Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Mkuu acha ubishi

Kusoma teolojia haikupi kibali kwamba unajua kila kitu

Neno Mungu au MUNGU linawakilisha Mungu mkuu muweza wa yote asiye na mwanzo wala mwisho

Neno mungu linawakilisha sisi binadamu (miungu)

Mambo ya kwamba ulisoma theology yaache kwanza pembeni
Ok Vizuri sana..
Nimeyaacha pembeni haya Twende kwa facts sasa..

Sasa Tazama vizuri.... Psalms/Tehillim 82:6
Screenshot_20240309_113311_Adobe Acrobat.jpg


Au itaandikwa Hivi..

אֲנִי-אָמַרְתִּי, אֱלֹהִים אַתֶּם; וּבְנֵי עֶלְיוֹן כֻּלְּכֶם

Au Itatamkwa Hivi..

Ani amarti, Elohim atem; u'venei Elyon kulchem.

Tafsiri ya Neno kwa neno ni kama ifuatavyo..
  1. אֲנִי (Ani) - I "Mimi"
  2. אָמַרְתִּי (amarti) - said "Nasema"
  3. אֱלֹהִים (Elohim) - Mungu/Elohim
  4. אַתֶּם (atem) - you are (Ni ninyi)
  5. וּבְנֵי (u'venei) - and sons of "Na wana wa"
  6. עֶלְיוֹן (Elyon) - the Most High
  7. כֻּלְּכֶם (kulchem) - all of you

Hakuna tofauti ya Mungu na mungu katika maandishi ya Biblia mkuu..
Mungu ni Elohim na mungu ni Elohim

Karibu..
 
kwa upande wa shetani nimeroga sana sijui njombe, sumbawanga, malawi, zambia, nijeri nimetoa mpaka kafara za damu.,,
Nini kusudi la kufanya yote haya!?pia ulijitahidi uamini kwelikweli ili mwishoni upate Nini!?

Mungu hajiainishi katika namna ya kibinafsi, kama malengo Yako yalikaa kibinafsi ni kazi kumuona Mungu, japo nirudie Tena japo wengi wetu tumenyimwa neema ya kumjua Mungu na wazazi wetu waliotuzaa, ie maagano ukiwa kichanga, ulivopatikana mimba na malezi
 
Ok Vizuri sana..
Nimeyaacha pembeni haya Twende kwa facts sasa..

Sasa Tazama vizuri.... Psalms/Tehillim 82:6
View attachment 2929179

Au itaandikwa Hivi..

אֲנִי-אָמַרְתִּי, אֱלֹהִים אַתֶּם; וּבְנֵי עֶלְיוֹן כֻּלְּכֶם

Au Itatamkwa Hivi..

Ani amarti, Elohim atem; u'venei Elyon kulchem.

Tafsiri ya Neno kwa neno ni kama ifuatavyo..
  1. אֲנִי (Ani) - I "Mimi"
  2. אָמַרְתִּי (amarti) - said "Nasema"
  3. אֱלֹהִים (Elohim) - Mungu/Elohim
  4. אַתֶּם (atem) - you are (Ni ninyi)
  5. וּבְנֵי (u'venei) - and sons of "Na wana wa"
  6. עֶלְיוֹן (Elyon) - the Most High
  7. כֻּלְּכֶם (kulchem) - all of you

Hakuna tofauti ya Mungu na mungu katika maandishi ya Biblia mkuu..
Mungu ni Elohim na mungu ni Elohim

Karibu..
Soma makala hii
 
Ok Vizuri sana..
Nimeyaacha pembeni haya Twende kwa facts sasa..

Sasa Tazama vizuri.... Psalms/Tehillim 82:6
View attachment 2929179

Au itaandikwa Hivi..

אֲנִי-אָמַרְתִּי, אֱלֹהִים אַתֶּם; וּבְנֵי עֶלְיוֹן כֻּלְּכֶם

Au Itatamkwa Hivi..

Ani amarti, Elohim atem; u'venei Elyon kulchem.

Tafsiri ya Neno kwa neno ni kama ifuatavyo..
  1. אֲנִי (Ani) - I "Mimi"
  2. אָמַרְתִּי (amarti) - said "Nasema"
  3. אֱלֹהִים (Elohim) - Mungu/Elohim
  4. אַתֶּם (atem) - you are (Ni ninyi)
  5. וּבְנֵי (u'venei) - and sons of "Na wana wa"
  6. עֶלְיוֹן (Elyon) - the Most High
  7. כֻּלְּכֶם (kulchem) - all of you

Hakuna tofauti ya Mungu na mungu katika maandishi ya Biblia mkuu..
Mungu ni Elohim na mungu ni Elohim

Karibu..
Soma na nyingine hii hapa
 
Hapaan.

Kusema Mungu yupo, kama hayupo, kunaweza kuleta madhara mengi katika jamii.

Tumeona jinsi imani za Mungu kuwepo zilivyodhoofisha maendeleo ya kisayansi.

Galileo aligundua dunia inazunguka jua, jua halizunguki dunia. Ukweli huu ulikuwa kinyume na imani za kidini zilizosema kwamba jua linazunguka dunia.

Imani za kidini za kuamini Mungu kaiumba dunia na kaiweka katikati ya ulimwengu zilimpinga Galileo na kusababisha maendeleo ya kisayansi kuzorota.

Watu wanakataa dawa na kuamini watapona kwa kuonbewa jwa Mungu, huu ni ujinga.

Watu hawafanyi kazi, wanaamini wakimuomba Mungu atawasaidia, huu ni ujinga wenye madhara makubwa.

Watu wanaishi kwa hofu ya Mungu ambaye hayupo, huu ni ujinga.

Watu wanaibiwa hela kwa kuambiwa wamtokee Mungu anbaye hayupo, huo ni ujinga.

Kuamini Mungu yupo, kama hayupo, kunaweza juwa na madhara makubwa sana.
Mimi namuamini Mungu

Lakini natambua Dunia inazunguka jua
Nameza dawa endapo nkiumwa
Nafanya kazi nipate pesa,

Sasa point yako ni ipi hapo ?
 
Soma makala hii
Hakuna Jibu lilizungumzwa hapo mkuu!

Na wala halijajibu Zaburi/psalms/ Telihiim 82:6..

Zaidi ya Maelezo ya Mashahudi wa Yehova..
Neno Elohim (Mungu) Kwa kihebrania ndo hilo hilo hutumika watu kulitafsiri kama Miungu..

Umewahi kujiuliza kwanini..Neno moja liwe na Tafsiri tofauti kulingana na Matakwa ya Mtafsiri?

Neno hilo Hilo pia Linawakilisha Mungu..Au hufahamu Ndugu?
 
Mimi namuamini Mungu

Lakini natambua Dunia inazunguka jua
Nameza dawa endapo nkiumwa
Nafanya kazi nipate pesa,

Sasa point yako ni ipi hapo ?
Dunia Haizunguki Jua (Kwa mujibu wa Biblia)..
Dunia Iko Still Unmovable na fixed ila Jua ndo huzunguka Dunia..?
 
Kisicho kuwepo, Hakihitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika kipo.

Angalau kitu kinaweza kuwepo na kuthibitishika kipo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.

Mungu hayupo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.

Mungu huyo ni dhana ya kufikirika tu, isiyokuwepo kwa namna yoyote ile zaidi ya mawazo na makisio tu

Ukisema Mungu huyo yupo, eleza na thibitisha Mungu huyo yupo kwa namna gani?

Otherwise huyo Mungu ni makisio yako tu, imaginations just an illusion.

Na huwezi kuthibitisha yupo.
"Angalau kitu kinaweza kuwepo na kuthibitishika kipo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika."



Pengine unafahamu/kuamini kuhusu mambo ya anga, kama ilivyo mimi tu

Je umewahi kuona galaxy zingine ? umewahi kuiona pluto ?
 
Hakuna Jibu lilizungumzwa hapo mkuu!

Na wala halijajibu Zaburi/psalms/ Telihiim 82:6..

Zaidi ya Maelezo ya Mashahudi wa Yehova..
Neno Elohim (Mungu) Kwa kihebrania ndo hilo hilo hutumika watu kulitafsiri kama Miungu..

Umewahi kujiuliza kwanini..Neno moja liwe na Tafsiri tofauti kulingana na Matakwa ya Mtafsiri?

Neno hilo Hilo pia Linawakilisha Mungu..Au hufahamu Ndugu?
Nimekupa link nyingine inayoelezea Zaburi ya 82
 
Mungu kanipa ubongo, kanipa mikono, kanipa macho

Vingine naweza kujipa mwenyewe
Kwa nini kakupendelea wewe kakupa ubongo, mikono na macho?

Mbona wengine kawanyima?

Mbona wengine wanazaliwa bila mikono, wengine wanakuwa vipofu na wengine wanazaliwa mazezeta?

Mungu gani huyo mwenye ubaguzi?
 
Mimi namuamini Mungu

Lakini natambua Dunia inazunguka jua
Nameza dawa endapo nkiumwa
Nafanya kazi nipate pesa,

Sasa point yako ni ipi hapo ?
Point yangu ni kwamba, hiyo elimu imecheleweshwa sana kwa sababu ya imani ya dini na Mungu.

Galileo alifungwa kwa kuandika dunia inazunguka jua. Alifungwa na viongizi wa dini waliosema kuwa Galileo anapingana na Biblia.

Na kama imani ya dini na Mungu ilivyozuia maendeleo ya kisayansi miaka 500 iliyopita, bado inazuia maendeleo ya kisayansi mpaka leo.

Inawezekana wewe unajiona umeendelea kwa sababu unakunywa dawa na unaelewa dunia inazunguka jua, lakini, ukimuamini Mungu, epistemology yako si scientific. Ultimately jibu la maswali yako yote linarudi kwa Mungu. Wewe ni rahisi kudanganywa kwa logical fallacy ya argument from authority ya "Mungu kasema hivi" kuliko mtu asiyeamini Mungu.

Epistemology za dini na sayansi ni tofauti. Sayansi inasema kwamba tunaweza kuusoma ulimwengu na kuuelewa kwa kutumia akili/reason. Dini inatuambia tunaweza kujua ukweli wa miujiza tu, kwa neema ya Mungu, tufuate maneno ya Mungu tu, bila kutumia reason wala observation tunaweza kufunuliwa na Mungu tu.

Epistemology ya kidini inadumaza maendeleo.
 
Nime kupata mkuu... Kwanza kabisa inatakiwa tujue maana ya miungu Ni nini? ukija kwa mtu mmoja mmoja inamaana tutamuita mungu. Ila kwa kuwa MUNGU yupo mmoja tu hatuta pata wingi wa neno MUNGU hivyo MUNGU atabaki kua MUNGU na hawa miungu wengine ndio tunapata neno mungu nadhani hata mantiki ya walioamua kutenganisha kati ya MUNGU MKUU na miungu wengine katika uandishi kwa kuzingatia herufi kubwa na ndogo walizingatia msingi huu.

Hivyo basi huyu bwana Miti7 anaweza kua sahihi kama tukikubaliana katika maana ya neno miungu.

Kwa Kigezo kwamba MUNGU ametuumba kwa mfano wake inamaana sisi ni miungu ila hatujaufikia uwezo wa MUNGU wetu mkuu tuliefanana naye... uungu wetu una mipaka.

Kwa maoni yangu wala si kwakunukuu popote ninadhani binadamu tumefanana na MUNGU Katika tabaka la kiroho kati ya yale matabaka matatu ambayo ni mwili nafsi na roho.

Na katika tabaka hilo la kiroho ambalo tumefanana na MUNGU ndipo binadamu anaweza kufanya mambo yaliyo nje ya upeo ufahamu wake(kimwili) kwasababu huku kuna infinity Intelligence lakini ni wachache wamefanikiwa ku- access hili tabaka licha ya kuwa kila mmoja/kila binadamu ana potential hiyo sawa (equal chance) kupata hiyo neema. Ukisikia binadamu wote ni sawa kwakigezo hiki inaleta mantiki.
Mkuu umejibu Vyema kuwa Huna Uhakika..

Je Hii Unaijua Mkuu!..

Zaburi 82:6

"Mimi nimesema, Nyinyi ni miungu,
Na wana wa Aliye juu, nyote pia.


I have said, Ye are god; and all of you are children of the most High."

Na unakumbuka Pia Andiko hili Yesu aliwahi kulirudia walipomwambia kwanini anajiita mwana wa aliyejuu..

Yohana 10:30-35

[30]Mimi na Baba tu umoja.

[31]Basi Wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.

[32]Yesu akawajibu, Kazi njema nyingi nimewaonyesha, zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe?

[33]Wayahudi wakamjibu, Kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.

[34]Yesu akawajibu, Je! Haikuandikwa katika torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu?

[35]Ikiwa aliwaita miungu wale waliofata na kutii neno la Mungu; (na maandiko hayawezi kutanguka);
Karibu Dr.
 
Kwa nini kakupendelea wewe kakupa ubongo, mikono na macho?

Mbona wengine kawanyima?

Mbona wengine wanazaliwa bila mikono, wengine wanakuwa vipofu na wengine wanazaliwa mazezeta?

Mungu gani huyo mwenye ubaguzi?
You don't see a bigger picture here

Hao wengine wamezaliwa hivyo ili utukufu wake uonekane, kwamba anaweza yote katika hali yoyote
 
Back
Top Bottom