Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Um
Umefumbua macho watu wengi sana.
Lakini nina hitaji msaada kujua maana kuna bidhaa unakutaa zinaandika haziwezi tumwa Tz, je baada ya kulipia bidhaa destination naweka ya yule dalali au naweka yangu. Hapo sijakupata vizuri
 
🙂🙂🙂🙂🙂
 
Kama una VISA card au MasterCard iliyiverified kwa ajili ya online purchases,nenda play store download Ali Express fanya mambo kuwa rahisi

Sent using Jamii Forums mobile app

Habari. Mimi nahitaji kujua kama nimeagiza mzigo alibaba na umefika bandarini je taratibu za clearance nafanyaje na mimi nipo mkoani? Je inawezekana wasafirishaji wanakaifanya kama ndio gharama zikoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi nipo mkoani? Je inawezekana wasafirishaji wanakaifanya kama ndio gharama zikoje?
Mzigo utakaotumwa huwa na documents zake (BL)

Hizi documents hufika mapema kabla ya mzigo.

Unachotakiwa kufanyani kumtafuta agent na kumkabidhi hizo documents (BL)

Na atafuata taratibu zote za kuutoa mzigo pindi ukifika, na atakujulisha ghalama zote unazotakiwa kutoa kabla ya mzigo kupa release.
 
Asante sana Mwl.Rct kwa majibu yako. Na documents zitakuja kwa posta au wanatuma kwa email

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na documents zitakuja kwa posta au wanatuma kwa email
BL huwa wanatuma kwa DHL au EMS, hivyo pindi unakamilisha manunuzi, hakikisha unagusia swala la BL ili ujue watatuma kwa njia gani.

Huwasili nchini ndani ya siku 14 tangu mzigo utumwe.

Wakati mzigo husika unachukua wiki kuanzia Tatano hadi saba.
 
BL huwa wanatuma kwa DHL au EMS, hivyo pindi unakamilisha manunuzi, hakikisha unagusia swala la BL ili ujue watatuma kwa njia gani.

Huwasili nchini ndani ya siku 14 tangu mzigo utumwe.

Wakati mzigo husika unachukua wiki kuanzia Tatano hadi saba.
Asante ndugu,ubarikiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mada inatakiwa iwe Stickymaana bado nadhani kuna uhitaji mkubwa kwa huduma hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…