Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Mkuu, tunashukuru kwa kuamua kuendelea.
Maoni yangu naomba tuendelee kama ambavyo ulikuwa unatuletea. (So, Option 2 is best but uongeze idadi ya Episodes kwa wiki, ikiwezekana kila siku Episode moja).

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa ni muongo matukio mengi kayaongeza hasa ya kujisifusifu kupendwa na wadada mara kujiita gentleman mara kujifanya anajenga n.k mbapo nadhani ana malengo yake binafsi jukwaani. Kuna watu hasa mademu wa humu wanaenda kupigwa na kitu kizito pm.
Aisee,
Hatimaye umejiweka bayana kinachokusumbua. Unamuonea wivu jamaa jinsi warembo wa hapa jf watavyomtaka.
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Bro Asante kwa kutujal wasomaji,,,wako Binafs nikupe kwanza Hongera ,,nimejifunzA jambo kubwa kupitia story ,,wanaosema umeongeza chai,,we ongeza hata asal cha muhimu sisi wasomaji tunaburudika na kujifunza,,,Hao walimwengu ,,,,achana nao,,,,ni wivu tu unawasimbua
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Mkuu Salute kwa hilo. Pili Arosto imetukaba sana dondosha moja kwanza then me nadhani option 2 inafaa
 
Wewe unaonekana una ulimbukeni, wenye maisha mazuri huwa hawajitangazi kama wewe hadharani unaushamba wa kisukuma. Seems unamaisha magumu ila unataka tukuone firstclass.
hebu tutake radhi wasukuma. Sisi mangosha hatunaga tabia za kichoko hizo. Maana mwanaume anayediriki kuwaonea wivu madem, huyo ni rainbow.
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
INSIDER nashukuru umesikia maoni ya wengi wakiomba simulizi iendelee shukrani zikufikie popote ulipo.

Kabla ya kupost wa block/ignore wote wanaosema umetunga/chai hao ndio kikwazo kwa hii simulizi.

Post simulizi kulingana na ratiba yako pale upatapo nafasi.
 
Mwanzoni mwa stori kuna mtu alitajiwa dau la dollar 10000 Ili afanyiwe massage


We fala hakuna tajiri asiye na gari hii dunia.

Gari kwa mwenye hela ni Luxury ila kwa masikini ni assert.

Iweje uwe tajiri kutwa kutafuta wanaume kuwafanyia massage na kushinda kwenye ki ist cha mshikaji

Kichwa yako laini saana, kama ulisoma vzr alisema $10,000 alimtajia mteja kisa hataki kumpa huduma! Akasema ni mbinu wanayoitumia kuwakataa baadhi ya wateja.

Pia ni asset sio assert.
 
Kaka INSIDER usituadhibu sisi tunaopenda strory hii na kuifuatilia kila siku please. Please endelea usiache.

Hebu fanya namna uwablock hao wasumbufu. Usikasirike please you seem to be so humble and gentleman achana na wapuuzi huwaga hawakosekani.

Tafadhali endelea sisi tunapenda na tunaamini ni kweli sio chai.
 
Angesema hadithi sawa lakini ye katuaminisha mwanzo ni true story ndo alipokosea, hajui kuna watu humu jf hatuna bongo nyepesi yaani hatuangalii Netflix wala hatujashikwa na series za kikorea, hivyo ukisema kitu ni true story tunafuatilia tupate la kujifunza ila ukisema ni hadithi tu pia tutafuatilia labda tutapata la kutuburudisha kama hamna tutaondoka kimyakimya.
Sio unasema true story afu unawafunga kamba watu, lazima tuloshtuka tukupopoe kwa sababu umetupotezea muda tumefuatilia true story isiyo burudisha, elimisha wala kusisimua zaidi ya kujimwambafy na kujipigia promo kwa jf's b*tchz, angetoa tangulizo this is for the ladies, maniqqa tungepita kushoto.
Bandiko lolote litalonipotezea muda kulisoma afu mwisho wa siku nigundue anatufunga kamba lazima nimpe za uso kabla ya kuacha kulisoma.

'Kuna watu hapa mjini hawana shida' hilo hakuna asolijua ila uongo utabaki kuwa uongo tu
Na wenye exposure ndo wanajua chai ilipo, ila wa 'madongo kuinama' wanaona bonge la movie la kusisimua?
Umeandika ujinga.
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Kwanza nikipongeze kaka kwa uamuzi wa hekima na busara, hongera sana maana ni wengi tunajifunza kutokana na story yako, nafikiri ungeendelea na utaratibu ambao unaona utakuwa ni rahisi kwako kipost hapa hilo nafikiri libaki kwako
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Ukiweza Kila week 3 ni vizur zaid au ukipata mda shushaa zote ni sawa
 
Ana
Acha kususa mtoto wa kiume, kama kuna mahali unawanywesha watu chai lazima uambiwe ukweli, kuna matukio mengi umeyaongeza chumvi na nimelijua hilo kutokana na kwamba huko Dar kabla wewe hujaja chuo kusoma tayari mishe hizi za kuzunguka tumezifanya kwa hiyo ukijaribu kujaza chumvi kidogo tu sisi tunajua.

Matukio yako mengi hasa episode za mbele yamekosa uhalisia kwa sababu umeandika kwa lengo la kujionyesha kuwa wewe ni gentleman, kila demu anakutaka wewe n.k. Ingekuwa kweli usingeachwa na demu wako wa chuo. Halafu kwa nini kila siku wateja wako ni wanawake tu tena wale wenye uwezo wao? Hakuna kupindisha lugha wewe ni muongo.

Tukirudi upande wako halisi ni kuwa wewe ni kweli ni taxi driver na mitaa mingi unaijua kutokana na kazi yako ya udereva ila matukio mengi umeyapika sio halisi, madereva wengi mna laana hiyo ya kuongea uongo kisa mnakutana na watu tofautitofauti.

Anyway usiwanyime watu wako mwendelezo wa hadithi ila nakuonya acha kuandika vitu vya uongo, simulia yale matukio halisi tu bila kujaza sukari au chumvi. Lakini pia ina option ya kuwaomba radhi hadhira yako then uwambie kuwa unachanganya matukio ya kweli na uongo ili kunogesha story, kufanya hivyo sio dhambi.

Mwisho kwa wale wote wanaodhani niko hapa eti namuonea wivu mleta simulizi, acheni huo ujinga. Nimeruka na wanawake wakali Dubai na Marekani miaka hiyo kwa hiyo sina nikichoacha katika mapenzi, ninachofanya ni kuitetea hadhira ya jf wasidanganywe maana huu mtandao sio fb useme utakuja utaandika uongo halafu watu wakuchekee. Humu wako watu critical thinkers ambao kuwadanganya sio rahisi.
Anapenda kunywesha watu chai hataki wahoji kwann imezidi sukari ha aha haaa...!!na mitanzania inapenda Sana kudanganywa thus why kile chama kinatawala milele
 
Ndugu zangu wana JF kwa heshima ya watu wote humu ndani naomba kuisotisha hii story iishie hapa sitoimaliza maana inaonekana ni chai. Na mimi siwezi kupoteza muda kuandika kitu ambacho watu wanasema ni uongo.

Nina mambo na majukumu mengi ya kufanya na hakuna anayenilipa kwenye hii story, napoteza muda wangu kuwapa watu story kilichonitokea na mpaka nikaamua kuandika lakini inaonekana ni 0,

Nafikiri kila mtu aendelee na mambo yake kwa stage iliyofikia kumaliza story itakua ngumu, nafikiri tuishie hapa. Kama mtu ameshasema story ni chai kuna haja gani ya kuendelea kuandika?.

Kwa wale tuliokuwa pamoja ahsanteni kwa muda tulionza pamoja ila mimi binafsi nimeshindwa kuendelea kuandika, maana watu wanakatisha sana tamaa.

Story haijaisha hapo niko na matukio ya March, lakini mtu kashaaanza kutukana, haters wamekua wengi, lakini hii ni JF kila mtu anahaki ya kuongea. Ustaarabu mngesubiri story iishe hapo ndo muanze kujudge, maana hivi vyote nilivyoandika na ushahidi navyo kwa picha, Contracts nilizoingia nawateja zangu zote ninazo mpaka Iryn.

Story haijaisha mtu watu wameanza kukosoa anyway ndo wabongo walivyo, sinaga muda na JF ila haya matukio yalinitokea ni kweli na nilikua ndo nimeanza kuingia kwenye kiini cha story na nilikua nimepanga kuandika Epsodes 30 tu.

Wabongo tunakosa kitu kinaitwa patient hapa ndo tunafeli sana, story haijaisha hata mjue lengo la kichwa cha story lakini watu wameanza kushout. Siwezi endelea kuandika kwa style hii inakatisha tamaa, ndomana story nyingi za JF zinaishia njiani.

Wale ambao tunawasiliana PM na tumebadlishana namba tutaendelea kuwasiliana tuko pamoja, ila niseme biashara ya Uber ilinipa mafanikio sana na mpaka sasa naendelea kunufaika.

ALL THE BEST
Sasa best huoni unatukatili nasisi tunaopenda na kuifatilia hii story?

Tafadhali naomba uendelee kwajili yetu, ni wengi tunaokufatilia kuliko hao wachache wanaokupinga

Na wapingaji hawakosekanagi sehemu yoyote ile. Kama ulivoamua kwa utashi wako kutuletea hii story tunakuomba uendelee bila kujali hao wakatisha tamaa

Nanukuu maneno yako jana kua "mwanaume hasusi"
Hivo naomba nawe usisuse tafadhali
 
Back
Top Bottom