Jifanye kidume lakini tambua kwamba ofisini kwa mkeo lazima kuna mwanaume anatoka nae kimapenzi

Jifanye kidume lakini tambua kwamba ofisini kwa mkeo lazima kuna mwanaume anatoka nae kimapenzi

Hii sio meme, huu ni ukweli ulio wazi

Siku hizi maisha ni kusaidiana na katika kusaidiana huko ndio maana baba anafanya kazi na mama pia anafanya kazi.

Ofisini kuna mambo mengi yanaendelea ikiwemo mabosi kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao na hii mara nyingi hutokea kwa mabosi wa kiume kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao wa kike ingawa hata mabosi wa kike baadhi yao hutoka kimapenzi na wafanyakazi wao wa kiume.

Wanawake wengine unakuta wao wenyewe ndio wanajilengesha kwa mabosi zao ili tu waongezwe mshahara au wapandishwe cheo na wengine huwataka kimapenzi wafanyakazi wenzao wakigundua tu wanalipwa mishahara mara mbili zaidi yao.

Nakumbuka mwaka flani niliwahi ajiriwa na kampuni moja hapa town na siku za mwanzoni nikashangaaa baadhi ya wadada wanajua hadi mshahara wangu sasa nikajiuliza nani aliewaambia lakini nikahisi huenda muhasibu tulienae sio msiri na anatoa taarifa za mishahara ya watu kwa baadhi ya Staffs.

Niliona dada mmoja mke wa mtu anajilengesha sana kwangu na kuna muda kama watu sio wengi ofisini alikua anakuja kunikalia mapajani kabisa na wezere lake la haja.

Kama ingekua sio kuogopa kutembea na mke wa mtu yule dada ningeshapita nae sema huwa naheshimu sana mke wa mtu

Kiukweli maofisni kuna mambo mengi sana machafu yanafanyika kwa wake za watu na waume zao hawajui chochote. Mida ya lunch wengi ndo wanatumia kufanya uzinzi maana lisaa limoja linatosha sana kwa watu waliodhamiria kuvunja amri ya sita.

Kama mwanaume unajiweza kiuchumi basi muachishe kazi mkeo na badala yale mfungulie biashara atakayo yeye hii kidogo itapunguza hatari ya mkeo kuliwa na mabosi ambao wamekuzidi pakubwa mno kiuchumi.

Kinga ni bora kuliko tiba!
dume lenye uhakika halimchungulii mkewe 🐒

lamda dume suruali....

R I P Laigwanan comrade ENL
 
Hii sio meme, huu ni ukweli ulio wazi

Siku hizi maisha ni kusaidiana na katika kusaidiana huko ndio maana baba anafanya kazi na mama pia anafanya kazi.

Ofisini kuna mambo mengi yanaendelea ikiwemo mabosi kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao na hii mara nyingi hutokea kwa mabosi wa kiume kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao wa kike ingawa hata mabosi wa kike baadhi yao hutoka kimapenzi na wafanyakazi wao wa kiume.

Wanawake wengine unakuta wao wenyewe ndio wanajilengesha kwa mabosi zao ili tu waongezwe mshahara au wapandishwe cheo na wengine huwataka kimapenzi wafanyakazi wenzao wakigundua tu wanalipwa mishahara mara mbili zaidi yao.

Nakumbuka mwaka flani niliwahi ajiriwa na kampuni moja hapa town na siku za mwanzoni nikashangaaa baadhi ya wadada wanajua hadi mshahara wangu sasa nikajiuliza nani aliewaambia lakini nikahisi huenda muhasibu tulienae sio msiri na anatoa taarifa za mishahara ya watu kwa baadhi ya Staffs.

Niliona dada mmoja mke wa mtu anajilengesha sana kwangu na kuna muda kama watu sio wengi ofisini alikua anakuja kunikalia mapajani kabisa na wezere lake la haja.

Kama ingekua sio kuogopa kutembea na mke wa mtu yule dada ningeshapita nae sema huwa naheshimu sana mke wa mtu

Kiukweli maofisni kuna mambo mengi sana machafu yanafanyika kwa wake za watu na waume zao hawajui chochote. Mida ya lunch wengi ndo wanatumia kufanya uzinzi maana lisaa limoja linatosha sana kwa watu waliodhamiria kuvunja amri ya sita.

Kama mwanaume unajiweza kiuchumi basi muachishe kazi mkeo na badala yale mfungulie biashara atakayo yeye hii kidogo itapunguza hatari ya mkeo kuliwa na mabosi ambao wamekuzidi pakubwa mno kiuchumi.

Kinga ni bora kuliko tiba!
Kama ni Malaya hata ukimfungulia biashara atagongwa na wateja
 
Bahati nzuri/mbaya mimi sina mke. Ila umeandika ujinga. Ofisini kwangu hakuna huo upuuzi watu wanaheshimiana. Acha kuwepo hata kuhisiwa tu haipo
Basi kama kama huna mke huwezi jua haya mambo ya watu wazima, baki na utoto wako.Au mwenzetu kipa katoka ?
 
Tena watu kama nyinyi mnaonyanyua nyanyua mdomo ndo mnachapiwa kwelikweli.
😂😂
Kuchapiwa sio tatizo. Tatizo hapa ninmindset yako inayofikiria kwamba matatizo yako ni lazima yawakute na wengine. Hapo ndio unapokosea.

Wewe ulioa malaya, sasa sio kila mtu kaoa malaya kama wewe. We cha kufanya pambana na hali yako lakin usitake watu woote tukuonee huruma.
 
Hii sio meme, huu ni ukweli ulio wazi

Siku hizi maisha ni kusaidiana na katika kusaidiana huko ndio maana baba anafanya kazi na mama pia anafanya kazi.

Ofisini kuna mambo mengi yanaendelea ikiwemo mabosi kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao na hii mara nyingi hutokea kwa mabosi wa kiume kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao wa kike ingawa hata mabosi wa kike baadhi yao hutoka kimapenzi na wafanyakazi wao wa kiume.

Wanawake wengine unakuta wao wenyewe ndio wanajilengesha kwa mabosi zao ili tu waongezwe mshahara au wapandishwe cheo na wengine huwataka kimapenzi wafanyakazi wenzao wakigundua tu wanalipwa mishahara mara mbili zaidi yao.

Nakumbuka mwaka flani niliwahi ajiriwa na kampuni moja hapa town na siku za mwanzoni nikashangaaa baadhi ya wadada wanajua hadi mshahara wangu sasa nikajiuliza nani aliewaambia lakini nikahisi huenda muhasibu tulienae sio msiri na anatoa taarifa za mishahara ya watu kwa baadhi ya Staffs.

Niliona dada mmoja mke wa mtu anajilengesha sana kwangu na kuna muda kama watu sio wengi ofisini alikua anakuja kunikalia mapajani kabisa na wezere lake la haja.

Kama ingekua sio kuogopa kutembea na mke wa mtu yule dada ningeshapita nae sema huwa naheshimu sana mke wa mtu

Kiukweli maofisni kuna mambo mengi sana machafu yanafanyika kwa wake za watu na waume zao hawajui chochote. Mida ya lunch wengi ndo wanatumia kufanya uzinzi maana lisaa limoja linatosha sana kwa watu waliodhamiria kuvunja amri ya sita.

Kama mwanaume unajiweza kiuchumi basi muachishe kazi mkeo na badala yale mfungulie biashara atakayo yeye hii kidogo itapunguza hatari ya mkeo kuliwa na mabosi ambao wamekuzidi pakubwa mno kiuchumi.

Kinga ni bora kuliko tiba!
Kwa mawazo yangu naona hapa issue kubwa ni tabia za mwanamke utakaemuoa na kumuweka ndani kama mkeo. Akiwa na tabia za kimalaya, hata kama hafanyi kazi, atagongwa na ma boda boda na wauza genge, tena hii ni mbaya zaidi maana kuna uwezekano mkubwa wa hata kugongewa hapo hapo home, tena kitanda ulichokinunua wewe mwenyewe. Kuna mshikaji wangu mmoja aligundua mkewe anagongwa na mdogo wake (mtoto wa baba mdogo), ambae jamaa alikua kamhifadhi hapo home wakati anajitafuta; dogo akawa anajilia nyama ya kaka, na sababu jamaa alikua mtu wa kusafiri basi dogo alikua anajilia kwa nafasi tu. Na huyo mke hakua anafanya kazi wala biashara yoyote. Hata ukimfungulia biashara kama ana tabia za umalaya bado atagongwa pia na hao hao wateja wake. Maisha ya sasa hivi hata kama mke hafanyi kazi, kusema kwamba utaweza kumchunga muda wote ni ngumu, maana yake usisafiri, usipate dharura, pia maana yake umfungie tu ndani na muda wote pia uwepo naye (mtakula nini sasa?).
Kuna mwingine wakati naishi kwenye vyumba vya kupanga, mke alikua anagongwa alfajiri ile, na mpangaji mwingine ambae hajaoa, mke anatoka kama anaenda chooni, anakutana na jamaa wanamalizana swafi kabisa, huku mume anakoroma ndani.
Cha muhimu, HAKIKISHA HAUOI MALAYA..!
lazima ukae
 
Siku ukifumania utabadili mtazamo
😂😂, nimfumanie mara ngapi sasa kamanda?
Mkuu kuna kitu mnakichanganya hapa, haijalishi mimi na wewe tunatombewa wake zetu, it doesnt conclude kwamba kila mwanamke ni kahaba. Kuna wanawake ni decent sanaaa na hata hayo mauchafu sio tu kuyafanya bali hata kuyawaza hawajawahi. Kubali kataa wapo wengi tuu.

Sio kila mwanamke anawaza umalaya tu chief. Wapo but ni sehemu tu kwakua ndio jamii, people cant be the same
 
Back
Top Bottom