ni jambo jema.hakutangaza kuhama
Hah hah sawa mbeba begi wa MboweNani asiyekujua wewe mbeba begi wa Mwakyembe !
Mwakyembe ameshindwa hadi kuhamasisha wananchi anaowaongoza ! , ALILEPO KAKO , ASOKEPO .Hivi mnajua majukumu ya mbunge kweli. Ingekuwa rahisi hvyo Jimbo la spika lingeonhoza kwa maendeleo
Karibu sana mkuuHongera sana nakutakia kila la heri
Hayo ya akina Kwiooo hayo yakoHuyo mwanamke akishindwa mtakuja kutaka kuongozwa na kadada kadogo mwenye chura mkiona hafai mtataka mkaka handsome mwisho mtasema hakuna haja ya kuwa na mbunge
hujaelewekaKura ziko huko jimboni, hapa Napo?
Ukabaponye ba Ipinda, wa kukaja imbombo inkafu!!Muulize Magufuli kwanini anaogopa mikutano ya siasa ? viongozi wenu wanapata visukari kwa ajili ya Chadema nyinyi mnajifariji kijinga !
NdagaUkabaponye ba Ipinda, wa kukaja imbombo inkafu!!
Uko nje sana ya mada , nisome tenaLabda kama majukumu ya mbunge yataongezeka ikiwemo ya kushika ujauzito automatically wabunge wa kiume watashindwa na hutaji la Mbunge wa kiume nitakuwa juu!