Kweli kabisa. Empty cell analysis.Poor and biased analysis
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa. Empty cell analysis.Poor and biased analysis
Hapana kila mtu lazima maoni yake yaheshimiwe yeye ameona hicho ndio kizuri kwake basi huyu Mungu amtendee sawasawa na mapenzi yake Ila mimi na wewe hatuna haki ya kumdharau wala kumhukumu.Mleta mada kwa kulike Upumbavu huu, Mungu na akutende kadri ya maombi yako. Nakuhakikishia Mungu hadhihakiwi.
Hilo ni lijinga tu.Mleta mada kwa kulike Upumbavu huu, Mungu na akutende kadri ya maombi yako. Nakuhakikishia Mungu hadhihakiwi.
Imagine mtu anayejiita nguli wa sheria anatumia ujuzi wake kulaani na kutukana mafisadi. Kesho yake anawasafisha na kuwasimamisha kuwa wagombea urais. Atafanya hivo hata kwny raslimali za nchi. Atawasaliti watanzania na kukimbilia nje. We have hopeless lawyers in this country. Shame on them.Imagine km mtu mwenye level ya prof anahudhuria mkutano bila utashi wake na kwa lazima je wale anaowafundisha watakuwaje! We are in a hopeless nation.
Watz ndo wanasema hivo ndio maana waliamua hata kuchanga pesa ili atibiweSiyo tunayemtaka sema unayemtaka usiniwakilishe ndg
Na polisiMmoja anategemea wasanii ili apate watu wa kusikiliza utopolo.
Sio wote mm ni mtanzania na sikuchangia bwanWatz ndo wanasema hivo ndio maana waliamua hata kuchanga pesa ili atibiwe
Mmoja amejaa vyuma mwilini mwingine hana. Hivi alipitaje security check airport? Lazima zilipiga kelele siku nzima
Ww sio mtz ni mhutu..... Wahutu wote wanaroho mbaya sn na ndio pia wamemnyima matibabu Rais wetu Tundu LissuSio wote mm ni mtanzania na sikuchangia bwan