Huyu hata hayuko mbali. Ukienda hata hapo Securex yupokiberiti nalo ni jina la mtu nilisomaga naye olevel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu hata hayuko mbali. Ukienda hata hapo Securex yupokiberiti nalo ni jina la mtu nilisomaga naye olevel
Mkuu upo hapo Securex nini?Yeah hayo majina ya kisukuma. Kiberiti huyu ni mzee nafanya nae kazi, kuna Sindano, Cherehani n.k
Ha ha ha kwani yule anayeitwa KAKUNDA si ni katako kadogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Advance nilisoma na jamaa anaitwa Barnabas Matako. Kama yumo humu naomba nisamehe kwa kukutolea mfano ila kiukweli kwa mara ya Kwanza nilishangaa sana.
Wap?Matombo
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mr. Kakundu dahUganda nilisoma na Kasenge Conrad.
Mkuu wa shule Uganda huko huko alikuwa akiitwa Mr. Kakundu.
Kuna mwalimu wa nidhamu alikuwa anaita Felix KakumaUganda nilisoma na Kasenge Conrad.
Mkuu wa shule Uganda huko huko alikuwa akiitwa Mr. Kakundu.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Dah hilo jina la kimaku balaa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Advance nilisoma na jamaa anaitwa Barnabas Matako. Kama yumo humu naomba nisamehe kwa kukutolea mfano ila kiukweli kwa mara ya Kwanza nilishangaa sana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tulisoma na jamaa mmoja ni mngoni anaitwa Tumbiri komba...Ila alibadili jina la kwanza la mbele limebaki komba ..
Umejuaje amekosea?Umekosea ndugu. Jina Ni Barnabas Matiku
Dah, hahaha. Wazenji lafudhi zao kipengele sanaNiliwahi kwenda Zanzibar nikapanda vidaladala vile ...nikasikia konda anasema ..."kikuuma"..nilistuka mno..
Baadae nikagundua stendi ni jina la maskani inaitwa "ikikuuma sema"
Wanakatisha kusudi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulisoma na jamaa mmoja ni mngoni anaitwa Tumbiri komba...Ila alibadili jina la kwanza la mbele limebaki komba ..
Songea wamejaa kibao, kina kiberiti.kiberiti nalo ni jina la mtu nilisomaga naye olevel