24th DECEMBER
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 401
- 167
Nlishaagiza tablet kwenye e-bey na nguo ya mtoto kwenye alibaba.com, vyote nilivichukulia posta na sikuulizwa masuala ya ushuru wala bargaining yoyote.
Ingawa kunastory kwamba posta ni wapigaji ila sidhan kama kunaukweli
Ingawa kunastory kwamba posta ni wapigaji ila sidhan kama kunaukweli