Uchaguzi 2020 Jimbo la Ubungo: ACT-Wazalendo yadaiwa kumuwekea pingamizi Meya Jacob na madiwani wote wa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Jimbo la Ubungo: ACT-Wazalendo yadaiwa kumuwekea pingamizi Meya Jacob na madiwani wote wa CHADEMA

Hahahahahahaha yeye akiwekea mapingamizi wengine hawakimbiliii mitandaoni lakini kawekewa yeye fasta anakimbilia mitandaoni kulia lia Chadema wameshaona mitandaoni kama ndo HQ yao si Ufipa tena...
Acha kujidanganya wewe,kura milioni 6 mwaka 2015 zilitoka twitter??
 
Nakubaliana nawe Zitto ni mzuri sana kwenye Siasa na siasa ili ufanikiwe unatakiwa uwe na ushirikiano wa hali ya juu na wale wa timu yako hata kwa sekunde moja usiweke mbele maslahi yako binafsi.

Kama si usaliti nadhani hadi hii leo angekuwa bado yuko Chadema. Sijui kama kaacha hii tabia au la kama bado anayo basi inaweza kabisa kuwa chanzo cha kuisambaratisha/kuidhoofisha ACT Wazalendo.

Nimekusoma Chief!

My point was, kuna watu tayari wameumbwa hivyo! Hata huyu ndugu yetu miezi kadhaa tu ilopita alikua upande wa negative na Serikali kiasi alianza kuwindwa!! So he is a kind of guy who rebels against all things that ain’t got any favors kwake! (Mbinafsi!)
 
Tukio: Mgombea wa ACT kamuekea Pingamizi Mgombea wa Chdema.

Chadema Fanboys: Zitto ni Msaliti, ACT ni CCM B.

Tukio: Wagombea wa Chadema wamewawekea Pingamizi wagombea wa ACT hulo Wazo na Kunduchi.

Chadema Fanboys: Wanaona hii ni sawa na wala hapana usaliti wowote uliofanyika.

Double Standard na Hypocrisy kwa Vijana wa Chadema kwamwe haitoondoka.
 
Nakubaliana nawe Zitto ni mzuri sana kwenye Siasa na siasa ili ufanikiwe unatakiwa uwe na ushirikiano wa hali ya juu na wale wa timu yako hata kwa sekunde moja usiweke mbele maslahi yako binafsi.

Kama si usaliti nadhani hadi hii leo angekuwa bado yuko Chadema. Sijui kama kaacha hii tabia au la kama bado anayo basi inaweza kabisa kuwa chanzo cha kuisambaratisha/kuidhoofisha ACT Wazalendo.

Almost every sinful action ever committed can be traced back to a selfish motive.

It is a trait we hate in other people but justify in ourselves!

Hii ndiyo definition ya ndugu yetu! Nothing more, nothing less!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK

Meya wa Ubungo, Boniface Jacob ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa ACT Wazalendo wamewawekea mapingamizi wagombea wa CHADEMA katika Halmashauri ya Ubungo akiwemo yeye.

Amedai pia, ACT haijawawekea mapingamizi CCM.

Huyu sio Membe kupitia ACT?
🤔 Sasa na yeye kaweka pingamizi huku na yeye kakosea pia form yake. Asilalamike kama ACT wameona kosa,wana haki ya kuweka pingamizi.
 
Acha kujidanganya wewe,kura milioni 6 mwaka 2015 zilitoka twitter??


Zililetwa na Lowasa ambaye hata shukrani hamna kutwa mnamtukana matusi ya nguoni humu, huyo takataka asingekuwa meya kama siyo Lowasa!
 
Tukio: Mgombea wa ACT kamuekea Pingamizi Mgombea wa Chdema.

Chadema Fanboys: Zitto ni Msaliti, ACT ni CCM B.

Tukio: Wagombea wa Chadema wamewawekea Pingamizi wagombea wa ACT hulo Wazo na Kunduchi.

Chadema Fanboys: Wanaona hii ni sawa na wala hapana usaliti wowote uliofanyika.

Double Standard na Hypocrisy kwa Vijana wa Chadema kwamwe haitoondoka.

I beg to differ!

Wakati wa kuwamba ngoma kila mmoja huvutia kwake!

It ain’t even about double standards! It’s all about Selfishness! (Mimi,Mimi,Mimi!)
 
I beg to differ!

Wakati wa kuwamba ngoma kila mmoja huvutia kwake!

It ain’t even about double standards! It’s all about Selfishness! (Mimi,Mimi,Mimi!)

Umeongea kweli, But wenzetu Chadema wao wakifanyiwa Kitu huona hawadeserve kufanyiwa as if wao wanaruhusa ya kufanya lolote lakini si ruhusa wao kufanyiwa chochote.
 
Na hapa Mgombea wa Chadema pia amemuekea Pingamizi mgombea wetu wa ACT, lakini sisi hatumwiti Kiongozi yoyote wa Chadema kuwa ni Msaliti.
Na Vijana wa Chadema pia waendelee kuliona hili kuwa ni sawa.

 
Huyo jamaa si wa kumuamini hata chembe. Usaliti uko kwenye damu yake. Sijui kama ataacha usaliti huyu.
Hawezi kuacha, haaminiki, ni mchumia tumbo hodari sana
 
Umeongea kweli, But wenzetu Chadema wao wakifanyiwa Kitu huona hawadeserve kufanyiwa as if wao wanaruhusa ya kufanyiwa lolote lakini si ruhusa wao kufanyiwa chochote.

Hatuwezi kujua! Maybe ndio strategy yao kutambaa na huruma za wananchi ?? Maybe wameona inawalipa kama ambavyo siasa za kisayansi zimeonekana kuwalipa wengine??!

Uchaguzi huu kwa wale tusiokua na vyama (wananchi wa kawaida) sio tu burudani ila pia ni ngazi nyingine kwetu sisi kuwasoma wanaohitaji kutuongoza! Be it CDM or CUF or CCM!

How I wish Mzee Rungwe angekua na bajeti ya kutosha kutufikia sisi wa vijijini!!!
 
Hahahaha mpk sasa CCM wapo kimya ni nyinyi kutwa mitandaoni kulalamika na kutafuta kura za huruma niwambie tu haijawai tokea Tanzania mtu akasema nimempigia kura fulani kwa sababu nimemuonea huruma watanzania kuoneana huruma ni ktk mapenzi tu..

Sasa kama mnatafuta wapenzi mnaweza kuonewa huruma but kama mnatafuta kutawala nchi jua watu wanataka sera za kiuchumi na kijamii na mueleze mtatufikisha wapi kiuchumi kitu ambacho hamuwezi kabisa kama mmeshindwa kujenga hata ghorofa moja yawe HQ yenu na ruzuku mnapata na wabunge wenu wanakatwa fedha kila mwisho wa mwezi lakini mmeshindwa hata kununua kiwanja Chanika
Akili yako haikutoshi kuchangia hoja hii. Uelewa wako ni mdogo sana. Tatizo ni hili la siasa kukimbiliwa na vilaza wote.
 
Huyu Boniface kwanza sio Meya wa Ubungo ni Meya aliyefukuzwa!
Umeya sio cheo cha Maisha!
Ubungo aliyewekewa Pingamizi ni pamoja na Act Ccm imeiwekea Act Pingamizi na Chadema

Chadema imeiwekea CCM pingamizi wakidai Kitila fomu zake hakugonga mihuri miwili wa mahakama na mhuri wa Hakimu!
Mbona Act hawalii mitandaoni kuwekewa Pingamizi?

Vyama vingine vilivyowekewa pingamizi Ubungo ni Udp Nccr Mageuzi na NRA.

CHADEMA PUNGUZENI MAPEPE JIBUNI MAPINGAMIZI
 
Back
Top Bottom