhuma tayari ambazo mnataka wazikubali. Hiyo sio haki. Hata mahakamani una haki ya kukiri kosa au kukataa. Hapa ina maana hamtafuti haki bali kuwadhalilisha.Hata Msigwa akirudi Lissu hana mamlaka ni Mkutano Mkuu, na obvious lazima aombe radhi na kueleza kwanini alihama!! Wakimuelewa watamrudisha so hao kina Mdee hakuna shortcut ni lazima wakiri
Unaniwekea maneno mdomoni. Sijasema kuwa walitishiwa na JPM au Ndugai. Nilisema kuwa hao wawili wana uwezo wa kumtishia mtu lakini sikusema kuwa walitumia huo uwezo katika mazingira yale. Wanaojua ukweli ni wao na Ndugai. Wengine tuna speculate tu.Wewe ulisema walienda kisa kutishiwa na JPM, sawa mbona hawakusema hayo Baraza Kuu? Wamefukuzwa wanaenda kukishtaki chama maana kwenye hati ya mashtaka bodi ya wadhamini chadema ilishtakiwa. Sasa mnafanya forgery na bado mnaishtaki taasisi mnategemea nini.
Ndio nyinyi mnao amini kuwa Lissu ni mpango wa Mungu na anajua kila kitu na hakosei. Sasa ulitaka Kigaila na Mwalimu wasubiri nini wakati tayari wameishateuliwa watu wengine kushika nafasi zao? Kigaila ameusimamia uchaguzi kwa haki pamoja na juhudi zenu za kumpakazia ( anawanyima wajumbe wenu vitambulisho n.k.). Mnataka nini zaidi? Nyinyi si ndio kila siku mnasema kuwa hawaaminiki kwa sababu wenza wao ni miongoni mwa kundi la Halima. Sasa mnataka wawaage. Ili iwaje?Lissu anaujua ukweli ila tu hataki kuweka yote hadharani na ndio maana hata wao wanajua hawana pa kuchomokea labda wakiri ukweli wote ingawa kuna wengine wamejishtukia tayari kina Salum mwalimu na Kigaila alikimbia hata hakuaga kabisa maana wanajua kinachofuata.
Huenda mdee kashaamua kujiunga na vyama vingineKiongozi wa baadhi ya wabunge 19 kutoka chama cha demokrasia na maendeleo Chadema Halima Mdee ametuma emoj ya kucheka baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu kusema wanatakiwa kueleza nani alisaini mchakato wa wao kuingia bungeni huku akisema yupo tayari kuwapokea wabunge hao .
Kauli ya Tundu Lissu ilisema:
"Katibu mkuu John Mnyika hawajahi kusign fomu na sheria inasema lazima zisigniwe na katibu mkuu za kwao zilisainiwa na nani na aliyekuwa gerezani ilikuwaje akatoka gerezani akaenda kuwapa kuwa mbunge ,kama wanakuja waje wafungue siri za mioyo yao wanataka suluhu na chama waje na mioyo mieupe na tuichunguze ni mieupe kweli wasije tuu kwa sababu ya uchaguzi umekaribia " Lissu
Lakini kwa upande wake Halima Mdee Kupitia mtandao wa X alichukua kipande hicho cha sauti ya Mwenyekiti wao na kutuma alama ya kucheka
Pia soma >Tundu Lissu: Nipo tayari kuwapokea wabunge 19 wa Viti Maalum walioingia bungeni bila baraka za chama
Sasa hiki chama kinapokea ruzuku ipi, ya Mbunge mmoja aliyeshinda, au na ya hawa wengine 19 wa kuteuliwa?Nani amesema chama ni mali yake, all lissu anataka ni taratibu zifuatwe. Hao walipata ubunge in who name?
Taratibu za chama hazikufuatwa why? Nani alihusika ku sign?
KAma chama akifuati katiba yake, kitaweza kufuata katiba ya nchi kweli?
Hahaha Huyo Lisu, hawezi kuwa msemaji wa mwisho, kile ni chama na uongozi ni dhamana ya muda mfupi tu. Kuwa mwenyekiti hakumfanyi awe msemaji wa mwisho, bado kuna vikao na vinafanya maamuzi siyo yeye anayefanya maamuzi ya mwisho.Kwahiyo kauli ya mwisho unayo wewe? Kwamba unajilinganisha na Mwenyekiti Lissu??
COVID 19 hatukutaki!! Mtaondoka na Mbowe wenu. Wapuuzi wakubwa
Hahaha hujielewi wewe na Lisu wako, Simpangii lakini asilopoke. Wabunge wa viti maalum chadema mnaowaita covid19, wanatambulika ndani ya chama labda Lisu ajitoe akili tu kutafuta umaarufu.Ninyi ni watu wa aina gani? Kwanza ulikuwa humtaki, sasa hivi unampangia nini aseme! Kama unafikiri hao COVID 19 wanakuelewa sana fungua kampuni uwashauri wakulipe kabisa.
Mara ngapi Mkuu??Anamdharau Mwenyekiti wake mpya, hapo lazima ameshajiharibia na watafukuzwa uanachama
Team Lisu mna matatizo sana, sasa unadhani wajumbe wanatoka wapi chadema? Hamtafika popote na matusi, mpaka mtairudisha chadema mikono salama.Tuliza kinembe basi dogo, wajumbe wa kamati kuu wananuka nnya kama wewe?
Mkuu fuatilia kwanza formula ya ruzuku, ndio umalizie ngonjera yako vizuri.Hahaha Huyo Lisu, hawezi kuwa msemaji wa mwisho, kile ni chama na uongozi ni dhamana ya muda mfupi tu. Kuwa mwenyekiti hakumfanyi awe msemaji wa mwisho, bado kuna vikao na vinafanya maamuzi siyo yeye anayefanya maamuzi ya mwisho.
Chuki na hasira zako hazimsaidii wala hazinisaidii mimi. Chadema inapokea ruzuku kutoka kwa hao covid19, wewe unasema waondoke, waende wapi na sasa wanatambuliwa ni wabunge wa chadema. Bunge,Serikali na mahakam zinafahamu ni wabunge wa viti maalum chadema.
nipe fomulaMkuu fuatilia kwanza formula ya ruzuku, ndio umalizie ngonjera yako vizuri.
Mkuu kwani kujua kila kitu kuna shida??Hahaha mwenyekiti sio Mungu, Chadema ni taasisi inawatu yeye ni mwenyekiti, siyo mmiliki wa chama.
Mnapinga mambo ya ccm, kuendeshwa kifalme, maamuzi anafanya mtu mmoja chama kizima, inapokuja kwenu mnakubali kila kitu anachosema Lisu, hivi huwa mnajiuliza mara mbili au mnatukuza hadi hamjielewi?
Lisu akae kimya asijifanye anajua kila kitu, Ruzuku inapokelewa ni kutokana na hao Covid19, sasa asichotaka nini,pesa au wabunge?
Sana.Mkuu kwani kujua kila kitu kuna shida??
Wewe ndiye Bulaya bila shaka.Tundu Lissu ajenge chama kama alivyahaidi.
Aache Uharakati na kufukuzana na chupi. Musamaha ikufike Bulaya.
Nitamkote memba mwenzi yetu hapa
"Lissu should start to show his "STATEMANSHIP" end kwot
My take
Wanawake wa CHADEMA wameshalalamika kuwa kuna mfumo dume chamani, Lissu anakimbizana na kujibishana nao, watakosa bloc maalum Uchaguzi ya 2025. Ok