Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

katika kufungua account ya paypal kuna vitu vinanichanganya kidogo. Kuna.....
1. Adress Line 1
2. Adress Line 2
3. Postal Code
Naombeni kujua hivyo vitu vikoje na tofauti yake iko vipi.

Postal Code search Google Za Tanzania lkn for Dar ni 11000
Adress mm nimejaza moja tu
 
mimi nilikua siwaamini nikanunu digital kamera baada ya siku 14 posta wakani call kua unamzigo wako intarnational hapa, nikakuta nikamera yangu. nikaagiza laptop lenova pc 3, zimeingia jana, kama una email wana ku apdate, kila siku kuhusu parcel yako
 
Natamani sana kujua hii kitu ila cjui. A wala B naomba mwenye ujuzi naitaji laptop..
 
mkuu naomba namba yako mm napatikana ktk 0654889231.
nataka nikuulize kitu.
 
Hey guys, so i've just won this item in a bidding war. Nimekamilisha malipo and i'm now waiting for the LED Samurai watch to arrive. I will get back to give out feed back once i receive it.
$%28KGrHqVHJFQFGMOPJP6OBRmU-ZJHfw%7E%7E60_35.JPG

kwa wageni kwenye ununuzi wa vitu Ebay, na wenyeji pia checkini hii video how to buy stuff na jinsi ya kushinda in Bidding wars. Jamaa wanaoelekeza wana sense of humor so wanatumia a Monkey who wants to buy a perfect Banana on Ebay kama Subject for their tutorial
<span style="color: rgb(255, 140, 0);"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms;"><em><strong>[video=youtube_share;zvuVjvgDrIk]http://youtu.be/zvuVjvgDrIk[/video]

Yesterday the transaction was received by the seller and the item shipped. Seller ka assure within the next 7 to 14 days ntakua nimepata mzigo wangu. Nice
 
Mkuu NingaR ni rahisi kujaribu mm nilianza na kitu cha bei chee nione ka ntatozwa ushuru na kama kitafika
Kilifika bila shida nakilinifikia mm maana,kilikuja,na jina langu na mm nkawaonesha ID yangu wakanipa

Mkuu njunwa wamavoko hapo kwenye red naomba ufafanuzi kidogo ina maana wewe ndo ulienda posta kuchukua huyo mzigo kwa kutumia hiyo anuani ya chuo au chuo ndo walichukua huyo mzigo.
 
Last edited by a moderator:

Kimeo changu kimevunjika kioo sehemu ndogo nimekimbilia eBay
nachek kioo ni 120$ nikajiuliza hapa bongo si ndo wata nambia 200k, Nafikiria kununua hawa posta wasije kunibambiza nikalia na 120$, VP kuhusu DHL shipment inakuaje??
Kwani NingaR Hapo kwenye rangi kuna tofauti gani kubwa...almost ni kama tsh 20000 imezidi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu njunwa wamavoko hapo kwenye red naomba ufafanuzi kidogo ina maana wewe ndo ulienda posta kuchukua huyo mzigo kwa kutumia hiyo anuani ya chuo au chuo ndo walichukua huyo mzigo.

Chuoni kuna Post office hivo mizigo inaletwa pale afu inapelekwa kwa Masijala(wanao husika na records za vitu) afu kama kuna namba wananiiita au mm naenda kufuatilia
 
Kwani NingaR Hapo kwenye rangi kuna tofauti gani kubwa...almost ni kama tsh 20000 imezidi
Mkuu uzuri wa eBay ni kuna vitu na wauzaji wengi so hata ushindani ni mkubwa sana sasa vioo vimeshuka mpaka 90$ ndani ya kipindi cha wiki 3 tu nasubiri mpaka vifike 70$ hapo hapo faster naagiza kuliko kununua hapa bongo maana wangeweza kunambia bei hata zadi ya 200k bila kusahu hapa naweza nisipate kabisa
 
Last edited by a moderator:
Naona watu wengi sana wapo behind sanaa na maswala haya ya online shopping ila pole pole tu mtafahamu,sema hiyo ebay inabidi kuitofautisha maana mkisema ebay basi mtaje na ebay ya sehemu gani??maana Europe yote kila nchi ina ebay yake, Ebay ya UK na Ebay ya US ni tofauti kabisa au Ebay ya France ni tofauti so mkizungumzia Ebay ni vizuri ku point Ebay ipi mnazungumzia...

Mfano kuna mdau mmoja amesema kwamba kuna ebay akifungua akicheck laptop katika zile nchi haionyeshi nchi ya Tanzania kama wana ship,yes ni kweli kabisaa Ebay ya UK ukicheck 99% seller wake huwa hawa ship africa kwa sababu mizigo inafika bila tatizo Tanzania ila inaibiwa kwenye postal zetu,so inabidi kuweka mambo sawa kila mtu afahamu....kuna maswali mengi yameulizwa ila naamini yamejibiwa na mkuu @C6.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mkuu Papizo bado huko kwetu Posta za Ki-Tanzania wizi wa vifurushi upo tu ? haujakwisha? njaa kitu kibaya sana jamani, kwa wale wanao hitaji vitu vya kununuwa toka nje wawasiliane na mimi kwa barua yangu ya pepe email yangu address hii hapa fewgoodman@hotmail.com nitaweza kuwasaidieni asanteni
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Papizo bado huko kwetu Posta za Ki-Tanzania wizi wa vifurushi upo tu ? haujakwisha? njaa kitu kibaya sana jamani, kwa wale wanao hitaji vitu vya kununuwa toka nje wawasiliane na mimi kwa barua yangu ya pepe email yangu address hii hapa fewgoodman@hotmail.com nitaweza kuwasaidieni asanteni

Asante MziziMkavu, hutachaji gharama yoyote?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Jerrymsigwa Utakaponitumia pesa kitu unachokitaka nitakuchaji gharama yangu bora maelewano nitumie email na kuniambia kitu gani unataka na utakipata kipya sio cha zamani na kina Garranti yake unasemaje?

Asante mkuu kwa hilo. Ila kama unavyojua tena kuhusu mambo ya matapeli. Kuhusu kukupatia pesa na makubaliano ya kupata mzgo yanakuaje? Ktk kuchagua product ni mimi nachagua au ni wewe unanichagulia kutokana na pesa yangu?
 
Last edited by a moderator:
naombeni kujua Adress lin 1 and adress line 2 ni zipi?
nimekutana na hiyo kitu katika paypal so nashindwa kujua najaza nini?
au nikiiacha bila kujaza haina tatizo????????????
 
Ata mimi nimenunua simu jumapili iliyopita mchana (15/09/2013), na jana jumatatu (23/09/2013) nimepokea simu yangu kupitia kwa FedEx...
 
Ata mimi nimenunua simu jumapili iliyopita mchana (15/09/2013), na jana jumatatu (23/09/2013) nimepokea simu yangu kupitia kwa FedEx...

Mkuu ili kunufaisha wanajamii ungesema umenunua simu kwa bei gani, umetumia ebay ya nchi gani, shipment imeanzia wapi, gharama za usafirishaji ni kiasi gani, na ushuru umelipia bei gani?
 
Back
Top Bottom