Uchaguzi 2020 Jimbo la Kyela linahitaji Mbunge Mwanamke, wanaume wameshindwa kuleta maendeleo

Uchaguzi 2020 Jimbo la Kyela linahitaji Mbunge Mwanamke, wanaume wameshindwa kuleta maendeleo

Huyo mwanamke akishindwa mtakuja kutaka kuongozwa na kadada kadogo mwenye chura mkiona hafai mtataka mkaka handsome mwisho mtasema hakuna haja ya kuwa na mbunge
 
Sera za huko zinahusu wapiga kura kiume kulala na mbunge?Fafanua mkuu jinsi uke utavyotumia kuleta maendeleo
 
Unaangalia upepo siyo?

Safari za namna hii ni za Imani, nenda Kwa Imani utafanikiwa!
Usije kuishia kupima upepo wa hapa utashindwa
 
Labda kama majukumu ya mbunge yataongezeka ikiwemo ya kushika ujauzito automatically wabunge wa kiume watashindwa na hutaji la Mbunge wa kiume nitakuwa juu!
 
Labda kama majukumu ya mbunge yataongezeka ikiwemo ya kushika ujauzito automatically wabunge wa kiume watashindwa na hutaji la Mbunge wa kiume nitakuwa juu!
Uko nje sana ya mada , nisome tena
 
Back
Top Bottom