Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Haya mdogo wetu kapika tena pishi shatashata. 😀😀Ndo naja hivi dada
Uje umfunze kupika na mchuzi wa nazi sasa. Japo nawaza tu hiyo nazi ataikuna vipi? 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mdogo wetu kapika tena pishi shatashata. 😀😀Ndo naja hivi dada
unanicheka tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimefurah tuunanicheka tena
Tamfundisha mdogo mdogo dadHaya mdogo wetu kapika tena pishi shatashata. 😀😀
Uje umfunze kupika na mchuzi wa nazi sasa. Japo nawaza tu hiyo nazi ataikuna vipi? 😀
huyu jamaa akioa kila siku ugomvi na mke wakeNimefurah tu
Kazi nzuri mkuuTulisaidiana na mtu mmoja tukapika huo msosi View attachment 1178167
Menu ya watu 2 mkuu, na ilifunikwa kama kawaida bila kusaza hata punje ya tongeMkuu ugali mkubwa sana huo kwa single hauwezi kuumaliza!
Au hupendelea kurudia mlo ama kunywea chai kiporo?
Vinginevyo ni matumizi mabaya ya rasilimali.
Najua kukuna kabisa tena kwa umaridadi wa hali ya juu. Ila sasa sina kibao cha mbuzi[emoji3]Haya mdogo wetu kapika tena pishi shatashata. [emoji3][emoji3]
Uje umfunze kupika na mchuzi wa nazi sasa. Japo nawaza tu hiyo nazi ataikuna vipi? [emoji3]
Kwa kweli naona umenifunikaUmeona nilivyokufunika ee mambo ya jikoni[emoji85][emoji85][emoji85]
Hatar kabisahuyu jamaa akioa kila siku ugomvi na mke wake
Napiga nswalu tu mimiBaki tu na mlenda mkuu[emoji2]
3. Nimechemsha maji na kuloweka samaki waliokaangwa ili walainike.
4. Nimekaanga vitunguu, karoti na hoho kwa pamoja kwa mafuta hadi vikaiva kabla ya kuweka nyanya nilizokatakata.
5. Nimeweka nyanya nilizomenya na kukatakata(sina kifaa cha kusagia) kwenye sufuria yenye vitunguu, karoti na hoho vilivyoiva ili nipate mchanganyiko wa supu nyanya zitakapoiva.View attachment 1177890