Jini Kabula: Wasanii Wengi Wa Bongo Movies Ni Waathirika Wa Ukimwi



nimeipenda hii
 
Dah..
Hatari sana..
Hapo wa3(diana,semhando,aisha madinda) wameshaenda...

Na m1(banza stone) yupo hoi bin taabani..
Nae Mr.Nice nmemuona juzi sura imaharibika kwa majipu..

Yalabi tunusuru waja wako..
Kesheni mkiomba myakwepe Majaribu..

Tukienda kwa mwendo huu wa kuficha ficha mambo hakika tutaangamia sana,wasanii wanakulana wao kwa wao kinoma,wanazidi kugawana LUKU.
 
Electrical engineering

thA God thA bubbs!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…