Naona watu wengi sana wapo behind sanaa na maswala haya ya online shopping ila pole pole tu mtafahamu,sema hiyo ebay inabidi kuitofautisha maana mkisema ebay basi mtaje na ebay ya sehemu gani??maana Europe yote kila nchi ina ebay yake, Ebay ya UK na Ebay ya US ni tofauti kabisa au Ebay ya France ni tofauti so mkizungumzia Ebay ni vizuri ku point Ebay ipi mnazungumzia...
Mfano kuna mdau mmoja amesema kwamba kuna ebay akifungua akicheck laptop katika zile nchi haionyeshi nchi ya Tanzania kama wana ship,yes ni kweli kabisaa Ebay ya UK ukicheck 99% seller wake huwa hawa ship africa kwa sababu mizigo inafika bila tatizo Tanzania ila inaibiwa kwenye postal zetu,so inabidi kuweka mambo sawa kila mtu afahamu....kuna maswali mengi yameulizwa ila naamini yamejibiwa na mkuu @C6.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums