High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
lini uje unipikie dada yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U welcome my dear....
Ohhaa, kwani imekuwa daku ? Usiku nakula fruits hafifu.... Mmmh ni vimbiwee?Hhahahahahaaha usiku mwema...ota unakula mkate wa tambi lol..utafune godoro ahahahhh
lini uje unipikie dada yangu
Mwaka huu......
washindwe wao tu kula....
Asante
Yule odo alikuwa kabla ya samli anamwagia yai kwanza,sijui zilikuwa mbwembwe tu au ndio mchele mmoja ila mapishi mbali mbali?
Yaani sijui niseme nini tu umenisaidia sana na naahidi kufanya haya yote nikifanikiwa tu ntakupostia sampo mbona nikiweza watajibebaaaaa mtaani kwetuHii ni aina ya kwanza ya mkate wa kumimina au mkate wa mchele au mkate wa sinia... Ablessed BAK Fixed Point amu mimi49 Chocs Angel Nylon Afro-Arabica Ennie Swts SHERRIF ARPAIO Heaven on Earth King'asti. Jerrymsigwa. shansarie
Hahaha ni kweli manake hapa napo kama hatukuelewa basi tena . Yaani nimepata mafunzo bora sana ya vitafunio . Sasa ntaanza na mkate wa kumimina halafu haya mengine yatafuataMwaka huu......
washindwe wao tu kula....
Asante
Hahaha ni kweli manake hapa napo kama hatukuelewa basi tena . Yaani nimepata mafunzo bora sana ya vitafunio . Sasa ntaanza na mkate wa kumimina halafu haya mengine yatafuata
Yaani sijui niseme nini tu umenisaidia sana na naahidi kufanya haya yote nikifanikiwa tu ntakupostia sampo mbona nikiweza watajibebaaaaa mtaani kwetu
Awezakuwa ana mdogowe. We peleka posa tu mkuuI swear ungekuwa hujaolewa ningeleta posa kwenu asap
mapishi yoote unayoweka humu unanigusa pale pale
mkate huu ndo ugonjwa wangu..
yaani chai ya mchaichai na mkate wa kumimina na katlesi asubuhi dah...
acha kabisa
Asante sana farkhina nimeandika recipe nitajarribu na nikiweza nitakujuza
Ni mkate mtamu sana na niliwahi kula mara mbili mwaka jana. I wish ningeupata mkate huu for Thanksgiving lunch!
Awezakuwa ana mdogowe. We peleka posa tu mkuu
Kila la heri, halafu mbona hukurudisha feedback kuhusu ile mihogo ya kukaanga!? Au bado hujaipatia muda?