Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Kitu kingine katika Ebay ni zile "daily deals" zao. Ikiwa unanunua mwenyewe nakushauri uwe unavizia item unayotaka kama iko katika deal ya siku hiyo uinunue hapo. Daily deals ni vifaa ambavyo huuzwa kwa bei rahisi sana. UKIINGIA EBAY CHECK MWENYEWE DAILY DEALS UONE TOFAUTI
 
Nimekamilisha kila k2 kilichobaki ni kuchek mzgo wa kununua. Ila linapofka suala la kusubiria mzgo kwa njia ya posta hapo ndo kchwa knauma

Usiogope jaribu kuthubutu. Kwani hujawahi kutumiwa paseli yoyote kwa njia ya Posta ukaipokea salama?
Mimi nina vitu vingi tuu kutoka ebay ambavyo vimenifikia kwa njia ya Posta kutoka US.

la muhimu tuu unapolipia hakikisha umevi- insure!
 
Usiogope jaribu kuthubutu. Kwani hujawahi kutumiwa paseli yoyote kwa njia ya Posta ukaipokea salama?
Mimi nina vitu vingi tuu kutoka ebay ambavyo vimenifikia kwa njia ya Posta kutoka US.

la muhimu tuu unapolipia hakikisha umevi- insure!

Cjawah kupokea pasel kwa njia ya posta. Ngoja nitajarbu
 
Ukinunu flash na headphone ghara kusafirishia ni kubwa kuliko bidhaa yenyewe; tumia ebay za karibu kuliko usa ni mbali sana
 
Ebay kufanya shipping bongo no.......mara nyingi ukipata muzaji anayeweza kuship bongo utakuta gharama ya ku ship ni mara mbili ya bei uliyonunulia coz wao huwa wanawatumia DHL, UPS au Fedex na mara nyingi wanaofanya International shippng ni wauzaji wa Asia (Hong Kong au China).

Alafu Ebay ni mtandao ambao unawakutanisha buyers and seller na kuwaweka wote on safe Side
 
Ebay kufanya shipping bongo no.......mara nyingi ukipata muzaji anayeweza kuship bongo utakuta gharama ya ku ship ni mara mbili ya bei uliyonunulia coz wao huwa wanawatumia DHL, UPS au Fedex na mara nyingi wanaofanya International shippng ni wauzaji wa Asia (Hong Kong au China).

Alafu Ebay ni mtandao ambao unawakutanisha buyers and seller na kuwaweka wote on safe Side

Kwa mzgo kama laptop ni kuanzia usd 80 mpaka 100. V2 kama cmu na ipad ni c chni ya 30 na haizid 50
 
Ebay kufanya shipping bongo no.......mara nyingi ukipata muzaji anayeweza kuship bongo utakuta gharama ya ku ship ni mara mbili ya bei uliyonunulia coz wao huwa wanawatumia DHL, UPS au Fedex na mara nyingi wanaofanya International shippng ni wauzaji wa Asia (Hong Kong au China).

Alafu Ebay ni mtandao ambao unawakutanisha buyers and seller na kuwaweka wote on safe Side

Wakubwa, nimekwenda posta kuuliza kuhusu kupokea mzgo unaotoka nje ya nchi. Maelezo yanaendana na ukweli ambao unazungumziwa. Jamaa niliyemkuta amenambia kwamba, ni kweli bdo kuna malalamiko mengi kwamba kuna watu ambao wanatumiwa pasel za alafu hawazipati na suala hlo linafuatiliwa kujua wizi huo unaanzia wapi. Japo pia akanithibitishia kwamba pia kuna vitu vingne huwa vinapokelewa na wenyewe bila matatizo. Maelezo mengne ni kwamba wauzaji wengi huwa hawapendi ku2ma bidhaa bongo kwa ku2mia posta zetu kutokana na malalamiko ambayo wanayapata kutoka kwa wateja wao na ndyo maana huwa wanapenda ku2mia makampuni ya usafishaji. Mfano ambao amenipa ni kuna mtu wa mtwara ameagza mzgo kutoka ebay na mzgo ulipofka dar ukaandaliwa kwa ajili ya kwenda mtwara. Matokeo yako haikujulikana mzgo umepoteaje na hata safar ya mtwara haikuanza. Ilikuwa ni digital camera. Kwa hyo kuna ukweli iko ambayo inapoteaga.
 
me baada ya kupata maelezo kdogo ya hii ebay apa jf nikaamua kuingia kwenye web yao na nkakuta vtu bei cheap sana hasa.malaptops sasa knachonchanganya n kuwa kla nkiclick buy wanaweka selection za nch na Tanzania haimo sasa apo inakaaje? en vp kuhusu paypal coz me nataka nkafungue a/c CRDB na naweza kutumia a/c yang ya TSHS kununua vtu online yaan i mean wafanye exchange wenyewe online?

Ndiyo jiunge na crdb wakishakupa kadi fungua paypal weka datails za card yako alafu nenda kwenye tawi la crdb ombA bank statement. Kuna codi zpo kwenye iyo bank statement yako.
 
Ukinunu flash na headphone ghara kusafirishia ni kubwa kuliko bidhaa yenyewe; tumia ebay za karibu kuliko usa ni mbali sana

Hata kwenye ebay za usa kuna flash disk za free shipping hadi Tz. Hata hivyo nyingi zinatokea sehemu za China kama Shenzhen
 


What are the procedures maana mm mwenyewe nilikuwa nawaza nianze kuwazingua kwa email ili nione response yao

Mkuu wangu,
I THINK this's not ONE MAN WAR....na ndio maana nika-propose ku-file online petition. Wakiona response ni kubwa( yaani petition kuwa signed na watu wengi); hopeful wanaweza ku-work na mapupungufu yanayozuia Paypal; Tanzanian accounts kutokuwa na uwezo wa kuwa na fedha! Hebu pitia hapa chini moja ya jibu ambalo waliwahi kunipatia year 2011 wakati nilipotaka my Paypal account iwe na uwezo si tu wa kutuma; bali pia kupokea:

Hello NasDaz, my name is Aivie from PayPal Customer Service. I'm here to assist you with receiving funds to your PayPal account.

To comply with local laws and financial regulations, PayPal is currently unable to offer this option. On the bright side, we’re constantly working towards expanding our service to include this feature since it would be beneficial for both of us to offer this to you. We are doing our best to make this feature available in the near future.
When additional features are made available you’ll be the first to know. All updated information regarding country capabilities to send and receive funds is on our website. Check it out by visitinghttps://www.paypal.com and clicking “Worldwide" at the bottom.
Thank you for your interest in PayPal, one of the safest ways to send money in the world.

Sincerely,
Aivie
PayPal, an eBay Company

So, ukiangalia hapo kwenye RED, utagundua ni kama panahitajika COLLECTIVE EFFORTS....it sounds as if mkono wa serikali unahitajika vilevile. What I mean ni kwamba; assume Ministry of Trade or any responsible ministry ikaja umuhimu wa watu kuangalia namna nyingine ya kufanya biashara; in particular hii ya kutumia mitandao kama Ebay; kumbe wao wanaweza kuwaandikia Paypal kuomba hiyo feature. Na kwavile ni direct request kutoka serikalini; am very convinced kwamba Paypal wanaweza kufanyia kazi kirahisi zaidi; by the way, hizo local laws and financial regulations wao watu wa serikalini ndio wahusika! Binafsi niliwahi kukutana na mshikaji mmoja wa serikalini; kwa bahati mbaya, pamoja na kwamba bado ana mawazo kale lakini vile vile hana influence ingawaje kikwazo nilichokiona kutoka kwake ni yale mawazo kale/perception. Lakini kama mtu unakutana na watu wenye mawazo ya kisasa kama akina Membe/Makamba/Lazaro, then ni very possible!! Hata hivyo, ikishindikana kupitia mgongo wa serikali, alternative ni hiyo ya ku-sign online petition ambayo I thinkk haiwezi kuwa as much effective way as through the government.
 
Mkuu wangu,
I THINK this's not ONE MAN WAR....na ndio maana nika-propose ku-file online petition. Wakiona response ni kubwa( yaani petition kuwa signed na watu wengi); hopeful wanaweza ku-work na mapupungufu yanayozuia Paypal; Tanzanian accounts kutokuwa na uwezo wa kuwa na fedha! Hebu pitia hapa chini moja ya jibu ambalo waliwahi kunipatia year 2011 wakati nilipotaka my Paypal account iwe na uwezo si tu wa kutuma; bali pia kupokea:

Hello NasDaz, my name is Aivie from PayPal Customer Service. I'm here to assist you with receiving funds to your PayPal account.

To comply with local laws and financial regulations, PayPal is currently unable to offer this option. On the bright side, we’re constantly working towards expanding our service to include this feature since it would be beneficial for both of us to offer this to you. We are doing our best to make this feature available in the near future.
When additional features are made available you’ll be the first to know. All updated information regarding country capabilities to send and receive funds is on our website. Check it out by visitinghttps://www.paypal.com and clicking “Worldwide" at the bottom.
Thank you for your interest in PayPal, one of the safest ways to send money in the world.

Sincerely,
Aivie
PayPal, an eBay Company

So, ukiangalia hapo kwenye RED, utagundua ni kama panahitajika COLLECTIVE EFFORTS....it sounds as if mkono wa serikali unahitajika vilevile. What I mean ni kwamba; assume Ministry of Trade or any responsible ministry ikaja umuhimu wa watu kuangalia namna nyingine ya kufanya biashara; in particular hii ya kutumia mitandao kama Ebay; kumbe wao wanaweza kuwaandikia Paypal kuomba hiyo feature. Na kwavile ni direct request kutoka serikalini; am very convinced kwamba Paypal wanaweza kufanyia kazi kirahisi zaidi; by the way, hizo local laws and financial regulations wao watu wa serikalini ndio wahusika! Binafsi niliwahi kukutana na mshikaji mmoja wa serikalini; kwa bahati mbaya, pamoja na kwamba bado ana mawazo kale lakini vile vile hana influence ingawaje kikwazo nilichokiona kutoka kwake ni yale mawazo kale/perception. Lakini kama mtu unakutana na watu wenye mawazo ya kisasa kama akina Membe/Makamba/Lazaro, then ni very possible!! Hata hivyo, ikishindikana kupitia mgongo wa serikali, alternative ni hiyo ya ku-sign online petition ambayo I thinkk haiwezi kuwa as much effective way as through the government.

Ni kweli unachoongea mkuu. Hli suala linahtaji support kubwa sana. Serikali inatakiwa kuliangalia hli kwa makini sana. Na sisi 2naweza kuuza bidhaa zetu kwa njia ya mtandao
 
Sio Card ya CRDB pekee hata Visa au mastercard za baadhi ya Banks kwa mfano ukiwa na mastercard ya NBC unafungua account Paypay na unalipa kupitia mastercard yako hakuna haja hata ya kwenda Bank ukishalipa utaona debit entry imeingia kwenye account yako na baada ya mwezi utapigiwa simu na Posta kwenda kuchukua mzigo wako mimi nshaagiza mara nyingi na kupokea mizigo yangu yote.
 
Sio Card ya CRDB pekee hata Visa au mastercard za baadhi ya Banks kwa mfano ukiwa na mastercard ya NBC unafungua account Paypay na unalipa kupitia mastercard yako hakuna haja hata ya kwenda Bank ukishalipa utaona debit entry imeingia kwenye account yako na baada ya mwezi utapigiwa simu na Posta kwenda kuchukua mzigo wako mimi nshaagiza mara nyingi na kupokea mizigo yangu yote.

Leo nimekwenda NBC mdada niliyemkuta reception amesema wao hawana hii huduma
 
Sio Card ya CRDB pekee hata Visa au mastercard za baadhi ya Banks kwa mfano ukiwa na mastercard ya NBC unafungua account Paypay na unalipa kupitia mastercard yako hakuna haja hata ya kwenda Bank ukishalipa utaona debit entry imeingia kwenye account yako na baada ya mwezi utapigiwa simu na Posta kwenda kuchukua mzigo wako mimi nshaagiza mara nyingi na kupokea mizigo yangu yote.

Unatumia benk gan?
 
Unatumia benk gan?

nawashauri wale wenye Driving licences,Kadi za kura, au passport za kusafiri mwende Banc ABC nawakomalie kuwa unataka Cash Card watakupa siku hiyo hiyo na siku hiyo itakuwa linked Online
Hii inabidi iwe specila 4 online transaction maana matawi yao sioni kama ni emngi lkn pale kwa fire mbele k/koo wana Tawi ndo natumia

FAIDA YAO
Ukipewa Refund na PayPal siku 3 inakuwa ishaingia kwenye bank statement
Unlike CRDB ambao usipofuatilia mpaka 30days zipite
Pia wale wanafunzi nenda Tanzania Postal Bank wakupe VISA maana wana cheap account ya wanafunzi
 
kimekuja na posta, nilitumia slp ya mwanza, so nimekikuta mwanza home nilipofika.

pale jambo la muhimu ni kuangalia wauzaji, wapo ambao wanajulikana, pia angalia shipping bure au unalipia? maana kama shipping ni bure ujue itachukua wiki 3 mpaka 4, kama ni kulipia inachukua less than 7days inategemea wapi unaponunulia.
chief-mkwawa ningeweka picha ya box uone walivyoandika ila kuna jina langu halisi, ntakutumia kwa whatsapp.

cc DecisionMaker

Mkuu nitumie na mimi kama hutojali. Kama waweza nipe na mungozo kabisa jinsi ya kusajili paypal.
 
Last edited by a moderator:
nawashauri wale wenye Driving licences,Kadi za kura, au passport za kusafiri mwende Banc ABC nawakomalie kuwa unataka Cash Card watakupa siku hiyo hiyo na siku hiyo itakuwa linked Online
Hii inabidi iwe specila 4 online transaction maana matawi yao sioni kama ni emngi lkn pale kwa fire mbele k/koo wana Tawi ndo natumia

FAIDA YAO
Ukipewa Refund na PayPal siku 3 inakuwa ishaingia kwenye bank statement
Unlike CRDB ambao usipofuatilia mpaka 30days zipite
Pia wale wanafunzi nenda Tanzania Postal Bank wakupe VISA maana wana cheap account ya wanafunzi

Kwa kweli mimi CRDB wamenizungusha sana. Nilijaza fomu mlimani city, kufika singida nkaambiwa fomu imepotea. Juz nimekwenda singida branch nikajaza. Wao wakaituma kama internet banking badala ya internet enabling service. Bdo ckupata jibu ni kwa nini wako na uzembe kama huo
 
Mimi ninatumia mastercard ya NBC ukienda kuwauliza sidhani wengi watakuwa wanajua huu mnada wa ebay, lakini ukijirejister na Paypal unaweza kutumia mastercard au Visa na kulipa kwa urahisi sana labda nirudie tena kwa NBC hauna haja ya kwenda Branch ukiisha nunua utaona debit entry kwenye account yako baada ya siku chache
 
Back
Top Bottom