Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

mkuu inategemea na mahali ulipo,ila DHL ipo almost mikoa yote,hivyo kama upo wiliyani unaweza order tu,ukifika DHL watakupigia simu kuwa mzigo wako umewasili na watataka ukauchukue. nadhani kama umeuagiza nje ya nchi haitokuwa ngumu kuchukua usafiri kufuata mzigo wako mkuu.DHL wanaweza kukuletea mpaka mlangoni kwako ila wilayani ni mbali na huwa hawatoko nje ya mji.FEDEX wapo sehenu chach na USPS ni posta hivyo naamini wilayani masanduku yapo na utapokea mizigo yako palepale posta mkuu.
Sasa mkuu kama una mzigo mkubwa inakuwaje kwenye habari ya usafirishaji? Hawa amazon ni kwa soko la US peke yake au ni worldwide?
 
Nimejaribu kucalcutor mzigo wa 3 Kg kwa hawa jamaha wa Stackry.com naona DHL ndio imekua the cheapest one,sasa nimeshindwa elewa kwa nini hvyo!je na masuala ya ushuru ukituma kwa DHL inakuaje wakuu?maana nasikia uwa inakua included humo!na je kuna mtu yeyote mwenye idea na EMS services toka USA to Tanzania?
 
Nimejaribu kucalcutor mzigo wa 3 Kg kwa hawa jamaha wa Stackry.com naona DHL ndio imekua the cheapest one,sasa nimeshindwa elewa kwa nini hvyo!je na masuala ya ushuru ukituma kwa DHL inakuaje wakuu?maana nasikia uwa inakua included humo!na je kuna mtu yeyote mwenye idea na EMS services toka USA to Tanzania?

Ushuru kwa DHL hapa Dar ni innevitable kwa items zote zilizo eligible kutozwa ushuru
 
2:Nunua na kuagiza kitu kwenda kwenye address ya fowarding company ulioichagua, hivyo mzigo ulioununua utaenda moja kwa moja kwenye company yako, wao wakishaupata watakutumia e-mail uthibitishe au uchague courier wa kukutumia mzigo wako, hapo ndio utachagua either dhl,ups,fedex nk.wao watakutumia na kuchukua kiasi chao cha pesa ya huduma na kukutumia mzigo pamoja na kukupatia tracking number ya kujua mzigo wako ulipo na utaupokea vyema.[/QUOTE]

Mkuu kwanza asante sana kwa elimu murua.

Nimefuatilia uzi kwa kiasi kikubwa.

Bado nahitaji kunijazia kidogo;-

1.Ninapokamilisha manunuzi kule amazon kuna kitu gani ambacho kitaniunganisha na hawa forwading company(comgateway)?

2.Au wao amazon wana option za mimi kuchagua kampuni ninayotaka kusafirisha mzigo wangu?

3.Na kama hii ya juu ndio je hilo kampuni itafahamu vipi kama mimi nimenunua mzigo kule amazon unataka kusafirishwa?
 
2:Nunua na kuagiza kitu kwenda kwenye address ya fowarding company ulioichagua, hivyo mzigo ulioununua utaenda moja kwa moja kwenye company yako, wao wakishaupata watakutumia e-mail uthibitishe au uchague courier wa kukutumia mzigo wako, hapo ndio utachagua either dhl,ups,fedex nk.wao watakutumia na kuchukua kiasi chao cha pesa ya huduma na kukutumia mzigo pamoja na kukupatia tracking number ya kujua mzigo wako ulipo na utaupokea vyema.

Mkuu kwanza asante sana kwa elimu murua.

Nimefuatilia uzi kwa kiasi kikubwa.

Bado nahitaji kunijazia kidogo;-

1.Ninapokamilisha manunuzi kule amazon kuna kitu gani ambacho kitaniunganisha na hawa forwading company(comgateway)?

2.Au wao amazon wana option za mimi kuchagua kampuni ninayotaka kusafirisha mzigo wangu?

3.Na kama hii ya juu ndio je hilo kampuni itafahamu vipi kama mimi nimenunua mzigo kule amazon unataka kusafirishwa?

Kinachokuunganisha Amazon na comgateway ni shipping adress/Billing Adress

Comgateway wanakupa adress ya US ambayo utaijaza kwenye Amazon account

Mzigo utasafirishwa kuja Hiyo Adress ya comgateway na baada ya hapo comgateway watasafirisha kwa adress yako ulo wapa wakati wa usajili
 
Bank gani mkuu...

Mkuu,jana imenibidi ni cancel order ili kuzuia Delays na nimefungua Order mpya lkn bado hawakukata hela hivo nime contact seller awape notification Amazon kuwa mzigo uko prepared kuwa shipped na hapo ndo hela imekatwa lkn sasa Delivery date ndo inanikatisha tamaa kutoka Canada kuja Frolida wameandika 8 sept mpaka 10 septemba....

Je kwa uzoefu wako hizi estimated delivery date huwa ni za ukweli?
 
Mkuu 1800, wamarekani hawatumii EMS nadhani, wao wanatumia USPS ambayo kwa tz mzigo utashughulikiwa na local post office, kwa maana ya tanzania post corporation, hasa kitengo cha EMS ndio watakao kupatia mzigo wako.

Nimeeleza hivyo, baada ya kunitokea mimi kitu hicho, niliagiza pea ya kiatu toka states seller akasema shipping ni kupitia USPS na ilikuwa na tracking number, na hata mzigo ulipofika nikaenda EMS na tracking number yangu na kupewa mzigo na kulengeshwa kwa watu wa customs kuwa natakiwa kulipia ushuru.

Nawakilisha
 
Kinachokuunganisha Amazon na comgateway ni shipping adress/Billing Adress

Comgateway wanakupa adress ya US ambayo utaijaza kwenye Amazon account

Mzigo utasafirishwa kuja Hiyo Adress ya comgateway na baada ya hapo comgateway watasafirisha kwa adress yako ulo wapa wakati wa usajili

Asante mkuu Bwana akuongeze maarifa!
 
2:

Mkuu kwanza asante sana kwa elimu murua.

Nimefuatilia uzi kwa kiasi kikubwa.

Bado nahitaji kunijazia kidogo;-

1.Ninapokamilisha manunuzi kule amazon kuna kitu gani ambacho kitaniunganisha na hawa forwading company(comgateway)?

2.Au wao amazon wana option za mimi kuchagua kampuni ninayotaka kusafirisha mzigo wangu?

3.Na kama hii ya juu ndio je hilo kampuni itafahamu vipi kama mimi nimenunua mzigo kule amazon unataka kusafirishwa?


sawasawa mkuu,, kitakacho kutambulisha wewe ni account yako ya fowarding company uliyojiunga.. unapojiunga na fowarding company yeyote inakupa shipping adress ya marekan au ilopo hiyo fowarding company,sasa inachotakiwa wewe ni kuchukua hiyo address na kuiingiza kwenye account yako ya amazon,ebay nk. hapo amazon,ebay au soko ulilojiunga litatuma huo mzigo kwenda kwenye hiyo shipping address ambayo ni fowarding company yako.wao wakipokea mzigo imediately wanakutumia e-mail kukujulisha unamzigo na kama utataka kutumiwa..kisha utaenda kwenye website ya fowarding company na ku log-in kwenye account yako, utakuta notification ya mzigo utachagua namna unavyotaka ukufikie Tanzania-hapo ndo utachagua DHL FEDEX au courier yeyote amae ni cheap au fast au utakavyoona wewe choice ni yako... natumai nimekujibu mkuu kalendi.

bwana njunwa yuko sahihi kabisa...(sikuangalia vizuri hapo juu)
 
sawasawa mkuu,, kitakacho kutambulisha wewe ni account yako ya fowarding company uliyojiunga.. unapojiunga na fowarding company yeyote inakupa shipping adress ya marekan au ilopo hiyo fowarding company,sasa inachotakiwa wewe ni kuchukua hiyo address na kuiingiza kwenye account yako ya amazon,ebay nk. hapo amazon,ebay au soko ulilojiunga litatuma huo mzigo kwenda kwenye hiyo shipping address ambayo ni fowarding company yako.wao wakipokea mzigo imediately wanakutumia e-mail kukujulisha unamzigo na kama utataka kutumiwa..kisha utaenda kwenye website ya fowarding company na ku log-in kwenye account yako, utakuta notification ya mzigo utachagua namna unavyotaka ukufikie Tanzania-hapo ndo utachagua DHL FEDEX au courier yeyote amae ni cheap au fast au utakavyoona wewe choice ni yako... natumai nimekujibu mkuu kalendi.

bwana njunwa yuko sahihi kabisa...(sikuangalia vizuri hapo juu)

Nashukuru mkuu hakika jf ni maisha bora kwa kila mhitaji!
 
Import duty
na VAT
Sina hakika ipi ni 20% na ipi ni 18%

Hivo mzigo kama ni 100$ na uko valid kupigwa ushuru basi watachukua (100$ × 0.18) + (100×0.20)

Na huo ndo ushuru wako ila ikumbukwe educational materials hazipaswi kugongwa ushuru

Duh 38%
 
Back
Top Bottom