It's your opinion, not a universal factKwa sababu huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Hakuna uthibitisho wowote ule wa uwepo wa Mungu zaidi ya blah! blah! na stori za kusadikika tu.
Maandiko yote ya kidini kuanzia Biblia, Quran,Torah, Tip taka na vitabu vingine vyote vya kidini ni Fiction stories sawa na Hekaya za Abunuwasi au riwaya za Alfu Lela ulela.
Vifo vya maelfu ya watoto wachanga wasio na hatia yeyote ile ni Asili sio?Huo uovu na ukatili ni matokeo ya macho yako yanavyoona
Sisi wengine hatuoni kama ukatili bali ni asili jinsi ilivyo
Ndiyo maana kuna usiku na kuna mchana!
Mbona giza likiingia hupigi kelele kwanini mwanga umetoweka??
Ukizaliwa tu Mtoto wa Mwaka mmoja tayari unajua kusoma?Unaelewa kuwa, ikiwa kweli kuna watu hawana elimu sahihi kuhusu Mungu , huo nao ninushahidi kwamba Mungu hayupo?
Kwa sababu, kama Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo, na ndiye kaumba ulimwengu huu, asingeumba ulimwengu ambao inawezekana kiumbe chake chochote kikakosa elimu sahihi kumhusu yeye Mungu.
Unaelewa hilo?
Au maneno mengi nikuwekee picha?
Watoto wachanga ndiyo wana haki sana kuliko ng'ombe na mbuzi unaokula kila siku?Vifo vya maelfu ya watoto wachanga wasio na hatia yeyote ile ni Asili sio?
Kwamba sio ukatili na uovu?
Hivi wewe unafikiri sawasawa kweli?
Hata wewe kusema huyo Mungu yupo ni mawazo yako tu ya imani yako.It's your opinion, not a universal fact
Hata wewe hukuletwa na huyo Mungu, ni nyege za baba yako na mama yako ndizo zilikuleta.Watoto wachanga ndiyo wana haki sana kuliko ng'ombe na mbuzi unaokula kila siku?
Ni Mungu kaleta hao watoto wachanga au ni wewe mwenyewe na nyege zako zisizo na hesabu?
Sikuzaliwa najua kusoma, kwa sababu Mungu hayupo.Ukizaliwa tu Mtoto wa Mwaka mmoja tayari unajua kusoma?
Kwa hiyo mbele za Mungu watoto wachanga ni sawa tu na ng'ombe au mbuzi tunaokula kila siku?Watoto wachanga ndiyo wana haki sana kuliko ng'ombe na mbuzi unaokula kila siku?
Ni Mungu kaleta hao watoto wachanga au ni wewe mwenyewe na nyege zako zisizo na hesabu?
Sasa wapi umesikia nimekufa au kuja kuomba msaada kwako??Hata wewe hukuletwa na huyo Mungu, ni nyege za baba yako na mama yako ndizo zilikuleta.
Pole Sana!Sikuzaliwa najua kusoma, kwa sababu Mungu hayupo.
Mungu angekuwepo, angeweza kufanya nizaliwe najua kusoma.
Lakini, kwa sababu Mungu hayupo, imenibidi nijifunze kusoma.
Swali lako na jibu lake ni ushahidi kuwa Mungu hayupo.
Iweje uone watoto wachanga wawe wana haki sana kuliko ng'ombe na mbuzi au kuku?Kwa hiyo mbele za Mungu watoto wachanga ni sawa tu na ng'ombe au mbuzi tunaokula kila siku?
Ukishajiona unaishi katika ulimwengu ambao unakupa hisia za kumpa pole kiumbe mwingine, huo nao ni ushahidi kwamba Mungu hayupo.Pole Sana!
It's your opinion, not a universal fact!Ukishajiona unaishi katika ulimwengu ambao unakupa hisia za kumpa pole kiumbe mwingine, huo nao ni ushahidi kwamba Mungu hayupo.
Ulimwengu ulioumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, viumbe wake hawajui dhana nzima ya kumpa pole kiumbe mwingine.
Kwa sababu hakuna kitu chochote cha kutolea pole, kila kitu kiko sawa.
Ukweli kwamba unaona haja ya kunipa pole ni ushahidi kwamba huyo Mungu hayupo.
Kuna sehemu umeombwa msaada?Sasa wapi umesikia nimekufa au kuja kuomba msaada kwako??
Kwani ni wewe mwenyewe tu ulie zaliwa na wazazi na kufikishwa hapo ulipo?Wazazi wangu walinizaa kwa hesabu na kunisaidia kufika hapa
Kwa hiyo watoto wachanga wana haki sawa tu na kuku?Iweje uone watoto wachanga wawe wana haki sana kuliko ng'ombe na mbuzi au kuku?
Unajua wewe ni mjinga sana.Iweje uone watoto wachanga wawe wana haki sana kuliko ng'ombe na mbuzi au kuku?
Nimecheka sana, umeanza kutoka nje ya mada.Sasa wapi umesikia nimekufa au kuja kuomba msaada kwako??
Wazazi wangu walinizaa kwa hesabu na kunisaidia kufika hapa
Huyu jamaa miti 7 sidhani kama yuko timamu.Kwa hiyo watoto wachanga wana haki sawa tu na kuku?
Hayo ni mambo ya juzi tu baada ya kuja dini na serikaliUnajua wewe ni mjinga sana.
Jaribu kuua mtoto binadamu na kifaranga cha kuku ndipo utajua kipi kina haki...
Sababu hujaelewa madaNimecheka sana, umeanza kutoka nje ya mada.